Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Ni shidaWatu wamepiga hesabu za 2030. Wameona akitoka Samia zitakuja zama mpya so lazima wajiwekee tena mtu wao ambae atakuja kuwa mrithi baada ya mama, ili ulaji uendelee. JK anahofia sana kuja mtu tofauti nje ya kundi lake. Ndiyo maana EN kapewa uwenza ili aje kuchukua mikoba 2030, coz ni mkatoliki na ni wa kundi Lao. Kwa znz tayari wamepachika bin Kombo foreign kumuandaa. Patachimbika!!
Kumpamba mama kote kule lkn bado watu wanahofia mchujo, washasoma alama, namba hazitimii.
Mkuu Watu hawajasoma Katiba ya CCM 1977 toleo 2022.Samia kakaripia watu kuanza kampeni kabla ya wakati, halafu yeye kaenda kuanza kampeni bila kufuata wakati.
Kikao kimevunja katiba ya CCM ya 1977, tileo la Disemba 2022, 8bara ya 100, kifungu cha 5 c.
Kama kuna watu wanataka kupinga jambo hili, wanaweza.
Wakala nae ni binadamu. Unategemea gaidi mbowe ale pesa yote, mawakala hawalipwi, nani atakaa. Mbowe ameshindwa kupata support kutetea kiti kwa sababu hicho chama hela inabaki tu juu, haishuki chini. Mashinani kumepauka, njaa kali. Huwezi kukuza chama. CCm angalau wana vimradi mikoani, nyumba, fremu za maduka, shule, hospitali, viwanja vya mpira. Kila kitu mwisho wake ni maslahiAlichofanya magufuli tumeona kwenye vituo vya kura kwa macho yetu bila hata kuhadithiwa
Mimi kituo nilichopiga kura mwaka 2020 hakukua na wakala yeyote wa upinzani sikuwah kuona katika chaguzi zote nilizoshiriki sasa huo ni uchaguzi au uhuni
Usitete ujinga
2020 kuna watu walivuruga uchaguzi maksudi wakasahau kwamba ajuaye kesho leo hii ni mwaka wa nne hawapo duniani vyote wameviachaWatu wamepiga hesabu za 2030. Wameona akitoka Samia zitakuja zama mpya so lazima wajiwekee tena mtu wao ambae atakuja kuwa mrithi baada ya mama, ili ulaji uendelee. JK anahofia sana kuja mtu tofauti nje ya kundi lake. Ndiyo maana EN kapewa uwenza ili aje kuchukua mikoba 2030, coz ni mkatoliki na ni wa kundi Lao. Kwa znz tayari wamepachika bin Kombo foreign kumuandaa. Patachimbika!!
Kumpamba mama kote kule lkn bado watu wanahofia mchujo, washasoma alama, namba hazitimii.
Maswala ya ugaidi wa mbowe yanatoka wapi kwenye uziWakala nae ni binadamu. Unategemea gaidi mbowe ale pesa yote, mawakala hawalipwi, nani atakaa. Mbowe ameshindwa kupata support kutetea kiti kwa sababu hicho chama hela inabaki tu juu, haishuki chini. Mashinani kumepauka, njaa kali. Huwezi kukuza chama. CCm angalau wana vimradi mikoani, nyumba, fremu za maduka, shule, hospitali, viwanja vya mpira. Kila kitu mwisho wake ni maslahi
Kikwete ameharibu sana utaratibu, na ametia doa urais wa Samia hata kama atakuja kushinda.Mkuu Watu hawajasoma Katiba ya CCM 1977 toleo 2022.
Kuna ukiukwaji wa Katiba. Tuangalie kwa uchache
Tuanze na Fungu VII Vikao vya Taifa.
Fungu VII 99 (4) Kamati maalumu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa (Zanzibar).
Fungu VII, 110 (7)(b) Kamati Maalumu itapendekeza majina KWA Kamati kuu CCM kwa Wanachama wanaoomba kuteuliwa nafasi ya Urais, Uwakilishi na Ubunge
Hoja: Wanachama waliotaka kuomba nafasi wamenyimwa haki yao kikatiba hakuna mchakato uliopendekeza majina na kuchujwa na Kamati kuu ya CCM Taifa. Jina la H.A Mwinyi lilipatikanaje?
Kamati Kuu ya CCM.
Fungu VII M 104 (1)(7)(b) Kamati Kuu itapendekeza kwa Halmashauri kuu majina yasiyozidi matano ya Wanaoomba kugombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Fungu VII ,104 (1)(7)(d) kufikiria na kupendekeza majina yasiyozidi matatu ya Wanachama wanaotaka kugombea kiti cha Rais wa Zanzibar
Hoja: Nafasi ya majina 5 au 3 ingepatikanaje ikiwa hakukuwa na uombaji na mchakato ?
Halmashauri kuu
Fungu VII, 103(12) (b na c) Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu wa Taifa majina yasiyozidi matatu kwa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano , na jina mmoja kwa nafasi ya Rais wa Zanzibar
Hoja: Halmashuri kuu haikufanya kazi kwasababu haikupokea majina kutoka Kamati kuu.
Wanachama waliotakiwa kuwa 5 Kamati kuu kisha 3 Halamshauri kuu kwa Jmahuri ya Muungano, na Wanachama 3 Kamati maalum Zanzibar kisha jina moja Kamati kuu hawakupewa nafasi.
Mkutano Mkuu
Fungu VII, 101 (5)(c) Kuchagua jina moja kwa atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Hoja: Jina moja kutoka matatu yaliyopendekezwa na Halmashuri Kuu kwa Urais wa Jamhuri ya Muungano.
Kwa Upande wa Zanzibar, katiba haijasema chochote. Maana yake Halamshauri kuu ndio kikao cha mwisho cha uteuzi wa Rais wa Zanzibar. Mwinyi alithibitishwaje Dodoma?
Rais Mstaafu Kikwete anasema, limeshatoka azimio la Mkutano Mkuu, akina ''Emanuel' kwa maana ya KM wa CCM waangalie taratibu za kisheria. Katiba ya CCM inakataa .
Fungu VII, 101 (7) linatoa Uhuru wa Mkutano Mkuu Kukasimu shughuli zake kwa Halamshauri kuu ya CCM isipokuwa kifungu (c) kinachokataza Mkutano Mkuu kukasimu madaraka ya uteuzi wa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano, na (d)Kuthibitisha mgombea Urais wa Zanzibar.
Rais Mstaafu anatueleza, CCM imeweka mkokoteni mbele ya Farasi halafu zitafutwe njia za kuhalalisha hilo
Yote haya yapo wazi kwenye Katiba ya CCM, Watu wasome waje tujadiliane kama kuna makosa ya tafsiri
Hata ndani ya CCM wanasema wazi kilichofanyika hakikuwa sahihi. Nadhani walitaka kukwepa ushindani wa majina 5 kisha 3. Nashangaa wanaogopa nini? Kuna wakati alikuwepo Msuya, JK, na Mkapa!Kikwete ameharibu sana utaratibu, na ametia doa urais wa Samia hata kama atakuja kushinda.
Mchakato mzima umekosa uhalali hata kwa wasiojua sheria. Ukisoma katiba tu unajua kuna tatizoKwa sababu watu wataangalia mchakato mzima wa Samia alivyokuwa rais, na kuona matatizo haya ya kikatiba.
Nakuhakikishia ingelikuwa ni CDM au ACT leo Msajili wa Vyama ungemsikia kwa kila neno.Na zaidi, wameacha mwanya wa Samia kuwekewa pingamizi.
Ndio taliana mnavyoaminishana hivyo. Tunajua mna hasira ila huko haiendi.Nchi inaenda upinzani
Underperformance gani so far aliyofanya. Kitu gani hakiendi. Shida ni nyie taliana mnaaminishana kuwa ndio kila kituIla hili taifa tunakwama sana huyu mama pamoja na underperformance hii lkn bado tunampa nafasi ya kuliongoza tena taifa. Wenzetu wa Malawi yule mama baada ya kuupata urais ndondokela kama huyu wa kwetu na akaperform chini ya kiwango uchaguzi uliofuata watu walipiga chini hawakuangalia usoni ila sisi sasa dah
Unajua nchi za wazungu viongozi baada ya kustaafu hasa maraisi walio save maximum terms. Na viongozi wengine wakuu wa idara nyeti ambao hawawezi tena kuwa viongozi (senior serikali au kwenye vyama) wanapewa power withdraw therapy pamoja na watoto ambao washazoea ulinzi how to be civilians.Kikwete ameharibu sana utaratibu, na ametia doa urais wa Samia hata kama atakuja kushinda.
Kwa sababu watu wataangalia mchakato mzima wa Samia alivyokuwa rais, na kuona matatizo haya ya kikatiba.
Na zaidi, wameacha mwanya wa Samia kuwekewa pingamizi.
Kwamba ni mpango wa JK
Tanzania ma ex presidents wana tabia hii tangu Nyerere. Ambaye hakufanya mchezo huu ni Mwinyi tu. Tofauti hawakufanya wazi hivi.Unajua nchi za wazungu viongozi baada ya kustaafu hasa maraisi walio save maximum terms. Na viongozi wengine wakuu wa idara nyeti ambao hawawezi tena kuwa viongozi (senior serikali au kwenye vyama) wanapewa power withdraw therapy pamoja na watoto ambao washazoea ulinzi how to be civilians.
Tanzania hatuna utaratibu huo, from 2016 wengine tumekuwa tunasema issue ya JK ni psychology ya kudhani bado ni mtu influential na kupambania kubaki relevant kwenye decision making za nchi (ni mental issue),
Kwa nafasi yake alikuwa na mamlaka gani ya kupitisha azomio la Dodoma, kwa nafasi gani aliyonayo CCM leo.
JK ni mental case, sema Tanzania atuelewi tu. Kilichotokea Dodoma hana mamlaka ya kichama wala serikali kuyaidhinisha yaliyofanyika Dodoma ni wazimu wake tu.
Its true hakikuwa sahihi, nimemwandikia barua Dada kumshauri hili lirekebishwe Dada Mkubwa tunakupenda na tunakukubali, kama ni wewe, ni wewe tu, hakuna mwingine! Usiruhusu uhuni huu, fuata Katiba na the due process, utabarikiwa
Ni kweli kabisa ! πWanaishi kwenye dunia yao.
Washauri makini wa raisi kwenye maswala ya siasa.
Wangeenda NEC na kuomba matokeo ya uchaguzi 2020 na kuelewa watanzania wanataka nini, based on actual votes za uraisi (ambapo Magufuli hakuwa na mpinzani).
Sio scientific people, wanapeana nafasi na kujazana ujinga tu; hakuna qualified people kwenye nafasi za strategy ya chama wala serikalini,
Ujinga mtupu, you can tell kwa kuwasikiliza tu this person doesnβt know how things work.
Lakini Katiba haijawakataza kufanya yale wayafanyayo ! Right ?Tanzania ma ex presidents wana tabia hii tangu Nyerere. Ambaye hakufanya mchezo huu ni Mwinyi tu. Tofauti hawakufanya wazi hivi.
Nyerere alimkata Kikwete kwa kubadilisha sheria za mchezo katikati ya mchezo.
Mkapa alitulazimishia Magufuli despite recommendations za security organs.
Kikwete ndiye huyu sasa.
Wamerithishana uhuni wa kujiona kingmakers.
Kama kweli wapo wana CCM waliochukia tuwaone nao wakiipigania Katiba mpya ipatikane ambayo itapunguza madaraka makubwa kweri kweri aliyopewa Mkuu wa Nchi ambaye huyo huyo ndiye Mkuu wao wa Chama π³π³π!Huu ni uongo mkubwa sana.
Mjumbe gani alizuia JPM kujiongezea muda?
Si haohao wajumbe ndio walikuwa wanaropoka huko mikoani anakopita JPM kuwa awe Rais mpaka kifo chake?
Hakuna mjumbe aliyechukia Samia kuwekwa kwenye nafasi ya kugombea peke yake na kwa haraka.
Naijua CCM na pia nawajua wana CCM vizuri acheni kukuza mambo