Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Hoja ni Israeli au Palestine? Kwani ukizaa watoto 50 wanabadili utaifa?
Wewe umesema pale ni kwa kina Abraham ndio nakufundisha kuwa Abraham alikua na watoto watano ila waisrael ni watoto wa Yakobo pekee, sasa je hao wajukuu wengine wa Abraham aliozaa na mke wake Keturah wanarithi ardhi gani? Au mwenye haki ni yakobo tu ukoo mzima?
 
Kwa

Mfalme WA wapi? Kwahiyo hata majina tu Jerusalem,galilala, Nazareth, Bethlehem ni ya kiarabu?
Nimekwambia kasome Biblia, Abraham alitoa sadaka kwa Mfalme wa Jerusalem sasa unachobisha nini? Kama ilikua na mfalme why leo ulielie kuwa Jerusalem ni ya wayahudi tu sio jamii nyingine?
 
Sasa philist si jamii za kiajemi? Wafilisiti waliwakuta wayahudi wapi,kwahiyo samsoni alikuwa na Vita na Nani? Mkajifunze historia kuanzia Babylon Hadi Roma wayahudi hapi na kwao Dunia imetafuta Kila namna kuwaangamiza imeshindwa.
 
Lile eneo ni la waarabu , hasa kwa sababu media , na nguvu duniani kashika marekani na kuna mikataba ya siri uingereza na marekani kuisapoti Israel kwa lolote ndio shida , baadae akaja misri akataka kuwatetea wapalestina akaishia njiani , ikatokea migawanyiko mikubwa middle east , akabakia Iran ndio anawatetea wale watu , hao houth, hezbollah, hamas sio magaidi hivo ni vyama vya kisiasa tena vilikua vinashiriki chaguzi huko na vina wabunge , kama ilivo ccm na greengaurd yao Leo waitwe magaidi , maana nao hupata mafunzo ya kijeshi kule ihemi ikiwapo kutumia silaha , hasa vile vyama kulinda maslahi ndio vikaunda vikosi vya kujilinda na kulinda watu wao , hao sio magaidi kama tunavyoaminishwa na dunia ishaingia mkenge na kupata dhambi ya bure kwa kuwachukia wasio na hatia na kuwapenda wenye hatia
Ohoooooo wenye dini yao
 
philist si jamii za kiajemi?
Unachanganya eneo na kabila!! Philistia waliishi makabila ya canaan pamoja na caphtorites/Casluh kutoka Ugiriki; notable personalities ni kina Goliath walitokea jamii hii.

Mkajifunze historia kuanzia Babylon Hadi Roma wayahudi hapi na kwao Dunia imetafuta Kila namna kuwaangamiza imeshindwa.
Kumbe hayajafutika? Niambie kabila la Dani lilifutwa na nani? Si tuliambiwa wote watatejeshwa ila Kitabu cha ufunuo hakiitambui kabila la Dani!!

Hata sasa nikikuuliza yale makabila 10 yaliyoenda utumwani yako wapi huna jibu?
 
Wake WA zinaa ni wake? MTOto anayetambuliwa ni isaka tu wengine ni WA zinaaa...
Acha ujinga, Keturah alikua mke wa ndoa baada ya Sarah kufariki. We jamaa huna unalojua kumbe. Na ahadi za nchi ya ahadi na taifa teule alipewa Abraham!! Ila eti taifa teule anakua Yakobo tu.... hujitambui
 
[10/20, 7:14 PM] +27 73 499 4191: BREAKING: The Al Qassam Brigades confirm assassinating the leader of the 401st Brigade of the IDF in Gaza!

Colonel Ihsan Daqsa! The highest ranking military officer killed since Oct 7th!

A number of his military assistants were also critically injured!

The Colonel was on his way to receive Intel information and plan operations in Jabalia!

Al Quran - "˹So˺ fight them and Allah will punish them at your hands, put them to shame, help you overcome them, and soothe the hearts of the believers"

Al Muqawamah Al Islamiyah 🇿🇦
[10/20, 7:35 PM] +27 73 499 4191: Update: It has been officially confirmed by the Zionist army not by Al Qassam.

The eliminated IDF Colonel Ihsan Daqsa was honored with many medals in 2006 in the battle with Hezbollah in Aita Shab.

This is a very very high ranking Zionist officer eliminated!

Al Muqawamah Al Islamiyah 🇿🇦
 
Kihistoria, eneo lote la ilipo Israel, Gaza na sehemu ya kusini mwa Lebanon, sehemu ya Misri, sehemu ya Syria na sehemu ya Jordan, mpaka mwaka 2,500 BCE ilikuwa ni nchi moja iliyoitwa Canaan.
Wayahudi waliingia katika nchi hii kwa vita, na kuwapiga wenyeji wa maeneo hayo, canaanites, na kutengeneza tawala mbili: ISRAEL KINGDOM na JUDAH KINGDOM.

Kutokana na vita vya daima, kuanzia mwanzoni mwa karne 10, walihamia maeneo mbalimbali ya mediteranian, wengi wakiingia nchi za Ulaya, huku jamii ndogo ya Wayahudi na waarabu wakibakia kwenye maeneo yao ya asili. Wakati Wayahudi wengi waliyahama maeneo haya, waarabu waliendelea kuishi sehemu hizo hizo. Kabla ya vita kuu ya pili ya Dunia, kulikuwa na wayahudi wapatao 450,000 na waarabu wapatao 1.1m kwenye eneo ambalo leo ni Israel, Gaza na West Bank. Wakati huo eneo lote likiwa chini ya mamlaka ya Uingereza.

Baada ya vita kuu ya pili ya Dunia, idadi ya wayahudi katika eneo hili iliongezeka hadi kufikia takribani 760,000, na waarabu wakiwa 1.2m.

Kwa ufupi ni kwamba, hili eneo la Israel, Gaza na Westbank, toka kale ziliishi jamii mbalimbali pamoja, huku wayahudi wakiwa wengi, na ndio walikuwa watawala. Migration kubwa ya wayahudi ilibadilisha demography ya eneo, na kuwafanya waarabu kuwa wengi zaidi kuliko wayahudi.

Katika uhalisia, na hekima ingekuwepo, kama walivyopendekeza wayahudi mwaka ule 1947, eneo lote lilitakiwa kuwa nchi moja yenye jamii tofauti tofauti. Kwa bahati mbaya, waarabu walikosa hekima, wakaona kuwa Wayahudi hawana haki yoyote, na hawa hawakuwa waarabu wa pale Palestine, walikuwa waarabu wa mataifa ya Misri, Iraq, Jordan, Syria na Lebanon, ambao tayari walikuwa wamelimega eneo la ufalme wa zamani wa Israel na Judah.

Kwa kuzingatia mazingira ya baada ya vita vikuu vya pili vya Dunia, jibu rahisi ni kwamba, hakuna mvamizi. Waisrael ni eneo lao, na wapalestina pia. Lakini kwa vile waarabu waliukataa mgawanyo wa 1948, waliipoteza haki ya eneo walilopewa. Kwa sasa ni vyema ikawa nchi moja inayozingatia haki ya jamii zote.
 
Mkuu Wayahudi ata Ethiop wapo, ata Uganda wapo enzi ma enzi na hilo sikatai kuwa kulikuwa na jamii ya watu mbalimbali eneo hilo ila Wayahudi walikuwepo Yudea pia kama waliopo Ethiopia leo ata Iran kuna jamii ya Wayahudi pia mpaka leo.
Then who are Palestinian mfano Sinwar...
What is their origin
 
mkuu hoja kubwa ilikuwa ni ku establish hilo eneo linalogombaniwa.

Nakubaliana na wewe kuwa hakuna ushahidi wa kisayansi isipokuwa masimulizi. Je kuna ushahidi wowote hilo Taifa la Palestina lilikuwepo hiyo miaka 2000 nyuma?
Miaka hiyo hakukuwa na Taifa kama nchi ila kulikuwa na majimbo.

Mfano:- Yudea ilikuwa katika Jimbo la Syria na hata Palestina ilikuwa ni eneo likilotambulika kama Syria - Palestina likimaanisha eneo pwani ya mashariki ya midle east.
 
Israel alivamia eneo la mwenzake , na Israel imeundwa mwaka 1948 , wakati Palestina ilikuepo muda mrefu sana
Nisaidie mkuu kama Israel alivamiaa je? Israel kwao ni wapii au eneo lao ni lipii maake kila mtu kwenye Dunia hii ana asili yake?,je? Hiyo nchi Israel ilikuaga wapii??
 
Mungu akisema amesema. There is no going back.

"The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”
Unaongelea biblia hii kila siku inafanyiwa maboresho au biblia ipi?
 
Mkuu hakuna ushahidi wowote wakisayansi unasupport hoja kuwa pale kwenye msikiti wa Al Aqsa kulikuwa na Hekalu la Suleiman ila inasemekana tu kuwa pale kulikuwa na hicho kitu na sio Synagogi ni Hekalu.
Si kweli Soma Historia ya Arab conquest of Levant.

If I remember correctly Khalif Omar alipofika Jerusalem akafikishwa Kwenye Temple Mount, Eneo Hilo kwa Wakati huo kulikuwa na Hekalu la Jupiter Mungu wa Kigiriki na most likely Al-Aqsa mosque imejengwa juu ya Hekalu la Jupiter ambalo Warumi walibadili kutoka Hekalu la Suleman

Dome of the Rock for sure kwa 100 limejengwa Mahali lilipokuwa Hekalu la Suleman sababu kilichopo ndani ni Jiwe ambalo kulingana na Tamaduni za Kiyahudi Ndipo Ibrahim alitaka kumtoa sadaka Isaka na Ndipo walikuwa wanaweka wanaweka Ark of Covenant
 
Kitu huwa sikielewi elewi kwenye huo mgogoro ni ile kusema eti wanaIsrael walitapaa duniani baada ya miaka mingi wakaanza kuungana warudi kwao, ari wakaanza kurudi hadi kuanzisha hilo taifa.

Ina maana huko uhamishoni miaka yote walikua wanaoana wao kwa wao, hawajachanganya damu na races nyingine.
Huwa inanipa ukakasi sana hii ...
 
Kihistoria, eneo lote la ilipo Israel, Gaza na sehemu ya kusini mwa Lebanon, sehemu ya Misri, sehemu ya Syria na sehemu ya Jordan, mpaka mwaka 2,500 BCE ilikuwa ni nchi moja iliyoitwa Canaan.
Wayahudi waliingia katika nchi hii kwa vita, na kuwapiga wenyeji wa maeneo hayo, canaanites, na kutengeneza tawala mbili: ISRAEL KINGDOM na JUDAH KINGDOM.

Kutokana na vita vya daima, kuanzia mwanzoni mwa karne 10, walihamia maeneo mbalimbali ya mediteranian, wengi wakiingia nchi za Ulaya, huku jamii ndogo ya Wayahudi na waarabu wakibakia kwenye maeneo yao ya asili. Wakati Wayahudi wengi waliyahama maeneo haya, waarabu waliendelea kuishi sehemu hizo hizo. Kabla ya vita kuu ya pili ya Dunia, kulikuwa na wayahudi wapatao 450,000 na waarabu wapatao 1.1m kwenye eneo ambalo leo ni Israel, Gaza na West Bank. Wakati huo eneo lote likiwa chini ya mamlaka ya Uingereza.

Baada ya vita kuu ya pili ya Dunia, idadi ya wayahudi katika eneo hili iliongezeka hadi kufikia takribani 760,000, na waarabu wakiwa 1.2m.

Kwa ufupi ni kwamba, hili eneo la Israel, Gaza na Westbank, toka kale ziliishi jamii mbalimbali pamoja, huku wayahudi wakiwa wengi, na ndio walikuwa watawala. Migration kubwa ya wayahudi ilibadilisha demography ya eneo, na kuwafanya waarabu kuwa wengi zaidi kuliko wayahudi.

Katika uhalisia, na hekima ingekuwepo, kama walivyopendekeza wayahudi mwaka ule 1947, eneo lote lilitakiwa kuwa nchi moja yenye jamii tofauti tofauti. Kwa bahati mbaya, waarabu walikosa hekima, wakaona kuwa Wayahudi hawana haki yoyote, na hawa hawakuwa waarabu wa pale Palestine, walikuwa waarabu wa mataifa ya Misri, Iraq, Jordan, Syria na Lebanon, ambao tayari walikuwa wamelimega eneo la ufalme wa zamani wa Israel na Judah.

Kwa kuzingatia mazingira ya baada ya vita vikuu vya pili vya Dunia, jibu rahisi ni kwamba, hakuna mvamizi. Waisrael ni eneo lao, na wapalestina pia. Lakini kwa vile waarabu waliukataa mgawanyo wa 1948, waliipoteza haki ya eneo walilopewa. Kwa sasa ni vyema ikawa nchi moja inayozingatia haki ya jamii zote.

Hao wakazi wa Canaan ni akina nani?

Kwanini tuseme hapo mahala palikaliwa na jamii tofauti ilihali aya yako ya kwanza unasema Israeli walipigana vita na kuwashinda wakazi waliokaa hapo Canaan.
 
Back
Top Bottom