Baba yangu hakuniachia urithi lakini ndugu zangu wengine wamepewa wote, je nikijitenga na ile familia nakosea?

Baba yangu hakuniachia urithi lakini ndugu zangu wengine wamepewa wote, je nikijitenga na ile familia nakosea?

Nimeona nisifanye hivyo ndugu yangu Mahakamani kesi za mirathi hazihesabiki, nimejiweka nje yote maisha
Basi muulize mama kwanini!!?

Mama anaijua siri hiyo!

Je wewe na ndugu zako mnafanana!!?

Au Kuna utofauti fulani!!?

Situation yako inaleta maswali mengine!
 
Heshimu kuwa amekuzaa na uheshimu hayo maamuzi yake,kwako ndigu zako wamekukosea nini?muulize mama vizuri anafahamu pahali unarithi
 
Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni watano wala hakunijumuisha

Mimi sikujua chochote kipindi hicho mana nilikuwa mdogo, baada ya kukua ndipo nikajaikuta karatasi ya wosia wake ndani ya sanduku lake
Nilisoma huku nabubujika machozi kiasi gani baba yangu alikuwa fedhuli na kuacha kunijumuisha kama mtoto wake kwenye mirathi yake wakati amenizaa na mama yangu na mimi sio mtoto wa nje

Nimebeba hayo maumivu mpaka sasa sikutaka kabisa kuwa na roho mbaya nianze kudai mirathi nilichojisemea ni kuwa kama alinyima ni sawa yote ni maisha

Lakini nimeona haitoshi nisiishie hapo tu nimeamua kujiondoa kwenye ile familia ambayo sikuhesabiwa na wala sitadai chochote
Je mimi kujitenga niko sawa au nakosea

Mimi binafsi sioni kama nakosea kwasababu sitaki kujipendekeza familia niliyotupiliwa nje
Mkuu nenda ukafanye kipimo cha DNA kupitia ndugu zako ili uweze kuujua ukweli wote. Isije kuwa mzee alistukia mchezo fulani na kisha akaja kutambua kachomekewa mtoto kimtindo.

Kwa mila za Kiafrika, mtoto wa mwisho mara nyingi ndiye ambaye huwa anapata "lion share" kuliko wenzake. Hivi ujiulizi, sasa kwa nini kwako iwe hivyo!? Jiongeze, ukiuona mkia wa nyani, basi pia umeziona naniliu yake.

Shukuru sana, Mzee kauwa soo kistaarabu sana.
 
Wewe ni mtoto wa nnje ya ndoa unafikiri huyo mzee ni hajui?

Kumbuka amekulea tangu ukiwa mtoto kwhy anakujua zaidi ya ww unavyojijua.

Halafu kumbuka wazee wetu wanasemaga "kuchapiwa ni siri ya ndani"
 
Wewe ni mtoto wa nnje ya ndoa unafikiri huyo mzee ni hajui?

Kumbuka amekulea tangu ukiwa mtoto kwhy anakujua zaidi ya ww unavyojijua.

Halafu kumbuka wazee wetu wanasemaga "kuchapiwa ni siri ya ndani"
Kwa mtoto wa nje hiyo nakataa lilikuwa na laana zake za kumpiga bibi na mama hakuna lolote
 
Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni watano wala hakunijumuisha

Mimi sikujua chochote kipindi hicho mana nilikuwa mdogo, baada ya kukua ndipo nikajaikuta karatasi ya wosia wake ndani ya sanduku lake
Nilisoma huku nabubujika machozi kiasi gani baba yangu alikuwa fedhuli na kuacha kunijumuisha kama mtoto wake kwenye mirathi yake wakati amenizaa na mama yangu na mimi sio mtoto wa nje

Nimebeba hayo maumivu mpaka sasa sikutaka kabisa kuwa na roho mbaya nianze kudai mirathi nilichojisemea ni kuwa kama alinyima ni sawa yote ni maisha

Lakini nimeona haitoshi nisiishie hapo tu nimeamua kujiondoa kwenye ile familia ambayo sikuhesabiwa na wala sitadai chochote
Je mimi kujitenga niko sawa au nakosea

Mimi binafsi sioni kama nakosea kwasababu sitaki kujipendekeza familia niliyotupiliwa nje
Usikute BABA Yako sio babaako na aligundua hilo.
 
Kwa mtoto wa nje hiyo nakataa lilikuwa na laana zake za kumpiga bibi na mama hakuna lolote
Wew ni mtoto wa nje ya ndoa acha ubishi mzee siyo mjinga uliza vizuri ndugu zako wakueleze ukweli
 
Sababu halali za kisheria kutorithishwa
1. kutembea na mke wa mzazi
2. kumpiga/kumdhalilisha
3. kumnyima matunzo/ matibabu makusudi
4. kuhusika na kifo chake/ kumuua
5. kuharibu mali zilizokuwepo
Kama haumo kati ya hizo wosia ni batili mgawane upya.
La, baba yako aliijua siri ya mama yako na akakataa mambo ya kitanda hakizai haram!
Alafu vijana muache kupambana na wazee wenu kwa vimada , wao wanawekeza pesa nyie mnawekeza mastyle! mtakosa vianzio.
 
Hapana mkuu alikuwa katili
Wewe una ushahidi gani kuwa sio mtoto wake yani awe katili kwako na sio kwa watoto wengine. Basi wewe ndio utakuwa na tatizo.

Mimi navyojua mtu anavyo andika wosia au kugawa mali lazima kuna mtu au watu atawa shirikisha na lazima wange mshauri. Kwa hiyo kama hujamfanyia baya lolote elewa wewe si mtoto wake
 
Mzee wa kubet baba kakunyima shamba na mama anakuita mchawi, pole sana lakini mungu kakuona na wewe kakupatia kwa kubet kuliko hata hilo shamba, tulia uko vizuri enjoy life
 
Ila ndugu zako nao wakae tena chini wakubaliane waligawe shamba mara tano na wewe upate, wakikataa naona ni issue nyingine na sikulaumu ukiwapiga chini
 
Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni watano wala hakunijumuisha

Mimi sikujua chochote kipindi hicho mana nilikuwa mdogo, baada ya kukua ndipo nikajaikuta karatasi ya wosia wake ndani ya sanduku lake
Nilisoma huku nabubujika machozi kiasi gani baba yangu alikuwa fedhuli na kuacha kunijumuisha kama mtoto wake kwenye mirathi yake wakati amenizaa na mama yangu na mimi sio mtoto wa nje

Nimebeba hayo maumivu mpaka sasa sikutaka kabisa kuwa na roho mbaya nianze kudai mirathi nilichojisemea ni kuwa kama alinyima ni sawa yote ni maisha

Lakini nimeona haitoshi nisiishie hapo tu nimeamua kujiondoa kwenye ile familia ambayo sikuhesabiwa na wala sitadai chochote
Je mimi kujitenga niko sawa au nakosea

Mimi binafsi sioni kama nakosea kwasababu sitaki kujipendekeza familia niliyotupiliwa nje
Mm nikajua labda kampuni kumbe shamba, pambana. Nitafute nikupe mbinu
 
Mzee wa kubet baba kakunyima shamba na mama anakuita mchawi, pole sana lakini mungu kakuona na wewe kakupatia kwa kubet kuliko hata hilo shamba, tulia uko vizuri enjoy life
Yani mimi katika ile familia wameniweka fungu la kukosa kama Shetani
Mzee wa kubet baba kakunyima shamba na mama anakuita mchawi, pole sana lakini mungu kakuona na wewe kakupatia kwa kubet kuliko hata hilo shamba, tulia uko vizuri enjoy life
Mimi katika ile familia nimewekwa fungu la kukosa kama Shetani hakuna hata jema moja
 
Back
Top Bottom