Kwa hiyo kulikuwa na njaa alafu ikazimwa?Kipindi huyu mwamba akiwa Katibu Mkuu wa CCM chini ya himaya ya Mwendazake, Lissu aliibua hoja ya njaa kali kwa Taifa - aisee wakamshukia kama mwewe kwamba anapotosha umma.
What goes around...
Utajuaje kuna njaa wakati unategemea kula alicholeta shemeji alikoolewa dadako!Imeshuka mbele ya nani? Lini aliwahi sikia kwamba Tanzania Ina njaa?
Hakika, tena ni wa kiwango cha 555GHuyu mpuuzi alitakiwa sasa hivi awe jera alifuja mabilioni ya walipa kodi kwenda kununua wapinzani kwa kushirikiana na jiwe.
Hana cha kumfundisha bashe atutolee unafiki.
Tunatafakari kwanza hawa wanasiasa maneno yao ukiyasikia lazima utafakari sana, huyu jamaa ndie aliyekuwa msaidizi mkubwa wa Jiwe na wakati wanatekeleza sera zao tulikuwa na tunawaambia wanapotupeleka wanakwenda kutuumiza, wakazuia watu wasiseme waseme wao tu, sasa maneno yetu yanatimia wao walioleta tabu yote hii ndio wanataka kugeuka kuwa wanatuonea huruma, hili linatupa hofu mno.Mh....Watu mnapita na ku like post ila hamchangii?
Okay mi mchango wangu ni, vyakula kupanda bei ni kutokana na ukame wa mwaka jana.
Japo serikali ilihifadhi chakula kingi kwenye maghala hadi maximum yake ya tani laki 2 bado chakula hicho hakikutosha
Swala hili halina suluhu ya muda mfupi, suluhu ya uhakika ni kutengeneza mifumo ya kilimo cha umwagiliaji ambayo itachukua muda na gharama
Ama kama tuagize mahindi ya bei rahisi kutoka Brazil na Argentina? Tukifanya hivyo jua wakulima wetu mahindi yao hayatauzika
Enzi zao walikulaaaaa, hakuna aliwazuia, leo wenzao wanakulaaaa wanawazuia.Angeshauri hayo enzi za jiwe.
Vip ushirika wa Dr samia aliekuwa makam wa rais?Alishiriki moja kwa moja kwenye siasa za kishenzi za dhalimu. Ni mnafiki fulani anayekwenda na upepo.
Kupinga WAZO DHAHABU alilosema bashiru kisa alikua alikua ni ishara ya wendawazim.Usitulazimishe kuamini kitu ambacho atukiona ila njaa na bei ya Michele tunaiyona,Dr badhiru ni sawa manyumbu wote
Kulikua na njaa kipind yupo madarakan?Lakini alipopewa madaraka alifanya tafauti na anayoyasema
Achana na tindo!Vip ushirika wa Dr samia aliekuwa makam wa rais?
Inabid ifike hatua kizur kifanyiwe kaz na kibaya kipingwe kwa nguvu zote bila kujal msemaji ni nan.
Yan tukatae ushaur mzuri kisa umetoka kwa mtu mbaya does it click into your mind [emoji2369].
Haijalishi ni mnafki, muovu and many stuff ila alichosema lazima kifanyiwe kaz LAZIMA SERIKAL IFAHAM NJAA SIO KITU KIZUR.Lazima uboreshwaji kweny kilimo uendelee bila kusahau demand ya watanzania kwanza.
Bashiru kazungumzia ubunifu. Kufunga mipaka hakuwez kumnyonya mkulima, wakulima wanauza mazao yao nje ya nchi sabab ya bei huko ni kubwa. Kama bei imewafany wakulima kupeleka mazao nje kwanin serikali isiangalie namna ya kuboresha maslah ya wakulima kwa kuuza bidhaa zao ndan ya nchi?Kufunga mipaka ni kumnyonya mkulima
Wangekuwa wanazalisha, Demand isingekua kubwa.Kwani mzalishaji utakuwa peke yako? Hizo nchi nazo sitakuwa zinazalisha, hazitakaa ziwasubiri nyie tu.
Kwanza bashiru ajasema mipak ifungwe.Japo ni moja ya soln kwa sasa. Kufocus kweny uzalishaji hali ya kuwa wazalishaji wanalia njaa bei kupanda ni kukosa weled kweny maamuzi.Bashiru amezunguuka wee, lakini nadhani mkakati anaokusudia Serikali ichukue ni kuzuia chakula kuuzwa nje, sio mwingine. Kwangu huu ni mkakati wa kipuuzi na haujawahi kuleta manufaa ya kweli toka huko nyuma. Suluhu ya kweli ni kuzalisha tu, no otherwise. Njaa imekuwepo nchi hii tangu wakati wa ukoloni na hata katika awamu za kwanza hadi ya 5 na mara zote hizo mkakati wa kuzuia mazao haukuwa na manufaa endelevu. Unafifisha uwekezaji na unaifanya sekta ya kilimo isiaminike kwa mtu kuweka mtaji wake.
Bashe na Samia nadhani ndo wana mkakati wa kweli wa kuondoa tatizo la njaa nchi yetu. Kuwaingiza vijana kwenye uzalishaji kwa kuwapa mafunzo, ardhi, mtaji, miundombinu na masoko ya bidhaa zao. Dkt Bashiru kuzungumzia tatizo la njaa bila kuchangia namna bora zaidi ya kuufanya mpango huu ufanikiwe ni kutukosea watanzania na kumkosea Rais wetu au ni unafiki kama unafiki mwingine tu.
Hakuna mikakati ya muda mfupi itakayoweza kuondoa njaa Tanzania zaidi ya kuongeza uwekezaji na kuzalisha chakula cha kutosha. Na bahati mbaya, Dkt Bashiru hasema kwenye mchango wake kama ni mikakati gani hiyo serikali ifanye zaidi ya huu unaofanywa sasa hivi wa "building better tomorrow", badala yake ameiuliza maswali Serikali badala ya kuishauri. Ingependeza mchango wake angeutoa Alhamis siku ya maswali kwa Waziri Mkuu.
Hakuwa na ujanja huo, yule alimessup na madaraka.Nae alikufanyia ule ukatili?
Kosa lake kubwa ni kujifunganisha na yule muuajiChangamoto yake ni moja tu, hivi sasa akubaliki na wahafidhina ndani ya chama, kosa lake linaoneka linatokana na zoezi alilolisimamia kwa uadilifu mkubwa wa kuhakiki mali za chama tawala. Ukweli wake umemponza, uongo na unafiki wake ungalimuokoa.
Kwaio hizi kelele za bei kupanda watu kupunguza milo ya siku wew ujaiskia.ACHENI UJINGA WATANZANIA.Jibu swali wewe basha wa Bishiru,ni wapi na lini aliwahi sikia Tzn Kuna njaa Hadi heshima ya Nchi kushuka?
Kuwa Rais mpenda Haki sio kuwachekea wapumbavu kama wewe na Bashiru wanaotafuta umaarufu Kwa kupotosha.
huyu ana gubu na hii serikali ana maumivu makubwa sana kuondolewa yale mavyeo makubwa amekuwa km mchochezi. Kuhusu njaa ukweli anaujua anajaribu kuihujumu serikali. Bila aibu eti heshima ya nchi imeshuka, hivi wanamvumilia wa nini huyu mchochezi na mzushi mwenye gubu na serikali hii? Wakamtupilie mbali arudi kufundisha. Nchi jirani kenya, somalia, Ethiopia wamekuwa na njaa kwa muda mrefu lakini hakuna mbunge wao alitoa matamshi mazito km haya eti heshima ya nchi imeshuka. Kwanza Tanzania kuna njaa wapi, hakuna anachojua amejaa uwongo bila kuona haya. Hakuna eneo nchi hii ina njaa pengine upungufu ambao serikali imejitahidi sana kuuziba. Hakuna njaa aache uwongo."Njaa inadhalilisha heshima na uhuru wa nchi, inatweza utu wa binadamu kwahiyo tatizo la mfumuko wa bei za vyakula ni tatizo ambalo tutake tusitake lazima tuongeze kiwango cha ubunifu kukabiliana nalo, hakuna ukomo wa ubunifu, wananchi wanakibiliana na tatizo hili.
"Nilikuwa nazungumza na wananchi mmoja amesema chakula cha asubuhi na mchana kinaunganishwa kwenye saa 5 na 6, mlo wa usiku unaunganishwa kati ya saa 11 na 12, hawasubiri kujadili mambo ya Ukraine na tabianchi, wameanza kuchukua hatua.
View attachment 2502022
Hazina uhalisia ni uzushi.Sokoni msosi buku jero unapunguzaje mlo Sasa? Ndizi ya kuchoma 300,ya kuiva 100-200Kwaio hizi kelele za bei kupanda watu kupunguza milo ya siku wew ujaiskia.ACHENI UJINGA WATANZANIA.
Huyu si ndiye alihusika pia kuvuruga uchaguzi wa 2020 akishirikiana na yule muuaji. Hana jema kwa wananchi huyoMkitanguliza mbele masilahi mapana ya Raia, sidhan kama mnaweza kuitisha waandishi wa habari na vihoja uchwara kumjibu Bashiru.
Ni Kwamba Bashiru ni Kiongozi, Udaktari wake ni wa uhakika , Kichwa chake kakijaza mema, busara na Hekima kiasi kwamba anachowaza ni WANANCHI TU.
Maajabu Kuna Chawa ,shule ndogo, akili kiduchu wenye utupu kichwan, kwakua tu ni machawa , basi yanalazimika kusema neno ili Matumbo yao yashibe .
Hana jema huyo, alikuwa chawa wa JiweKuna mtu akivaa suti na kusimama kuongea unasema hapa kuna mtu. Hongera Bashiru.