Tunasubiri mabadiliko saa 8 usiku....Meigulu hayupo team Mama yeye ni Mataga....hakumkubali Mama kama Mwana Kamati kuu mmoja ambae amepewa RC ili kumtoa ndani CC...maana aliubgana na Bashiru kumkataa Mama....hadharani...
Mnaweza kufanya lolote. Lakini, msema kweli nauliza, nmamtoa kwa visasi hivyo ama kwa maslahi ya taifa? Bado mnataka watu wote wawe na utashi mmoja? Ni lini mlisema kutofautiana mitazamo ni uharifu? Uhuru wa watu kufanya uchaguzi na kutoa maoni yao mmeufuta kwa katiba gani?
Hapa mnajenga taifa la aina gani?
Kwamba muwe na watu wanafiki wanaosema ndiyo hata pale hawaoni ni sahihi?
Mnapeleka wapi hii nchi?
Kwa hiyo mnataka kumpoteza na weledi wake kwa sababu ya visasi binafsi?
Mwogopeni Mungu enyi binadamu msio na hisia.