Tunaelewa sana tunachokisoma na tunaelewa sana hizi ni chuki za kibaguzi tu, hakuna zaidi. Hata kauli zako hazijifichi.Soma uelewe wewe mvaa makobazi
Tatizo siyo muungano, bali tatizo ni kuwa na akili mbovu na zisizofaa miongoni mwa Watanzania wengi.Huu Muungano unaigharim sana Tanganyika hakuna faida yoyote tunayopata toka Visiwani zaidi ya kuingia hasara tu
Unajua utaratibu wa kupakua vifaa vya jeshi?Unajua utaratibu wa kupakua vifaa?
Na hili kosa litatugharimu sana, itafikia kipindi hawa Wazee wezi watauza kila kitu alafu Vijana wakose hata ardhi ya kuwekeza.Mavi-jana yenyewe yamegeuka kuwa machawa!
Sio kwamba vijana wote hawapigi kura, Kura zinapigwa ila watawala wanatumia Jeshi kuzilinda na mabundukiAcheni kuwasingizia wazee! 2020 tulipokuwa tunapiga kura vijana mlikuwa wapi? 2020 wakati Magu anaiba kura vijana mlikuwa wapi? Kwa hiyo tulieni kabisa maana hata ndiyo madhara ya ujinga wenu kukimbia sanduku la kura! Wabinafsishe tu!
Hakuna Serikali inaweza kuua Raia wake wengi kwa mara moja, imagine wameandamana Wananchi laki 2 hapa DSm unadhani Serikali itaweza kuwapiga wote RisasiTatizo vitisho, mbna watu wangetoka nje kutafuta suluhu, ulemavu wa ukubwani mchezoo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio hawa wa kwetu, mbna Suma JKT wataingia kuwapa ulemavu watu had bas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna Serikali inaweza kuua Raia wake wengi kwa mara moja, imagine wameandamana Wananchi laki 2 hapa DSm unadhani Serikali itaweza kuwapiga wote Risasi
Hapo ni uthubutu tu
Basi huenda hao Suma JKT watakuwa wana Nchi nyingine ya kwenda hii ya Tanzania ikishauzwa kwa hao Waarabu.Sio hawa wa kwetu, mbna Suma JKT wataingia kuwapa ulemavu watu had bas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km kwa mkapa walifanya vile, tena tukio la michezo la furaha, ndo iwe maandamano ya kudai haki?? Thubutuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najua unajua, ila unabisha tyuuh.Basi huenda hao Suma JKT watakuwa wana Nchi nyingine ya kwenda hii ya Tanzania ikishauzwa kwa hao Waarabu.
Lakini wao pia kama hawana Nchi nyingine zaidi ya hii tuliyonayo basi wanatakiwa kuungana na Wananchi wao.
Tuondoe hofu, kila kitu kina faida na hasara, inawezekana faida ikawa ni kubwa zaidi kuliko hasara; nadhani kutakuwepo na muda wa matazamio.
Muhimu hapa ni kuangalia vifungu vya sheria katika mkataba huo umekaaje; kama kutakuwepo na muda wa matazamio ni vizuri zaidi; kwa ujumla sekta binafsi italeta ufanisi kiutendaji.soma tena ulichoandika.
Apa umechanga ni same operations ndo zinaendeshwa ivyo...kama zile zilizomaliza mdaa wake ilikuwa n ikupakuwa na kupakia mizigo.....hawa Dp wanakuja kufanya full operation za bandari ya dahaBandali kwa miaka mingi inaendeshwa na private sector, kuna kwmpuni moja lilimaliza muda wake mwakw jana sijui tis nadhani sasa nafikiri zabuni mpyw imefika hivyo si ajabu sana
Bei Elekezi! Wewe ndio hujui lolote wala chochote zaidi ya kuandika hovyo humu jfUzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?
Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?
Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
SAWA tuseme wanasiasa wametega mirija Yao, Kwanintunawaogopa Nini kuwatoa Hadi tulete kampuni kutoka nje?DP world ni kampuni kongwe kwenye sekta ya bandari duniani..,ilishaoperate hata baadhi ya bandari ndani ya ardhi ya USA..
Sijui mpaka sass kama bado wanaendelea baada ya amendment ya kiusalama kupelekwa kwenye bunge Ili Dp world inyang'anywe zile bandari 3 iliyokuwa ikiziendesha...
In short Kwa upigagaji ulioko kwenye bandari yetu....na urasimu usio na maana....
Ni mara mia kuipa tenda Dp world...
Baadhi ya wanasiasa wanaopiga piga kelele....
Wana maslahi binafsii Moja Kwa Moja kupitia kampuni walizonazo zinazobond na bandari Moja kwa moja.....
Huu ukweli hausemwi!....
Tutapata mapato pengine mara 3 zaidi!...ya kile bandari inachoingiza sasa....huu ni ukweli mchungu....
Baadhi ya wanasiasa wanaoikataa Dp world....
wanatumia nguvu kubwa kwa kuwa ukweli ni kwamba mirija yao itakuwa imekatwa RASMI!
Na hichi kitu watakipinga kwa jasho na damu Hadi tone la mwisho ...
Naomba kufahamu kwani wamekodisha bandari zote? Na kingine vipi silaha zetu zotena na mambo mengine lazma yapitie dar es salaam pekeyake........ bado siungi mkono ukodishwaji wa bandari yetu kama kulikuwa na mapungufu nivema tukaya fanyia kazi ..... naomba kueleweshwa hapaUzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?
Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?
Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Hizo silaha ni za kugombana na nani!!!Naomba kufahamu kwani wamekodisha bandari zote? Na kingine vipi silaha zetu zotena na mambo mengine lazma yapitie dar es salaam pekeyake........ bado siungi mkono ukodishwaji wa bandari yetu kama kulikuwa na mapungufu nivema tukaya fanyia kazi ..... naomba kueleweshwa hapa
😅🙌[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najua unajua, ila unabisha tyuuh.