Baba mzazi wa Askari Polisi anayedaiwa kujinyonga Mtwara adai kutoridhishwa na taarifa ya mwanae kujiua

wakiuana si ndo vizuri.
Haya ndio matokeo ya kulindana.
Walianza kwa Hamza wakampa cheo Cha ugaidi.
Tukio lile lile la Hamza limekuja kutokea Tena.
Chanzo ni DHULMA.
 
Na baaathiiiii ddaaaaay Leo hapa benja hatujasoma wanafunzi wamemuimbia nyimbo.
Ila mbona mwaka juzi Jana na miaka ya huko enzi za j p n sikuiona hii ishu.
Yaani hapa kila wilaya iwe nchi ndo tutaheshimiana.
Ama kila Kijiji kijimiliki chenyewe
 
 
Alipaswa akatae mwanae kuzikwa ili afanyiwe uchunguz,
 
Dah hii
Kwenye mchongo Kama huo ukitumwa kuua na ukakataa, basi na wewe watakuondoa tu. Kwenye majeshi yote ni lazima kutii amri ya mkubwa wako, nasisitiza ni lazima.
Dah hizi kazi za haya majeshi hazifai bas kabisa..
Bora nikamwage pili pili zangu hoho barbrn,
Kazi ni kutumwa kuua mtu asokua na hatia na hutakiwi kukataa
 
Kilio nilazima kita amia nyumbani unajuwa kwa nini? Hawa askari hawawatendei haki Raia. Uwenda Mungu anatufundisha jambo. Uwenda Mungu anawakumbusha jambo wenye mamlaka. Ukifurahia misiba ya wenzio kesho utakuwa na misiba mingi nawengi wakukucheka.
 
Seeeema kimeumanaaaa[emoji2]
 
Hawa mbwa wanaoua raia wasio na hatia dawa yao ndogo sana.

Kama unajijua huna Nguvu za kupambana nao, kiserikali ama kifedha dawa ni moja tu.

Chukuwa nauli waendee kwa wazee, hakuna kupoteza muda, yaan watasambaratika kwanzia Master plan wa mchongo, mpaka machawa wao wote wa mpango haramu.

Muda mwngine hatuitaji kupoteza muda kujibizana na haya mashetan watu.
 
Mm nafikiri kina Hamza wapatikane Kam kumi HV wapewe za usoo had akilli iwakae sawa
 
UCHAWI HAUPO NDUGU NI FIKSI TU.
 
Hivi tambala la deki selo kweli?! Mbona haiingii akilini kabisa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…