Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

wasipokuamini waambie wamuulize raisi wa ufaransa Macron juzi alithibitisha hilo...wasipomwamini huyo achana nao mbumbumbu hao
Mkuu, jibu ki-staha, huu ni mjadala. Katika mjadala hatuitani majina ya kebehi kama hayo uliyoyaandika-mbumbumbu, kila mtu anafikisha anachokijua, mwishowe tutapata ukweli.
 
wasipokuamini waambie wamuulize raisi wa ufaransa Macron juzi alithibitisha hilo...wasipomwamini huyo achana nao mbumbumbu hao
Ha ha ha! Macron tena? Haya, mtume mwingine huyo anaandika kitabu chake.
 
Mkuu, jibu ki-staha, huu ni mjadala. Katika mjadala hatuitani majina ya kebehi kama hayo uliyoyaandika-mbumbumbu, kila mtu anafikisha anachokijua, mwishowe tutapata ukweli.
"My learned brother" aka "wakili msomi" ni namna tu ya kistaarabu ya kuheshimu upande kinzani wanapokuwa na mijadala mikali mahakamani. Husaidia sana kupunguza "joto" baina ya pande mbili kila moja ikijitahidi ku-win case. That's it.
 
Umekaza nati! Pitia vizuri nilichokijibu. Jitahidi urejee kwenye mada, huku ulikoenda ni mbali sana.

Mada haihusiani na mambo ya Uumbaji, ila imejikita kwenye huu mgogoro endelevu kati ya Israel na Palestina.
Pole sana...ningekusaidia kukupa nyuzi za kuunganisha dot ya nilichokisema na mada lakini naona kama nitakuwa napoteza muda ivi.
 
Pole sana...ningekusaidia kukupa nyuzi za kuunganisha dot ya nilichokisema na mada lakini naona kama nitakuwa napoteza muda ivi.
Nisingeku-confront usingeongea haya yote! 😂😂😂, anyway I am all ears.
 
Uungane na mvamizi? Israel waungane na Palestina kweli? Ni ngumu mno. Hapo inabidi wazitwange tu mpaka mvamizi atakapotoka kwenye ardhi ya mwenzie.
Uvamizi wa Wapalestina uko wap?
 
Una hoja, usikilizwe
 
Mtihani wa jibu hili ni kuwa, Mfano mimi nikija kwako nikiwa na kitabu changu ninachokiamini na nikakuonesha mstari kuwa Mungu wangu kanila ardhi hii utanipisha?

Au Niende pale Magomeni Kanisani niwaambie kuwa jana nimetokewa na Yesu Kristu kaniambia eneo hili lote liko chini ya milki yangu nanyi mnipishe! Ao Maaskofu watanipisha? Au wataita ambulance nipelekwe milembe?
 
Hata Qur'an inawatofautisha kati ya Wayahudi.na Watoto wa Yakobo. Qur'an ina waita Bani Israel lakini Wayahudi inawaita Yahudi.
Mkuu,
Kabla Kurani haijakuwepo Wayahudi walikuwepo maelfu ya miaka kabla. Kwa hiyo Korani haiwezi kuwa rejea sahihi kwenye hilo jambo.

Hata kutofautisha Wayahudi na watoto wa Yakobo ni kichekesho kingine, maana makabila 12 ya Wayahudi yanatokana na watoto 12 wa Yakobo. Na kwa taarifa yako, jina lingine la Yakobo ni Israel
 
Mkuu kwanini unaipotosha wazi wazi historia namna hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…