Baba yangu hakuniachia urithi lakini ndugu zangu wengine wamepewa wote, je nikijitenga na ile familia nakosea?

Baba yangu hakuniachia urithi lakini ndugu zangu wengine wamepewa wote, je nikijitenga na ile familia nakosea?

Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni watano wala hakunijumuisha

Mimi sikujua chochote kipindi hicho mana nilikuwa mdogo, baada ya kukua ndipo nikajaikuta karatasi ya wosia wake ndani ya sanduku lake
Nilisoma huku nabubujika machozi kiasi gani baba yangu alikuwa fedhuli na kuacha kunijumuisha kama mtoto wake kwenye mirathi yake wakati amenizaa na mama yangu na mimi sio mtoto wa nje

Nimebeba hayo maumivu mpaka sasa sikutaka kabisa kuwa na roho mbaya nianze kudai mirathi nilichojisemea ni kuwa kama alinyima ni sawa yote ni maisha

Lakini nimeona haitoshi nisiishie hapo tu nimeamua kujiondoa kwenye ile familia ambayo sikuhesabiwa na wala sitadai chochote
Je mimi kujitenga niko sawa au nakosea

Mimi binafsi sioni kama nakosea kwasababu sitaki kujipendekeza familia niliyotupiliwa nje
Waonyeshe upendo tu ,na endelea ku pambana tafuta pesa ,kujitenga kutokujitenga hakutobadili matokeo yaliyopo
 
Katika vitu ambavyo haviwezi nitoa machozi ni urithi..Pambana upate vyako otherwise maisha Yako yote usipofanikiwa katika jambo lolote utakuwa wa kwanza kulaumu watu
 
Mama alinambia baba yako tumeishi nae akitupiga na kututusi kila siku kama yeye kukunyima alikudharau sasa utafanyaje kama mimi nimekuwa nikipigwa makofi na ngumi kila niliposhauri lolote
Hiyo siyo sababu akuambie vizuri. Kama alipigwa inahusiana vipi na wewe kutokupewa urithi wapewe wengine? Akueleze ukweli
 
Waonyeshe upendo tu ,na endelea ku pambana tafuta pesa ,kujitenga kutokujitenga hakutobadili matokeo yaliyopo
Bado nalifanyia kazi sitataka urithi lakini cha moto watakiona, siwezi kudharaulika kiasi hiki
 
Na ule urithi aliandika usomwe mbele ya Ukoo manake mimi alinisaliti mbwa yule
Basi kama huna baya ulilo mfanyia.
Itakuwa wewe sio mtoto wake tena ukute alifahamu kabisa wewe ni Chasaka sio rahisi akupe urithi wa eneo hasa lile shamba ambalo na yeye alirithishwa.
 
Basi kama huna baya ulilo mfanyia.
Itakuwa wewe sio mtoto wake tena ukute alifahamu kabisa wewe ni Chasaka sio rahisi akupe urithi wa eneo hasa lile shamba ambalo na yeye alirithishwa.
Sitaki kufikiria serious mana naweza kujikuta police mana naweza chukua hatua mbaya sana
 
Mama alinambia baba yako tumeishi nae akitupiga na kututusi kila siku kama yeye kukunyima alikudharau sasa utafanyaje kama mimi nimekuwa nikipigwa makofi na ngumi kila niliposhauri lolote
Pengine alikuwa na hasira ya kusalitiwa kwenye ndoa unafikiri ni kitu chepesi kukibeba.
 
Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni watano wala hakunijumuisha

Mimi sikujua chochote kipindi hicho mana nilikuwa mdogo, baada ya kukua ndipo nikajaikuta karatasi ya wosia wake ndani ya sanduku lake
Nilisoma huku nabubujika machozi kiasi gani baba yangu alikuwa fedhuli na kuacha kunijumuisha kama mtoto wake kwenye mirathi yake wakati amenizaa na mama yangu na mimi sio mtoto wa nje

Nimebeba hayo maumivu mpaka sasa sikutaka kabisa kuwa na roho mbaya nianze kudai mirathi nilichojisemea ni kuwa kama alinyima ni sawa yote ni maisha

Lakini nimeona haitoshi nisiishie hapo tu nimeamua kujiondoa kwenye ile familia ambayo sikuhesabiwa na wala sitadai chochote
Je mimi kujitenga niko sawa au nakosea

Mimi binafsi sioni kama nakosea kwasababu sitaki kujipendekeza familia niliyotupiliwa nje
Juzi ulisema Mama na kaka zako wanasema unapata Hela kupitia makafara leo tena umetolewa kwenye Urithi...Wewe itakuwa waliku addopt sio member wa iyo familia uliza vizuri.
 
Mama alinambia baba yako tumeishi nae akitupiga na kututusi kila siku kama yeye kukunyima alikudharau sasa utafanyaje kama mimi nimekuwa nikipigwa makofi na ngumi kila niliposhauri lolote
Kumbe familia ilisha sambalatika kitambo
 
Juzi ulisema Mama na kaka zako wanasema unapata Hela kupitia makafara leo tena umetolewa kwenye Urithi...Wewe itakuwa waliku addopt sio member wa iyo familia uliza vizuri.
Nashkuru uliona malalamiko yangu kwa pamoja ili uone ni jinsi gani nateseka
Kaka wa kwanza kuzaliwa tayari ameshajitenga baada ya kuitwa Freemason na huyo mlokole kisa kanunua Ranger Ford ambayo kiuhalali kwa umri wake wa miaka 50 pamoja na kazi yake ya Uwakili mahakama ya Kisutu hashindwi kupata 200m
 
Tutagawana nao hasara sijawa tu serious naskia harufu ya police inanukia
Sawa,,,utakuja kutupa mrejesho

Ila nakushauri ujifunze kusamehe,,,ngoja nikufungulie code kidogo sisi baba yetu aliuza eneo lenye thamani ya almost bil 2.5 na alishirikisha watu baki katika mambo yake

Alifanya miradi ambayo hakutushirikisha kama familia,na mwisho wa siku hao watu walimwingiza chaka na kufilisika kabisa

Kama watoto tulikwazika sana,,,na ilifika kipindi mtu mpaka unawaza umpotezee mshua lkn hasa mimi niliwaza na kusema huyu ni baba yetu na hakutakuwa na baba mwingine,,hizo zilikuwa mali zake na alifanya vile ambavyo aliona inafaa,,ingawa baadae alikuja kukiri kuwa alifanya makosa

Tulijifunza kumsamehe na kumove on,,na tunampenda ni mzazI wetu

Kwahiyo usitiwe ndimu na wanajf humu ndani,,,just move on chief
 
Back
Top Bottom