Subiri kwanza nikojoe nakuja
 
Wafunge na betting kampuni zimekua nyingi sana halafu uchwara

Betting ni Michezo ambayo inatambulika rasmi na Gaming Board ipo enzi na enzi tangia kina Jackpot Bingo late 90s ,biashara yeyote inatakiwa iendeshwe kisheria na ndiyo maana hata kipindi cha Magu kuna Bank zilifungiwa.

Betting inatambulika kiserikali na hata mikopo online nayo inatambulika kosa kuendesha bila leseni na hata ukifungua Bank ukaendesha bila leseni utafungiwa tu ,hata hiyo NBC au CRDB leseni yao ikiisha wasiporenew inafungiwa vile vile.
 
Nawasanua Sasa apps zilizosajiliwa ni hizi hapa
1. Flexi cash jina la kampuni ni sharp financial services.
2. Kili loan jina la kampuni ni puissant Microfinance.
3. Pesa Yako Hawa wapo Mbeya na Wanamilikiwa na kampuni ya Nchimika Microfinance limited
Wengine watazidi kuja kwa update
 
Binafsi naona walishamaliza kazi yao, kama ni kutakatisha fedha zimetakata haswa labda wakamatwe.
 
Hawa watu ofisi zao hazijulikani ?! Kamata wote sweka ndani.
 
Hivi hakuna app ambazo hawahitaji picha za vitambulisho!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…