Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafahamu kesi kuhusu kukwepa mfumo halali wa kiserekali?, na adhabu zake?Mlilazimishwa kukopa
Ova
Wewe ungelipa mkuu?Kwahy kama ulikopa ndo itakuwa gia ya kutokulipa?
Ila mkuu ujue unakula dhulma hela za wanaume wenzako hizo ungefanya kuwarudishia japo nusu hasara.Hapo karibu kampuni 50 nimezikopa
Bado siwaoni Flex cash na Fini loan
Kuna moja hapo nilitest wakanitumia 150k
Nashukuru nimeiona hapo
ZimaCash Hawa Wana kiburi sana wananidai 190k,walinikopa 150k ,nilitakiwa kurejesha 190k ndani ya siku 7, gafla app ikasoma nirejeshe 237k kabla hata siku 7 hazijafika,nikawaambia wabadili wakagoma ,nikasema hawanijui vzr
Tabia Yao ya kuunganisha magrupu WhatsApp ikome
BOT mbarikiwe sana
Ni pesa haramu ,hizo kampuni zilikuwa zinatumika kutakatisha pesaIla mkuu ujue unakula dhulma hela za wanaume wenzako hizo ungefanya kuwarudishia japo nusu hasara.
Exactly... Na madubwi ya mchina.Wafunge na betting kampuni zimekua nyingi sana halafu uchwara
Nlienda TAKUKURU kufatlia namna ya kumwokoa dingi maana sikuona pension yake, walimpiga kikatili sana hadi maafisa wakakosa pa kuanziaBado wa kuweka kadi za benki na wenyew ni wez kinoma
Unashukuru Mungu 😂Wewe ungelipa mkuu?
Unapita humo humo hakuna huruma.
Kwahy kama ulikopa ndo itakuwa gia ya kutokulipa?
Mkuu ligi zinarudi weekend🤣🤣🤣mfano mpe Chelsea,arsenal,bacca,Madrid,man city,,,,,,gemu zote chukua pointi 10 weka laki Moja,,,,,baada ya makato utapata kama laki nane hivi,,,,,unataka wayafungie mabetingi tuende wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wafunge na betting kampuni zimekua nyingi sana halafu uchwara