Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Kusema si kutenda kwa maneno yako watangulizi wote hawakuwa focused.?
 
Unapayuka tuu usiyoyajua,kuna siku uliwahi sikia serikali imekopa alafu haijasema hela itafanya nini?

Wakati mnakopa huku mnadanganya kwamba mnafanya kwa pesa zenu pesa mlikuwa mnapeleka wapi na hakuna mradi mliokamilisha kwa miaka yote 6?

We ni mjinga yaani subiria ndani ya miezi 6 by desemba utapata kuona vituo vya afya,madarasa ya tozo..

Kwa mfano huko kwako huoni Tarura wakijenga barabara? Umesikia popote saizi kelele za wabunge? Jibu ni wanaona matokeo.

Mumebakia nyie wajinga wenye chuki ndio mnajifanya hamuoni,sisi tutakuwa tunawaonesha namba tuu kama hivi 👇

View attachment 1963645

View attachment 1963647

View attachment 1963649

View attachment 1963651

View attachment 1963653

View attachment 1963654



DAAAH,


RAIS SAMIA NI MOTO MKALI


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Wewe mpumbavu umejisajiri humu kupiga mapambio! Stupid kamlambe makalio huyo ndugu yako maana kila siku humu kelele tu!
Jibu hoja ndio uanze kutoa povu kima wewe.

Pambio zilikuwa zama za giza saizi ni facts na namba tuu,kwani wewe unateseka? 😄😄

Wapumbavu ni waliokuzaa ndio maana umebeba bichwa kubwa.limejaa makamasi..

Kuwa mzalendo twende na mama beyond infinity
 
Tumefanya nini waafrica mkuu?

Bajeti moja ya barabara|madaraja & Viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​



#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Samia Hadi 2050,Asiyetaka ahame nchi
 
Wanalipwa wote mkuu pesa imetenga kwenye CFS,

KUWA NA AMANI NDG YANGU

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Waambie mama analipa hadi madiwani wenyeviti wa mitaa/ vijiji na makatibu tarafa..

Yaani mambo ni 🔥♨️♨️
 
Mkuu hizi chuki ni kwa faida ya nani?

Hizi barabara Samia anajenga Zanzibar?

Hii SGR Samia anajenga Zanzibar?

Hii SG megawatt 2,114 Samia anajenga Zanzibar?

Haya madarasa elfu 15 Samia anajenga Zanzibar?

Hivi vituo vya afya 220 Samia anajenga Zanzibar?


PUNGUZA UKABILA SIMAMA NA NCHI YAKO,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Hayo akayafanye kwao Zanzibar. Kwani umeambiwa tumeshindwa kufanya wenyewe huku Tanganyika?

Hapo hakuna ukabila. Kila mtu akagombee kwao.
 

Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​

=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21

Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,

Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1963497
Hizi taarifa ni njema sana. Nadhani kwa sasa kilometa moja ya lami inaweza kwenda kwenye wastani wa angalau Billion 1.40. Wakati wa JPM ilikuwa kwenye wastani wa Billion 1.20. Kumbuka pia kuwa madaraja huwa yanakula zaidi ya hizo.

Hata hivyo bado Bajeti hii ya Mama inatisha sana, lakini pia JPM naye alitisha sana kwa wakati wake, na bado anatisha tu mpaka muda huu. Mungu aende na Mama kwa kishindo kikuu!
 
Back
Top Bottom