Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe wamezipiga taarifa zako za kwenye simuCashX nimewapiga pesa kiasi
Watakuwa wamemdhalilisha mchepuko wa mkubwa
Zifungwe hakuna kitu hapohatari, kina Mr Mwanya, Doto, Kunze, Ndaro wataishije mjini bila promo ya hizi vitu
Utapigwa ufeKampuni inajiita money trap, halafu kuna wanakopa..hahaaa 🤣
Subiri kwanza nikojoe nakujaInawezekana,kuna jamaa aliwahi kunipa stori sijui kama ilikuwa na ukweli au ilikuwa chai wajuzi watatia neno, ni muda kidogo ilikuwa 2016 PBZ ilikuwa inakopesha kwa riba ndogo sana, wafanyakazi wakaanza kumiminika huko sasa sijui Benk nyingine wakaweka figisu masuala ya ushindani PBZ wakafuatiliwa wakakutwa vibali vyao havipo sawa wakafungiwa kukopesha, jamaa waliokopa walijikuta tu ghafla mshahara uneingia bila makato na paysleep imekuja nyeupe haina deni
TALA pamoja na kuanza mwanzoni kabisa kumbe hawana leseni?Branch watakuwa wapo vizuri sija waona kwenye list
Wafunge na betting kampuni zimekua nyingi sana halafu uchwara
Wanazipeleka wapiNa wewe wamezipiga taarifa zako za kwenye simu
Upo sahihi kabisa,Flexcash walibadirika mwishoni wakawa wema sana, nahisi Kuna mtu aliwasanua. Hawadai kwa fujo na wanakuomba ulipe kidogodogo.
Hakuna chochote taarifa zetu haziwezi kuwapa chochote kwanza hawatujui na Dunia haitujui.Wanazipeleka wapi
Kuwapa watu wa matangazoWanazipeleka wapi