Waandishi wa habari washutumiwa kutumika kuchafua wanaosema ukweli pia kufanywa chombo cha propaganda kuandama wanasiasa wanaosema kweli kuhusu mapungufu ya mkataba, mfano Mh. Freeman Aikaeli Mbowe ameshutumiwa sana na baadhi ya vyombo vya habari kipropaganda

 
Tegemea kuanzishwa kwa makundi mengi ya ugaidi miaka michache ijayo .silaha za kuipiga Congo zitapitishwa bandari yetu,machafuko ya afrika mashariki na kati yataanzia mikononi mwetu ..USA ndie aliyeratibu hili na yuko nyuma ya hili ..
 
Excellent Baba
 
tuwasikie na wale wanaojiita wanasheria uchwara wabishane na Dr Slaa kwa hoja.nchi hii iliishauzwa ndo maana serikali inatumia nguvu kubwa kuharmonize mazingira lkn ukweli unabaki pale pale.ni hatari sana kuwa na wabunge waliochaguliwa kwa hila pale bungeni sababu hata wao hufanya mambo kwa hila.tupige na kupaza sauti hayo makubalinao yawe nullified kama sivyo hao wabunge wote 2025 waisrudi bungeni.
 
Habari

Sina mengi moja kwa moja kwenye point tunaomba sisi kama watanzania kusitishwa haraka Kwa uwekezaji wa BANDARI zetu/yetu Kwa DUBAI

hatuko radhi na uwekezaji wa bandari yetu Kwa yeyote yule kiufupi hakuna MTANZANIA aliyefurahishwa na hilo Kama tunaweza kulipia matengenezo yote ambayo tunayoyataka yawe kwenye bandari yetu pendwa na iwe hivyo lakini kwa swala la wawekezaji hatupo radhi

Wapeni mashamba walime na sio bandari zetu

Asantum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…