Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Aliuwa kwa tamaa zake binafsi na sio jeshiJeshi wanafata amri hakuna kubembelezana! Ukitumwa tumika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliuwa kwa tamaa zake binafsi na sio jeshiJeshi wanafata amri hakuna kubembelezana! Ukitumwa tumika
Mtu akutume kuua halafu ukatae, unadhani atakuacha ili ukamtaje baadae?Kama alitumwa kuuwa na akakubali huo ni upumbavu wake.
Kwani angegoma angefukuzwa Kazi?
Ndiyo yaleyale ya Urio aka homeboy. Amri za kijeshi huwaga hazina maswali.wewe unatekeleza tuu amri ya bosi. kawaulize wale askari wa Hai,chini ya SABAYA.ambao leo hii unamsikia Sabaya pekee yake anahangaika na mikesi.Hata makonda wale askari walioingia clouds huwezi wapata.ila makonda unaweza mpata.Kama alitumwa kuuwa na akakubali huo ni upumbavu wake.
Kwani angegoma angefukuzwa Kazi?
Huyo Sadi yupo wapi.Wamemuuwa polisi wenzake kwenye ili kupindisha kesi, safari hii jamuhuri isifanye uzembe wa Kama kesi ya zombe ambapo kwa kujua kesi itakavyokuwa walimtorosha SADI aliyeamuliwakupiga risasi wafanyabiashara na kupora pesa, Askari aliyetubu na kueleza ukweli aliuwawa kabla ya ushaidi wake kupokelewa Kama kizibiti. So walipunguza nguvu ya mashaidi. Ndicho walichofanya Hawa polisi wa kihuni, alafu polisi wanamdharau Sana mama, mbona yule baba aliyefariki masika mwaka Jana hawakumchezeachezea figisu, dharau mama wamezidi ukiwaachia waendelee kuuwa uwa raia wema, iko siku watajaribisha kwenu viongozi, oooh nyie wachekeeni
CHAI CHAINyepesi nasikia, hao hao wakubwa wa juu walipoenda huko Mtwara kuwahoji askari walohusika, aliye jinyonga alisimamia ukweli kuhusu kila kitu kilichotokea. Nasikia walimwijia juu, na kumtisha saana. Askari alie huyo baada ya kutoka kuhojiwa alieleza kwao nyumbani kilichojiri kwamba katishwa saaana.
Japo baadae alipiga simu na kumwambia mama yake mambo si mabaya, na baada ya hapo wakapewa taarifa kajinyonga. Hili swala Rais aingilie kati tu, kama Kikwete alivyofanya na kuunda tume huru kwenye sakata lile la Zombe. Huyu Mkuu wetu wa jeshi la Polisi hakuna kitu.
Hata ukienda kuua ni lzm uuliwe Ili kumficha muuaji mkuu.Mtu akutume kuua halafu ukatae, unadhani atakuacha ili ukamtaje baadae?
Yupo bize na vi Birthday na kupigia simu akina Mwijaku,. Ameshaingia kwenye Mtego wa kusifiwa na kuabudiwaHuyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama anaangaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibikaHuyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama ana angaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibika
Ila hatia,laana,kuwindwa na ndugu kimwili na kiroho shughuli unabakia nayo wewe muuaji. Waliokutuma wanachoma nyama. Hapa ni za kuambiwaDah hii
Dah hizi kazi za haya majeshi hazifai bas kabisa..
Bora nikamwage pili pili zangu hoho barbrn,
Kazi ni kutumwa kuua mtu asokua na hatia na hutakiwi kukataa
Well, kama umehusika na umepokea mgao, huwezi kutaja maana nawe umehusika, ila kama umekataa means wewe unabaki kiwa loose end na hivyo utamalizwa tuHata ukienda kuua ni lzm uuliwe Ili kumficha muuaji mkuu.
Rejea majambazi waliotaka kummaliza Lisu
Mauaji ni KUNYONGWA HADI KUFA.Hapo jaji awape kesi mbili za mauaji.
Moja ya mfanyabiashara mbili ya jambazi mwenzao. Kesi ya tatu uporaji. Jumla ya miaka 90 KILA mmoja inawatosha
AiseeeeMwingine huyo kajinyonga na waya wa Pasi
Ila dhuluma mbaya sana itawatafuna sana
Wauwane tu ili wapungue labda wapya wataheshimu kazi zao na kutuachia mali zetu na wao watafute za jasho lao View attachment 2097691
Tutolee upumbavu wako.27 January 2022
Leo #MariaSpaces tunajadili haki ya kuishi na usalama wa raia
Leo #MariaSpaces tunajadili haki ya kuishi na usalama wa raia kufuatia matukio kuongezeka ya mauaji, kupotea(zwa) kunyanganywa mali - nini kifanyike?
Source: Mwanzo
Lakini hata kesi ya Zombe na wenzake baada ya tume kuundwa na kutoa majibu kuhusu ukweli, tatizo likaja kwenye uandishi wa mashitaka!Wamemuuwa polisi wenzake kwenye ili kupindisha kesi, safari hii jamuhuri isifanye uzembe wa Kama kesi ya zombe ambapo kwa kujua kesi itakavyokuwa walimtorosha SADI aliyeamuliwakupiga risasi wafanyabiashara na kupora pesa, Askari aliyetubu na kueleza ukweli aliuwawa kabla ya ushaidi wake kupokelewa Kama kizibiti. So walipunguza nguvu ya mashaidi. Ndicho walichofanya Hawa polisi wa kihuni, alafu polisi wanamdharau Sana mama, mbona yule baba aliyefariki masika mwaka Jana hawakumchezeachezea figisu, dharau mama wamezidi ukiwaachia waendelee kuuwa uwa raia wema, iko siku watajaribisha kwenu viongozi, oooh nyie wachekeeni
Matambala ya deki yote yamechoka iweje lisikatike kwa uzito wa binaadam? Pili huko selo alikuwa mwenyewe?Hivi tambala la deki selo kweli?! Mbona haiingii akilini kabisa?!