Wewe sio mbwa ww ni mtoto wa nje ya ndoaIlikuwa kabla mama alipomweleza akaishia kutukanwa matusi yote ngumi na mateke nakujibiwa kuwa sina mali za kumpa nishagawa tena kwa hasira inamaana kwamba mm ni mbwa nawala sistahili
Hadi hapa wewe sio wake. Mwambie mama yako akuoneshe baba yako halisi ukapate urithi wako hukoAlinambia baba alikuwa katili sana kila alichomshauri aliishia kupigwa
Ndugu yangu mimi wacha nikae mbali na ile familia naanza kuiondoa akilini haiwezekani wakanitenda hiviWewe sio mbwa ww ni mtoto wa nje ya ndoa
Fullstop acha kulialia tafuta mali zako,au nenda kwa baba'ko wa halali akugawie mali zake.
Hata mimi mzee wangu alitaka kunigawia kiwanja nijenge nilikataa nikaanza mwenyewe from scratch.Unalilia urithi kwa mzee?
Wakati mzee ananigaia baadhi ya Mali zake nilikataa nikamwambia awape wadogo zangu kwa kuwa nina vyangu vya kutosha
Jifunze. Tafuta za kwako
Ushauri wa busara sana huu,mtoa mada atulize kichwa na kutafakariSioni sababu ya kujitenga na familia yako kwasababu kama mwenye makosa ni baba yako,,,wengine hawana makosa hlf kumbuka undugu unathamani zaidi kuliko kipande cha ardhi
Kuna leo na kesho zinaweza fika nyakati ukajikuja unawahitaji ndugu zako kuliko kitu kingine chochote kile
Kwahiyo usivunje undugu kwa ardhi ambayo hata wewe unaweza kuipata pia
Kiukweli kama ni kweli ni mtoto wa nje kwanza ashukuru kulelewa na kuwa mkubwa wazee wa zamani walikuwa wastaarabu sana kama ni hawa vijana wa sasa anakinukisha mapema sana.Wewe ni mtoto wa nnje ya ndoa unafikiri huyo mzee ni hajui?
Kumbuka amekulea tangu ukiwa mtoto kwhy anakujua zaidi ya ww unavyojijua.
Halafu kumbuka wazee wetu wanasemaga "kuchapiwa ni siri ya ndani"
Ulitupwa nje na baba'ko siyo familia yako.Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni watano wala hakunijumuisha
Mimi sikujua chochote kipindi hicho mana nilikuwa mdogo, baada ya kukua ndipo nikajaikuta karatasi ya wosia wake ndani ya sanduku lake
Nilisoma huku nabubujika machozi kiasi gani baba yangu alikuwa fedhuli na kuacha kunijumuisha kama mtoto wake kwenye mirathi yake wakati amenizaa na mama yangu na mimi sio mtoto wa nje
Nimebeba hayo maumivu mpaka sasa sikutaka kabisa kuwa na roho mbaya nianze kudai mirathi nilichojisemea ni kuwa kama alinyima ni sawa yote ni maisha
Lakini nimeona haitoshi nisiishie hapo tu nimeamua kujiondoa kwenye ile familia ambayo sikuhesabiwa na wala sitadai chochote
Je mimi kujitenga niko sawa au nakosea
Mimi binafsi sioni kama nakosea kwasababu sitaki kujipendekeza familia niliyotupiliwa nje
Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni watano wala hakunijumuisha
Mimi sikujua chochote kipindi hicho mana nilikuwa mdogo, baada ya kukua ndipo nikajaikuta karatasi ya wosia wake ndani ya sanduku lake
Nilisoma huku nabubujika machozi kiasi gani baba yangu alikuwa fedhuli na kuacha kunijumuisha kama mtoto wake kwenye mirathi yake wakati amenizaa na mama yangu na mimi sio mtoto wa nje
Nimebeba hayo maumivu mpaka sasa sikutaka kabisa kuwa na roho mbaya nianze kudai mirathi nilichojisemea ni kuwa kama alinyima ni sawa yote ni maisha
Lakini nimeona haitoshi nisiishie hapo tu nimeamua kujiondoa kwenye ile familia ambayo sikuhesabiwa na wala sitadai chochote
Je mimi kujitenga niko sawa au nakosea
Mimi binafsi sioni kama nakosea kwasababu sitaki kujipendekeza familia niliyotupiliwa nje
Baba yako akuzae ,akuchagulie Mama,akuchagulie ndugu wako wa karibu ,akusomeshe ,akupe jina unalotumia hadi sasa.Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni watano wala hakunijumuisha
Mimi sikujua chochote kipindi hicho mana nilikuwa mdogo, baada ya kukua ndipo nikajaikuta karatasi ya wosia wake ndani ya sanduku lake
Nilisoma huku nabubujika machozi kiasi gani baba yangu alikuwa fedhuli na kuacha kunijumuisha kama mtoto wake kwenye mirathi yake wakati amenizaa na mama yangu na mimi sio mtoto wa nje
Nimebeba hayo maumivu mpaka sasa sikutaka kabisa kuwa na roho mbaya nianze kudai mirathi nilichojisemea ni kuwa kama alinyima ni sawa yote ni maisha
Lakini nimeona haitoshi nisiishie hapo tu nimeamua kujiondoa kwenye ile familia ambayo sikuhesabiwa na wala sitadai chochote
Je mimi kujitenga niko sawa au nakosea
Mimi binafsi sioni kama nakosea kwasababu sitaki kujipendekeza familia niliyotupiliwa nje
Mkuu kwa majibu kama haya acha unyimwe urithi,umeshaambiwa huko juu na wadau inawezekana wewe siyo mtoto wa huyo mzee ongea vizuri na Mama anajua ukweli..Hana lolote alikuwa mshenzi kama wengine
Ni kweli inauma!Mimi ni mtu ambaye kwenye familia ndiye niliyeonewa nimewekwa fungu la kukosa haya nayolalamikia nikweli nimetendewa ndugu yangu unazaliwa familia ambayo wao ndio wanastahili mimi sistahili
Yaani inasikitisha kuwa:Hana lolote alikuwa mshenzi kama wengine