Aliifukuzaje?
How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
Not trueUchaguzi wetu ni uchaguzi wao na uchaguzi wao ni uchaguzi wetu.
How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
Magufuli hawezi kumfuata Balozi ila balozi atamfuta Magufuli ofisini kwake na Kabudi atasimamia show nzima ya ukalimani.Na sidhani kama ataenda.[emoji28]
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Dunia imekuwa moja kama kiumbe kimoja ambapo kila kiungo ni sehemu muhimu ya hicho kiumbe. That is, for example, USA ikitikisika dunia itatikisika pia. Vivo hivo japo TZ ni nchi ndogo ikitikisika dunia pia itatikisika!Amgefocus kwenye uchaguzi wao tu
Stupid CCM member huoni wanavyosalimiana ili wasiambukizane Covid-19 ambayo bado ipo kwa wingi maana ule mtishamba wa Magufuli toka Madagascar haukufua dafu?Safi kabisa balozi yupo safe hakuna cha mask wala distance. Viva Magufuli kuifukuza corona Tanzania
Stupid CCM member huoni wanavyosalimiana ili wasiambukizane Covid-19 ambayo bado ipo kwa wingi maana ule mtishamba wa Magufuli toka Madagascar haukufua dafu?
Kumbe ni mmoja mmoja, that's fine, nilianza kuimagine hapa Lissu, pale bwana yule mbona kusingekalika.
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Angeanza yule zingekua kelele siku nzima
Hilo bogas kabisa
Aanze na NEC na CCM pamoja na Chadema wakae meza moja.