Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Mbona wanasema Misri ilikua nchi ya watu weusi sio waarabu?
 
Ina bidi waafrika pia tudai Egypt, Moroko, Algeria, Libya, na Tunisia maana hawa waarabu walivamia wakapoteza kizazi wa waafrika weusi
 
Then who are Palestinian mfano Sinwar...
What is their origin
Kwanza hakuna kabila lililoitwa wapalestina. Eneo la pwani ambako waliishi wavuvi, ambao wengi walikuwa ni wafilisti, ndiyo pekee liliitwa palestine kwa sababu ya jamii ya wafilisti.

Warumi walipozipiga JUDA NA ISRAEL KINGDOMS, kama njia ya kuwadhalilisha wayahudi, wakaanza kubadili eneo lote na kuliita Palestine ili tu majina hayo mawili yenye nguvu za kiutawala yapotee. Hawa wanaoitwa sasa wapalestina, kiuhalusia ni waarabu.
 
Dogo, hujui mambo🚮
Tulia
 
Na mimi nachojua Misri waarabu walivamia pale sio kwao
 
Israel alivamia eneo la mwenzake , na Israel imeundwa mwaka 1948 , wakati Palestina ilikuepo muda mrefu sana
Kila anayeamini/aminishwa kwamba Israeli haikuwepo kabisa au ilianzishwa mwaka 1948 anapaswa aidha aelimishe iliyo kweli au alazimishwe kuuelewa ukweli kwamba ilikuwepo.
 
Tukianza kupitia vifungu kwenye vitabu vya Kidini hapo tunaenda kinyume na Uzi, ukiachana na mambo ya dini, nani aliyemvamia mwenzie kati ya Israel na Palestina?
Huwezi kutenganisha Mgogoro baina ya Israel na Palestina na yaliyoandikwa kwenye Biblia. Ukiamua Kutenganisha ni kwenda kinyume na UKWELI.

Ipo hivi; Ibrahimu ndiye baba wa Taifa la Israel. Na ni mwenyeji wa Uru wa Wakaldayo. Inasemekena ni eneo lililokuwepo baina ya nchi za Iraq na Iran. Mungu ndiye alimwagiza Ibrahimu atoke kwenye nchi yake ya asili aende kuweka makazi eneo walipo Waisrel kwa sasa- nchi ya Palestina, na walikuwepo wenyeji. Sasa tunajua hii dunia Mungu ndiye aliiumba. Hivyo ana mamlaka ya kufanya lolote atakalo- Kama alivyoamua
kumpa Ibrahimu na uzao wake (Waisrael) nchi ya Palestina.

Je, wewe mwanadamu ni nani hata uhoji na kupingana na maamuzi na maelekezo ya Mungu? Kujaribu kuhoji mamlaka na maamuzi ya Mungu ni utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu kabisa. Wapalestina wangekubali na kutii maamuzi na maelekezo ya Mungu, kwamba nchi yao walipewa Waisrel- huu ugomvi ambao umekuwepo kwa miaka mingi usingekuwepo. Sasa kwa kuwa ni wakaidi ndio maana wanapigwa.
 
Tundu Lissu pamoja na uliberali wake lakini kaliongelea historia ya Palestina na mazayuni vizuri sana:


View: https://youtu.be/uuCyN8MHBn8?si=LytPqkYhGCV41cn7
 
Ukiingia ndani kwenye maandiko
Hata Tanzania tupo eneo la Israel
Israel walipewa nchi kubwa sana
 
Tupate historia kidogo maana wengine wana mahaba ya kidini ambayo tulipigwa na kitu kizito kichwani na Wazungu na Waharabu

View: https://youtu.be/uuCyN8MHBn8?si=e_N-udxVIY5bs7sy
 

View: https://x.com/Osint613/status/1848343469929930805
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…