rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hapa Dar kuna watu wameita majina mitaa yao wakati hawana legacy yoyote mfano mtaa wa makamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuhuzi tunajulikana, unaona majuzi Giuliani alitutaja kimasikhara kama kaitaja Mexico vile.Publicity yetu tunaifanyia Tandale na Hadi Nyakanazi si zaid ya hapo
Barabarosa ni Mtanzania?Hioy ndiyo shida na hasara ya kuwa na majina ya Kizungu, fikiria kama huyo Mbongo angeitwa labda Neema Majuto, huo Mtaa ungekuwa na maana zaidi, sasa Mtaa unaitwa Lucy halafu mnasema ni Mtanzania, WTF, ...
Kwahiyo hayo ni mafanikio ya awamu ya tano?Naivi yule jamaa yuko pale jirani Brussels! Anatamani aende hata kwa miguu kuzuia !
We are in the laiti traki. We are dona kantre now.Tanzania hasa Tanga ina historia kubwa sana Ki dunia sema ndio hivyo we are a sleeping Giant
Rais wa Mwisho wa South Africa ya Makaburu alizaliwa Tanga
Malkia Elizabeth alitangazwa kuwa Malkia wa Uingereza baada ya kifo cha Baba yake 1952 akiwa anazuru Ziwa Victoria
Viongozi kadhaa wa Kitaifa wa Ujeruman wamezaliwa Tanganyika
Viongozi kadhaa wa Kiafrica wana historia kubwa sana na Nchi yetu
Mf Watoto wa kwanza wa 3 wa Museven wote wamezaliwa Tanzania
Lakin cha kusikitisha Nchi yetu hasa miaka ya karibuni imejizika kabisa
Kuna Mwaka nilikuwa Nchi moja ya Kusini mwa Jangwa la Sahara sasa tukaingia mitaani tukawa tunafanya shopping huku tunapiga story na wenzangu, yule Muuza Duka akawa interested na lugha yetu akatuuliza lugha gani hii na ya wapi tukamjibu, cha kushangaza eti haijui Tz hadi alipo google akajijibu ooh its Ngorongoro
Publicity yetu tunaifanyia Tandale na Hadi Nyakanazi si zaid ya hapo
😊 wewe waonaje ?Kwahiyo hayo ni mafanikio ya awamu ya tano?
Tulitajwa kwa kejeri, 'Even Tanzania'Sikuhuzi tunajulikana, unaona majuzi Giuliani alitutaja kimasikhara kama kaitaja Mexico vile.
CCM imetuletea shida kubwa sana. Wananchi wanatawaliwa bila ridhaa yao ni sawa na kubaka. Tutake tusitake lazima tutawaliwe na watu ambao hawajachaguliwa kwa matakwa ya wananchi waliowengi. Ni bahati mbaya sana kwa kweli!Haitatusaidia, sisi tunataka CCM ipigwe nyundo
Tena wa Uru.Mama wa kichaga tena!
Hapa Dar kuna watu wameita majina mitaa yao wakati hawana legacy yoyote mfano mtaa wa makamba
Tanga ni mji ambao Wajerumani walipanga ufanane na Bonnie mji wao. Miaka hiyo Tanga ilikua kama Ulaya, Raskazone yalikua makazi yao na jioni walistarehe Yatch Club, Mkonge Hotel, Tanga Hotel, .Tanzania hasa Tanga ina historia kubwa sana Ki dunia sema ndio hivyo we are a sleeping Giant
Rais wa Mwisho wa South Africa ya Makaburu alizaliwa Tanga
Malkia Elizabeth alitangazwa kuwa Malkia wa Uingereza baada ya kifo cha Baba yake 1952 akiwa anazuru Ziwa Victoria
Viongozi kadhaa wa Kitaifa wa Ujeruman wamezaliwa Tanganyika
Viongozi kadhaa wa Kiafrica wana historia kubwa sana na Nchi yetu
Mf Watoto wa kwanza wa 3 wa Museven wote wamezaliwa Tanzania
Lakin cha kusikitisha Nchi yetu hasa miaka ya karibuni imejizika kabisa
Kuna Mwaka nilikuwa Nchi moja ya Kusini mwa Jangwa la Sahara sasa tukaingia mitaani tukawa tunafanya shopping huku tunapiga story na wenzangu, yule Muuza Duka akawa interested na lugha yetu akatuuliza lugha gani hii na ya wapi tukamjibu, cha kushangaza eti haijui Tz hadi alipo google akajijibu ooh its Ngorongoro
Publicity yetu tunaifanyia Tandale na Hadi Nyakanazi si zaid ya hapo
Mji wa Berlin kuupatia mtaa mmoja jina la Mtanzania
Madiwani katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin, wamepiga kura kukubali kuubadilisha mtaa mmoja wa mji huo kuwa na jina la Mwanaharakati Mwanamke wa Tanzania, kuchukua nafasi ya jina la Mtaa wa Wissmannstraße, ambalo linatokana na jina Hermann von Wissmann aliyekuwa Gavana wa koloni la Afrika Mashariki anayetuhumiwa kuamuru mauaji na mmoja wa Wanaharakati wa Kike wa Uhuru wa Tanzania.
Lucy Lameck mzaliwa wa Kilimanjaro alikuwa Waziri wa kwanza wa Mwanamke wa Baraza la Mawaziri nchini Tanzania na pia kama kiongozi wa harakati za uhuru. Von Wissman alikuwa Gavana wa Afrika Mashariki ya Ujerumani (sasa ni Tanzania, Burundi na Rwanda) mwishoni mwa karne ya 19. Gazeti la Ujerumani la Der Tagesspiegel limeripoti kuwa Gavana huyo anaaminika kuhusika mauaji ya umati ya watu wa eneo hilo.
Kutokana na hali hiyo kulikuwa na kampeni iliyozuia "kuheshimiwa zaidi" kwa Von Wissmann na badala yake kuweka "Mwanamke wa Kitanzania ambaye alipinga kikamilifu ukoloni na ubaguzi wa rangi". Mtaa huo sasa utaitwa Lucy-Lameck-Straße.
Chanzo cha Habari CRI Kiswahili
..ndu Li.. 😊Wataweka Jina la Tu
Sure mkuuCCM imetuletea shida kubwa sana. Wananchi wanatawaliwa bila ridhaa yao ni sawa na kubaka. Tutake tusitake lazima tutawaliwe na watu ambao hawajachaguliwa kwa matakwa ya wananchi waliowengi. Ni bahati mbaya sana kwa kweli!
Kejeli gani aliyoitaja Rudy?Tulitajwa kwa kejeri, 'Even Tanzania'
Umetoa historia nzuri sana mkuu. Nafikiri kuna haja ya wenye dhamana kuwa na strategy nzuri zaidi ya kuitangaza nchi yetu. Lakini pia na sisi mmoja mmoja tunapopata fursa ya kutembea ni lazima tuwe mabalozi wazuri wa nchi yetu.Tanzania hasa Tanga ina historia kubwa sana Ki dunia sema ndio hivyo we are a sleeping Giant.
Rais wa Mwisho wa South Africa ya Makaburu alizaliwa Tanga.
Malkia Elizabeth alitangazwa kuwa Malkia wa Uingereza baada ya kifo cha Baba yake 1952 akiwa anazuru Ziwa Victoria.
Viongozi kadhaa wa Kitaifa wa Ujeruman wamezaliwa Tanganyika.
Viongozi kadhaa wa Kiafrica wana historia kubwa sana na Nchi yetu. Mf Watoto wa kwanza wa 3 wa Museven wote wamezaliwa Tanzania
Lakin cha kusikitisha Nchi yetu hasa miaka ya karibuni imejizika kabisa.
Kuna Mwaka nilikuwa Nchi moja ya Kusini mwa Jangwa la Sahara sasa tukaingia mitaani tukawa tunafanya shopping huku tunapiga story na wenzangu, yule Muuza Duka akawa interested na lugha yetu akatuuliza lugha gani hii na ya wapi tukamjibu, cha kushangaza eti haijui Tz hadi alipo google akajijibu ooh its Ngorongoro.
Publicity yetu tunaifanyia Tandale na Hadi Nyakanazi si zaid ya hapo.