Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Yaani Zitto naye hajitambui tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Zitto kabwe anakuhusu nini?Yaani Zitto naye hajitambui tu.
Kama hujui uliza maana hakuna ulichoonesha kwenye post yako.“Ukienda kununua vitu kwa fedha yako ili uonekane una hela jua unafukarisha Serikali yetu”
We umemuelewa? Eti anasema Leo huko Hai CCM itapoteana. Itapotea vipi wakati CCM ndio baba laoooooAnaeleweka, semea wee mwenyewe umejaza tope za kufugia minyooo nabado ukawa shabiki wa chama kinachohitaji uwe mjinga namba moja.
Sasa utamwelewaji huyo mkuu mwenyr akili kubwa?
Ndugu unajichosha tu kumuelewasha uyo kibaraka wa Loasa.anza kumfatilia leo uone Kama uwaga anapoint yoyote.hawa ndio wale mwl alisemaga wanasiasa Malaya Malaya,maana wakat Lowasa yupo CCM kalkuepo alivyo amia Chadema kapo,kalud CCM kapo.sasa aka unakaitaje Kama sio Malaya Malaya tu
Kama wasomi wenyewe wa Ulaya ndio ninyi,kwakweli bora bongo.Ukiona msomi anajisifu kasoma ujue ubongo wake una tatzo.Maana hakuna msomi asie kubali mapungufu yakeUtopolo tangu lini ukanielewa genius mimi. Mimi nimesoma primary hadi university Ulaya hukoo. Dar nimekuja nishakuwa na miaka 24. Sasa wewe St Kayumba ndiyo unielewe point zangu kweli? Itakuwa ni maajabu ya dunia eti
Membe anajiaibisha sanahahahha Lissu anampigisha Magufuli magoti sembuse hili joka la mdimu ??
Umeona sasa ulivyo mjinga ??? .Utopolo tangu lini ukanielewa genius mimi. Mimi nimesoma primary hadi university Ulaya hukoo. Dar nimekuja nishakuwa na miaka 24. Sasa wewe St Kayumba ndiyo unielewe point zangu kweli? Itakuwa ni maajabu ya dunia eti
Wapinzani wakome tabia na wajifunze kutengeneza watu wao kama CCM
Ukimwadhibu uni tagWatch your words. This is my last warning to you.
Ahahahahahaha! Wala mihogo mpo wapiWatu wanakula mihogo mibichi na iliyoiva. Wanasisinzia hovyo hovyo
Ninachokiaona Membe amejaribu kukwepa mishale ya NEC, kama angesema anamuunga mkono Lissu huwezi kujua NEC wangesema nini. To me he is smart guy maana ni mgombea gani asiyefanya kampeni!!Wapinzani gani hawa wasiojua mbele wala nyuma? Leo wanasema wanamsapoti Lisu, halafu anaibuka mwingine anasema mimi ndiyo mgombea urais wa ACT. What is the better way to describe this attitude than UTOPOLO at its best?
***** vyuma vimeumana ujinga huu ushamwambiq Sheikh wa Dar?Membe yupo sahihi kabisa ni vyema viongozi wa dini wakajiondoa kwenye ushabiki wa kivyama.