wasipokuamini waambie wamuulize raisi wa ufaransa Macron juzi alithibitisha hilo...wasipomwamini huyo achana nao mbumbumbu haoIsrael alivamia eneo la mwenzake , na Israel imeundwa mwaka 1948 , wakati Palestina ilikuepo muda mrefu sana
Kama wote ni wavamizi; mmiliki halisi ni nani?Shida ni wavamizi wawili kujifanya kila mmoja ana hati miliki wakati wote wezi
Mkuu, jibu ki-staha, huu ni mjadala. Katika mjadala hatuitani majina ya kebehi kama hayo uliyoyaandika-mbumbumbu, kila mtu anafikisha anachokijua, mwishowe tutapata ukweli.wasipokuamini waambie wamuulize raisi wa ufaransa Macron juzi alithibitisha hilo...wasipomwamini huyo achana nao mbumbumbu hao
Ha ha ha! Macron tena? Haya, mtume mwingine huyo anaandika kitabu chake.wasipokuamini waambie wamuulize raisi wa ufaransa Macron juzi alithibitisha hilo...wasipomwamini huyo achana nao mbumbumbu hao
"My learned brother" aka "wakili msomi" ni namna tu ya kistaarabu ya kuheshimu upande kinzani wanapokuwa na mijadala mikali mahakamani. Husaidia sana kupunguza "joto" baina ya pande mbili kila moja ikijitahidi ku-win case. That's it.Mkuu, jibu ki-staha, huu ni mjadala. Katika mjadala hatuitani majina ya kebehi kama hayo uliyoyaandika-mbumbumbu, kila mtu anafikisha anachokijua, mwishowe tutapata ukweli.
Pole sana...ningekusaidia kukupa nyuzi za kuunganisha dot ya nilichokisema na mada lakini naona kama nitakuwa napoteza muda ivi.Umekaza nati! Pitia vizuri nilichokijibu. Jitahidi urejee kwenye mada, huku ulikoenda ni mbali sana.
Mada haihusiani na mambo ya Uumbaji, ila imejikita kwenye huu mgogoro endelevu kati ya Israel na Palestina.
Nioneshe uhalali wa Israel kihistoria.Hata kihistoria inategemea anayehadithia kaamua kuanzia wapi
Tuanzie existence ya Jerusalem. When did the city start to exist?Nioneshe uhalali wa Israel kihistoria.
Uvamizi wa Wapalestina uko wap?Uungane na mvamizi? Israel waungane na Palestina kweli? Ni ngumu mno. Hapo inabidi wazitwange tu mpaka mvamizi atakapotoka kwenye ardhi ya mwenzie.
HakikaHata kihistoria inategemea anayehadithia kaamua kuanzia wapi
Swali la msingiKama palestina ilikuwepo muda mrefu ni kitu gani kilicho wazuia wapalestina kuwa na taifa lao kama nchi?.
Una hoja, usikilizweYakobo alikuwa ana watoto wakiume 12 wote kwa pamoja walikuwa wanaitwa Waebrania au Israelites.
Mataifa kumi yalichukuliwa uhamishoni wakati wa Uhamisho/Uvamizi wa Ashuru (Assyrians).
Makabila yalibaki ni Kabila la Yuda na Benjamin haya makabila mawali yakaunga yakaunda Dola inaitwa Judea.. neno Yahudi linatokana na (Yuda) na hii ni historical fact.
Tukizungumza Historia bila kuweka Quran (sababu sio historical text)
Sinwar kama Mpalestina historia yake haizidi vizazi 8 Hadi 10, Wapalestina wengi wameishi Hapo kwa Miaka karibu 400 tu, wakati wayahudi kabla ya mwaka 70AD Walioishi hapo kwa Miaka zaidi ya 3000.
Historia ya Palestina hata kwenye website yao inaanzia mwaka 1986.
Hata wakimzungumzia Yesu hawamtaji kama Myahudi wakati alikuwa Myahudi hawamtaji Daudi kama mfalme wa Dola ya Israel wakati alikuwa Mfalme wa United Israel kingdom.
Hakujawahi kuwepo taifa huru/Sovereign state au Ufalme wa Palestina ambao una Kiongozi wake.
logic ya madai ya Wapalestina Iko Lakini wote mnajaribu kuilezea kijinga au kwa hoja za kijinga
Mtihani wa jibu hili ni kuwa, Mfano mimi nikija kwako nikiwa na kitabu changu ninachokiamini na nikakuonesha mstari kuwa Mungu wangu kanila ardhi hii utanipisha?Hesabu 33:
Kisha Bwana akanena na Musa hapo katika nchi tambarare za Moabu, karibu na Yordani, hapo Yeriko na kumwambia:
"Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapovuka Mto wa Yordani na kuingia nchi ya Kanaani, ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote (Wakanaani) wa hiyo nchi mbele yenu.
"Nanyi mtayaharibu mawe yao yote yenye kuchorwa sanamu na kuziharibu sanamu zao zote za kusubu, kuvunjavunja mahali pao pote palipoinuka Nanyi mtaishika hiyo nchi kuimiliki na kuketi humo; kwa kuwa mimi nimewapa ninyi hiyo nchi ili mwimiliki.
"Nanyi mtairithi nchi kwa kufanya kura, kama jamaa zenu zilivyo. Hao walio wengi mtawapa urithi zaidi na hao waliopunguka utawapa kama kupunguka kwao. Mahali popote kura itakapomwangukia mtu yeyote, mahali hapo ni pake. Mtarithi kama kabila za baba zenu zilivyo.
"Lakini kama hamtaki kuwafukuza wenyeji wa nchi watoke mbele yenu, ndipo hao ambao mtakaowasaza watakuwa kama sindano machoni mwenu, na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika hiyo nchi ambayo mwakaa."
Nioneneshe kihistoria wapi panatoa mwanya kuwa Israel alivamiwa?Hakika
Mkuu,Hata Qur'an inawatofautisha kati ya Wayahudi.na Watoto wa Yakobo. Qur'an ina waita Bani Israel lakini Wayahudi inawaita Yahudi.
Mkuu kwanini unaipotosha wazi wazi historia namna hiyo?1920 hadi 1922 tayari muingereza alikua anaitawala Palestina kwa jina hilo hilo Palestina , baada ya wahamiaji wa kizungu kwa jina la kiyahudi kua wengi na wakaanzisha vurugu za kutaka watambuliwe na wao , muingereza na marekani wakaunda Taifa bandia kule ili kudhibiti eneo lile na maslahi yao , hivo mwaka 1948 ndio Israel inatangazwa nchi na umoja wa mataifa huku wapalestina wenye eneo lao wakinyimwa haki yao na kiti chao umoja wa mataifa wakakipiga pin, nini kilifanyika hadi waarabu wa eneo lile kunyanyaswa hadi Leo na kupata mateso miaka yote hiyo ndio unatakiwa ujifunze historia pale juu
Nionyeshe kwanza kihistoria eneo la ardhi ya Wa-Israeli katika dunia hii ni lipi.Nioneneshe kihistoria wapi panatoa mwanya kuwa Israel alivamiwa?
Unahoji uongo kwa shetani? Ndiye baba wa uongo hivyo na wafuasi wake.Mkuu kwanini unaipotosha wazi wazi historia namna hiyo?