Bilioni 1.6 imeibiwa ndani ya miezi miwili na Waziri wa Fedha Mwigulu yupo!

Cheo cha uwaziri ni cha kisiasa hakiangalii taaluma. Wizarani kuna watendaji ndo wataalam, kumbuka Hussein Mwinyi alikuwa waziri wa ulinzi na hakuwa mwanajeshi.
 
Waziri wa Fedha hii ni kashfa nzito mno, hutakiw kuitolea maelezo. Unachotakiwa ni kuwaomba radhi watanzania na kujiuzuru kiungwana kabisa na kama huwezi basi usubir rungu la mama Samia ambalo ni aibu na linakutolea credit kama mgombea urais 2025.
Mwigulu Nchemba njoo huku wanakusagia kunguni
 
Hapo ndo mam anapofeli kwenye kuchukua hatua ngumu
 
Mwigulu ni mwizi mno. Sijui Samia alidanganywa na nani kumuweka mtu huyu kwenye Wizara hii nyeti. Hopeless kabisa.

Harafu unawaachaje nje wezi eti kupisha uchunguzi?
 
Acha nchi isonge kama ukujenga ukiamini mwendazake atatawala milele imekula kwenu
 
Ndo tunaambiwa wachaga ni wezi? Kila siku.. hawa ni wa wasamaria wema sio?
 
We vipi hiyo order alisoma PM bila wasaidizi angejua? Mama yuko good ndio maana hatembei na machuma.vijana wapo kazini wengine utawalipa posho
 
Na yule aliyekuwa katibu mkuu wa wizara hiyo kaopo mabilioni vipi?mwacheni mwigulu nyie sukuma gang.
 
Wewe ni msukuma.msikie Mh Mbowe mlikuwa hamuwataki wachaga na makabila mengine.mbona katibu mkuu aliyehamishiwa wizara ya viwanda na biashara kaopoa mabilioni.hatukumwona kiongozi yoyote akikemea au kuunda tume eti kwa kuwa ni mpwa wa hayati magufuli.
 
Sasa ukisema Dr. Mwingulu ndio anahusika moja kwa moja utakuwa unamwonea tuu na una chuki binafsi wewe ulitakiwa uonyeshe jinsi zilivyochukuliwa kwa kuwataja wahusika ambapo ni kosa la jinai yeye atawajibika tuu kama alijua na alihusika. Mtoto wako kukomba sukari jikoni baba anahusika vp! Labda kimalezi
 
Walioiba billion moja mnawatoa kafala , vipi walioiba bilioni 96 na bilioni 180 wakasingizia za kumtibu marehemu Jiwe , mbona mmewateua katibu mkuu na mwingine kuwa mbunge ?
 
Jamani nendeni polepole. Munaweza kupendekeza munaemuhitaji bado akashindwa kazi. Twende taratibu jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…