Baba yangu hakuniachia urithi lakini ndugu zangu wengine wamepewa wote, je nikijitenga na ile familia nakosea?

Baba yangu hakuniachia urithi lakini ndugu zangu wengine wamepewa wote, je nikijitenga na ile familia nakosea?

Mimi ni mtu ambaye kwenye familia ndiye niliyeonewa nimewekwa fungu la kukosa haya nayolalamikia nikweli nimetendewa ndugu yangu unazaliwa familia ambayo wao ndio wanastahili mimi sistahili
Shukuru kuzaliwa nafamilia imekukuza
Mengine jiongeze mzee, tulishatoka huko pia ndugu achukiwi
 
Pambana kutafuta vyako usiku na muchana mpaka siku moja wajutie kukutenga
Nilishamwambia baba yangu kuwa sihitaji mali ya urithi, tupo watoto 18 ( ana wake 3).

Ajabu na kweli, watoto wenzangu ( ni watu wazima kabisa wengine wako kwenye 60s) wana ugonvi mkubwa sana kwa ajili ya ya mirathi.

Umejiepusha na mengi, tafta mali zalo mwenyewe utapata tu. Uking'ang'ana na urithi utachelewa sana
 
Sioni sababu ya kujitenga na familia yako kwasababu kama mwenye makosa ni baba yako,,,wengine hawana makosa hlf kumbuka undugu unathamani zaidi kuliko kipande cha ardhi

Kuna leo na kesho zinaweza fika nyakati ukajikuja unawahitaji ndugu zako kuliko kitu kingine chochote kile

Kwahiyo usivunje undugu kwa ardhi ambayo hata wewe unaweza kuipata pia
 
Nilishamwambia baba yangu kuwa sihitaji mali ya urithi, tupo watoto 18 ( ana wake 3).

Ajabu na kweli, watoto wenzangu ( ni watu wazima kabisa wengine wako kwenye 60s) wana ugonvi mkubwa sana kwa ajili ya ya mirathi.

Umejiepusha na mengi, tafta mali zalo mwenyewe utapata tu. Uking'ang'ana na urithi utachelewa sana
Kwakweli tatizo hili
 
Sioni sababu ya kujitenga na familia yako kwasababu kama mwenye makosa ni baba yako,,,wengine hawana makosa hlf kumbuka undugu unathamani zaidi kuliko kipande cha ardhi

Kuna leo na kesho zinaweza fika nyakati ukajikuja unawahitaji ndugu zako kuliko kitu kingine chochote kile

Kwahiyo usivunje undugu kwa ardhi ambayo hata wewe unaweza kuipata pia
Umenena mkuu
 
Yawezekana Mzee aligundua kuwa wewe sio mtoto wake Ila Kwa sababu ya busara tu akaona haina haja kuharibu familia uteeni Kwa sababu Kama hiyo.
Hii ni sababu kubwa na mimi naona
Au labda kama ulikuwa mkorofi huna heshima kwake.

Kwani ukimuuliza mama yako na ndugu zako wanakupa jibu gani?
 
Hii ni sababu kubwa na mimi naona
Au labda kama ulikuwa mkorofi huna heshima kwake.

Kwani ukimuuliza mama yako na ndugu zako wanakupa jibu gani?
Jizee lile lilikuwa katili sana ogopa mtu anapiga mke wake pamoja na mama yake mzazi aliyemzaa
 
Back
Top Bottom