Bajeti ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21

Bajeti ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21

Mama Chapa kazi,

Ifikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.​

Rais Samia Suluhu Hassan kwenye bajeti yake ya maji ya kwanza ametenga jumla ya Tshs 589.4BL kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji safi na salama mjini na vijijini nchi nzima, bajeti hii ni sawa na ongezeko la 284% kutoka Tshs 207.5BL zilizotolewa kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji huo wa maji safi na salama FY2020|21,Bajeti hii ya Rais Samia ni karibu maratatu zaidi ya ile ya mtangulizi wake,

Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke na kwakuwa zaidi 80% ya wanaopata adha ya maji mjini na vijijini ni wanawake hatimaye rais huyu mnyenyekevu ameamua kwa vitendo " Kuwatua Ndoo Vichwani " wanawake wenzake kwa kutenga kiasi hiki kikubwa cha fedha kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji mjini na vijiji,kiasi hiki cha fedha ya maendeleo hakijawahi kutengwa na serikali yeyote tangu uhuru,Heko Rais Samia,

Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijini ni 79.15% huku mjini ikiwa ni 86% na vijijini ni 72.3% huku lengo la Serikali lilikuwa ni kufikia 85% mwaka 2025 na 90% ifikapo mwaka 2035 but kwa kasi hii ya Rais Samia ambapo thamani ya bajeti ya maji ya mwaka mmoja ya Rais Samia ni sawa na thamani ya miaka mitatu ya bajeti ya maji ya Serikali iliyofanya makisio hayo,kwa lugha rahisi kabisa " Mwaka mmoja wa maji wa Rais Samia ni sawa na miaka mitatu ya maji ya mtangulize wake " au 1:3 yaani malengo ya maji ya Miaka 10 kwenye Serikali iliyopita yatatekelezwa kwa miaka 3.3 tu na Rais Samia, Kama kuna mtu wa kuombewa zaidi kwa sasa Tanzania basi ni Rais Samia,

#Nchi yenu iko katika Uelekeo Sahihi zaidi pengine tangu kuasisiwa kwake,


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1965592
 
Am speechless,

Hivi kumbe huyu mama anafanya kazi kubwa kiasi hiki?
Aise Mungu huyu, kumbe Samia ni mtambo mpya mwingine banda ya Mafuli aise,

Naandika nafuta,naandika nafuta, Mungu jalia mipango ya huyu Mama,
Kundi la mwendazake walikuwa wanapiga hela , unadhani Msigwa aliongea kitu ambacho hakijui?
 
😍😍😍 Wanaunia sana
Mnoooo....


Hawataki kujikumbusha uzalendo kwa nchi....

Wamejisahaulisha UTII ulio lazima kwa mwenyekiti wetu wa CCM na Rais wa nchi......

Wanachagua wa KUWATII.....hii si afya kwa sisi raia ,chama na nchi....

SIEMPRE MH.SSH amen🙏
 
Kundi la mwendazake walikuwa wanapiga hela , unadhani Msigwa aliongea kitu ambacho hakijui?

Mimi ni Chadema ila mama damu sana,
Tanzania tunataka mtu wa namna hii,
Samia ongoza mpaka uchoke,
Leo nimeona unasisitiza haki najua utamwachia Mbowe
Hakuna kama wwe kuwa na amani watanzania tunakupenda sana,
Safi Sana Chadema 😍😍😍

Wambie na wenzako waje CCM
 
Niko hapa Buyuni Vigwaza, just 5km toka Ruvu mtoni, lakini maji hakuna.
 
Kila nikiangalia tv Huwa nakutana na wamama wanafurahia miradi ya maji,Jana tuu mwenge umezindua mradi wa Maji Karagwe huko pesa ya mama.

Jana hiyo hiyo Waziri wa Maji alikuwa Dar ,wananchi mtaa fulani walikuwa wanalima lia maji kawaambia pesa iko wizarani ndani ya wiki hii wataona mafundi site yaani ni maneno na vitendo.

Moto wa Samia sio wa Nchi hii.
 
Mnoooo....


Hawataki kujikumbusha uzalendo wa nchi....

Wamejisahaulisha UTII ulio lazima kwa mwenyekiti wetu na Rais wa nchi......

Wanachagua wa KUWATII.....hii si afya kwa sisi raia ,chama na nchi....

SIEMPRE MH.SSH amen🙏


Tuendelee kumsemea mama kwa nguvu zote,

Natamani nchi nzima ijue kazi kubwa mama anafanya
 
Kila nikiangalia tv Huwa nakutana na wamama wanafurahia miradi ya maji,Jana tuu mwenge umezindua mradi wa Maji Karagwe huko pesa ya mama.

Jana hiyo hiyo Waziri wa Maji alikuwa Dar ,wananchi mtaa fulani walikuwa wanalima lia maji kawaambia pesa iko wizarani ndani ya wiki hii wataona mafundi site yaani ni maneno na vitendo.

Moto wa Samia sio wa Nchi hii.
FB_IMG_16332143456548674.jpg
 
Back
Top Bottom