Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Huyu alikua nani? Na alikua akiyaongea hayo kwa nguvu gani?
 
Kilichofanyika DODOMA ni sawasawa na Samia kujiteua kisha kuwastukiza wajumbe wampitishe!

Mkuu, siyo sawa na kujiteua. Huo ndio ulikuwa mpango mzima chini ya usimamizi wa JMK. Uliona jinsi Maza alivyokasilika kale Kabinti toka Mwanza kalipohoji kiaina.

Ni mpango ambao hata Nchimbi aliufahamu. Wasitufanye Watoto. 2021, JPM alipotutoka, Kigogo alitoa kuwa Nchimbi ndiye kapendekezwa kumsaidia Maza. Lakini Maza akakata kona only now to come to reality.
 
Kwamba ni mpango wa JK
 
Umejenga hoja vyema sana mkuu.

Lakini msingi wa swali ni kuwa mahakama na tume ni za kwao, kutegemea matokeo kuwa kwa upande wetu sisi wafuata taratibu inakua ngumu sana.
 
Hata mimi nimeshangaa japo siko huko CCM basi kipindi cha JK democrasia ilikuwa kuanzia huko kwenye chama chao
 
Madaraka na mihemuko ya wanachama wenye hulka za kichawa na zimefikisha kwenye kona mbaya
 
Mjalana aliye laaniwa kesha chambia kakitabu cha katiba na kakitabu ka msahafu sembuse hako KAKITABU KA CCM ...HUYO MJALAANA KAINGIA NA MABASHA KWENYE ALKAHABA YA MTUME SEMBUSE CCM 😁😁😁
1)KAKITABU KA MSAHAFU
2)KAKITABU CHA KATIBA
3)KAKITABU CHA CCM..

Waisiharamu watabisha watasema ni suna na wafuasi wao watasema asante shekh kwa ilimu😁
 
Takataka
 
 

Attachments

  • 5938169-3f8437b06df44d0a7c8b8e175f481762.mp4
    23 MB
Walishasema wachawi wameshakufa ndio walikuwa kauzibe kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…