Bila kupepesa macho, Ni member gani haumkubali humu JamiiForums

💩💩💩💩
 
😅😅😅😅😅
 
Kuna ID sikubaliani na maoni yao hasa huko siasani, lakini sijawa-ignore maana najua wanafanya hivyo kushibisha matumbo yao na ipo siku watazinduka na kujiona waliokosea.

Kuna ID za huku chitchat yani hadi ignore nimewaweka, walioweka option ya ignore hawakuwa wajinga, some characters japo huzifahamu personally ila michango yao ya hovyo.
 
Una mawazo ya kimaskini sanaaaa
 
Aisee
 
Baba! Una hoja usikilizwe
 
Dalili ya kukosa muelekeo wa Maisha ndio hizi Sasa 😁😁
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…