Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020

Watu kama akina Membe ni vyema kuwaweka Karantini faster wakati kura zinapigwa asubuhi mapema anaweza kutuma pongezi kwa jiwe umeshinda ili kuvuruga ukweli. Huyu ni Internal control ya CCM ili waje wa justify uovu wao
 
Yaani Zitto naye hajitambui tu.
Wewe Zitto kabwe anakuhusu nini?

Sisi wana ACT tunaelewa ila ninyi wengine hamuezi elewa vitu vikubwa.

Tafuta bando subiri updates toka Hai ujue maalimu kaja na zawadi gani toka Stonetown.

Ndio utaelewa nini maana ya comfrence ya leo
 
Anaeleweka, semea wee mwenyewe umejaza tope za kufugia minyooo nabado ukawa shabiki wa chama kinachohitaji uwe mjinga namba moja.


Sasa utamwelewaji huyo mkuu mwenyr akili kubwa?
We umemuelewa? Eti anasema Leo huko Hai CCM itapoteana. Itapotea vipi wakati CCM ndio baba laooooo
 
Wapinzani gani hawa wasiojua mbele wala nyuma? Leo wanasema wanamsapoti Lisu, halafu anaibuka mwingine anasema mimi ndiyo mgombea urais wa ACT. What is the better way to describe this attitude than UTOPOLO at its best?
 
Ndugu unajichosha tu kumuelewasha uyo kibaraka wa Loasa.anza kumfatilia leo uone Kama uwaga anapoint yoyote.hawa ndio wale mwl alisemaga wanasiasa Malaya Malaya,maana wakat Lowasa yupo CCM kalkuepo alivyo amia Chadema kapo,kalud CCM kapo.sasa aka unakaitaje Kama sio Malaya Malaya tu

Huyo Jane Lowassa sio mwana siasa, ila ni mkereketwa wa CCM

Wenye vichwa vya hivi yaan yeye kilichopo mdomoni na kichwan ni CCM hoyeeee
 
Utopolo tangu lini ukanielewa genius mimi. Mimi nimesoma primary hadi university Ulaya hukoo. Dar nimekuja nishakuwa na miaka 24. Sasa wewe St Kayumba ndiyo unielewe point zangu kweli? Itakuwa ni maajabu ya dunia eti
Kama wasomi wenyewe wa Ulaya ndio ninyi,kwakweli bora bongo.Ukiona msomi anajisifu kasoma ujue ubongo wake una tatzo.Maana hakuna msomi asie kubali mapungufu yake
 
Utopolo tangu lini ukanielewa genius mimi. Mimi nimesoma primary hadi university Ulaya hukoo. Dar nimekuja nishakuwa na miaka 24. Sasa wewe St Kayumba ndiyo unielewe point zangu kweli? Itakuwa ni maajabu ya dunia eti
Umeona sasa ulivyo mjinga ??? .

Kwani ukisoma Ulaya huko ndio kuwa na Akili??


Wewe kama kusoma umesoma ili upate vyeti tu kutafuta wepesi wa elimu sababu kichwan ni Maboga .


Sasa ndio nmekuelewa, kumbe muda wote kushabikia CCM haya ndio matokeo yake, yaani wewe na watoto wa Makamba, JK, na wengineo. Kusoma kwenu Ulaya, hakuondoi ukweli kuwa, kichwani mmejaza matope mazito sana,kiasi kwamba hata uwezo wenu wa kuchambua mambo uko chini sana.
 
Wapinzani gani hawa wasiojua mbele wala nyuma? Leo wanasema wanamsapoti Lisu, halafu anaibuka mwingine anasema mimi ndiyo mgombea urais wa ACT. What is the better way to describe this attitude than UTOPOLO at its best?
Ninachokiaona Membe amejaribu kukwepa mishale ya NEC, kama angesema anamuunga mkono Lissu huwezi kujua NEC wangesema nini. To me he is smart guy maana ni mgombea gani asiyefanya kampeni!!
 
Watu wanakula mihogo iliyoiva na mibichi, Wanasinzia hovyo!
Nguo za ndani hazifuliwi hadharani.
 
Back
Top Bottom