Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
BandariBandali kwa miaka mingi inaendeshwa na private sector, kuna kwmpuni moja lilimaliza muda wake mwakw jana sijui tis nadhani sasa nafikiri zabuni mpyw imefika hivyo si ajabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BandariBandali kwa miaka mingi inaendeshwa na private sector, kuna kwmpuni moja lilimaliza muda wake mwakw jana sijui tis nadhani sasa nafikiri zabuni mpyw imefika hivyo si ajabu sana
Shida ni kwamba jamaa wanataka wajiwekee ulinzi wao...hawataki ulinzi kutoka TanzaniaBandali kwa miaka mingi inaendeshwa na private sector, kuna kwmpuni moja lilimaliza muda wake mwakw jana sijui tis nadhani sasa nafikiri zabuni mpyw imefika hivyo si ajabu sana
[emoji3][emoji3][emoji3] aje nani? Mama Samia?Ngoja aje
Tatizo vitisho, mbna watu wangetoka nje kutafuta suluhu, ulemavu wa ukubwani mchezoo??Ngoja tuendelee kuibiwa na hawa Wazee hadi akili ziturudie.
Vijana si bado wamelala [emoji2297]
😂😂😂 Acha kabisaWatz tulieni dawa iwaingie
Mlimtukana Magufuli leo mnamlilia
Na mkizubaa mtauzwa wote 😀
Remote IPO MSOGA, Hajui afanye Nini 8Bi TOZOUzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?
Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?
Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
SawasawaWengi wao wako above 60, hata kama wakipewa neema ya kuishi umri mrefu hawatatoboa 100
Remote inaisha betri soonRemote IPO MSOGA, Hajui afanye Nini 8Bi TOZO
Tena bomu la maviTaifa limepata Rais bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe.
Nawaza na kuwazua, nani hasa ni "stupid"?!!!Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?
Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?
Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Umeandika porojo nyingi, kuhusu bandari ya bagamoyo labda hili ulikuwa hukijuwi:Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?
Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?
Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Naunga mkono hojaTaifa limepata Rais bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe.
Wao watakimbilia ZanzibarHawa viongozi hawafikirii kesho ya nchi yao.
Pimbi wa msoga nyie, mnapenda vya bure mtaolewaUmeandika porojo nyingi, kuhusu bandari ya bagamoto labda hili ulikuwa hukijuwi:
Prof. Mbarawa: Serikali Imetenga fedha kwenye Bajeti ya Mwaka 2023/24 kuanza Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Rais Samia anazidi kujipambanua kwa vishindo vya miradi badala ya propaganda Kwenye bajeti ya mwaka huu tumesema wazi kuwa, tunakwenda kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Bandari ya Dar es Salaam itaendelea kufanya kazi, ambapo kwa zile meli kubwa ambazo zitashindwa kuingia katika Bandari...www.jamiiforums.com
Na wanavyopenda ugali na kitimotoMaandamano yakianzishwa, wavaa nguo za mabaka baka wanasema watapiga watu na kuvunja miguu,
Sasa nani anataka ulemavu wa ukubwanii??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]