Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
"Legasi" idumu.
 
Umakamu ndani ya nchi ile ni Kama mzigo, lazima ufuate direction ya boss other ways operation tezi dume itakuhusu
Hivyo basi katiba mpya ifute hii biashara ya makamu wa Rais. Haina tija
 
Kikatiba hii ni awamu ya sita. Maana Rais akifa ndani ya muda usiozidi miaka mitatu, Makamu wa Rais atachukua madaraka na kutambuliwa kwamba amekaa miaka mitano Yani awamu moja na atabakia na miaka mitano tu mingine ya kuchaguliwa. Hivyo 2025 Samiah atabakiza miaka mitano.
Kwa katiba aliyoiandika Magufuli?
 
Rais samia alikua hana kauli wakati akiwa vice president nchi ilikua inaendeshwa na dikteta jiwe.
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Unalalamikia kitu gani wewe ?
 
Acha unafiki.
Unatakiwa ujue kwamba HAKUNA MWANACCM YEYOTE MWENYE MALENGO MEMA NA NCHI HII , hilo sisi tunalitambua vizuri sana , lakini wale wanaoongea ukweli huwa tunawasikiliza , hatuwezi kuukataa ukweli hata kama unatoka kwa Shetani
 
Wewe yaelekea ndio ulikuwa unatumwa kuteka na kuua maana Roho inakuuma Sana Membe kuongelea hilo suala
We uliokota maiti ngapi? Walamba asali watawasumbua sana akili zenu, alikuwa wapi kuyasema kwenye kampeni zake za urais? Ndugu yako yupi alikutwa kwenye kiroba? Mwenye ndg aliyekutwa kwenye kiroba ajitokeze na atuambie ni rais alifanya hivyo, mnaweza kuuana ili mchafue uongozi kisa hamlambi asali. Matukio ya kuokota maiti yapo hadi leo, rejea huko mwanza ( said, na yule wa malaika beach). Au akifa mwanasiasa basi huyo kauliwa na rais ila akifa asiye mwanasiasa huyo kauliwa na watu tu.
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Marehemu alibaka uchaguzi
 
Kikatiba hii ni awamu ya sita. Maana Rais akifa ndani ya muda usiozidi miaka mitatu, Makamu wa Rais atachukua madaraka na kutambuliwa kwamba amekaa miaka mitano Yani awamu moja na atabakia na miaka mitano tu mingine ya kuchaguliwa. Hivyo 2025 Samiah atabakiza miaka mitano.
Na tutamchagua maana Sukuma gang wanataka kutuharibia nchi yetu
 
Mkuu una akili za kukutosha au unaandika tu kwa vile unao uhuru kufanya hivyo.

Kumbuka na iingie akilini mwako, mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati wowote ni mmoja tu, na ndiye Rais.

Operation zote, ziwe za wazi au siri huendeshwa kwa ridhaa na ufahamu wake.
Na hapo hana mshirika.

Mama Samia HAKUWA Commander-in-Chief Awamu ya Tano, sasa ndiye, na amekomesha hayo madudu ya Magufuli.
Kwa hiyo mbowe kuwa rumande alifanya yeye? Akina pambalu kukamatwa majuzi aliamuru yeye? Huyo aliyekutwa kafa huko malaika beach mwanza aliamuru yeye? Mnabwatuka tu, nani aliuliwa enzi za magufuli na kwa umaarufu gani aliokuwa nao kiasi cha kumpa changamoto za uongozi?
 
Back
Top Bottom