Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

IMAGINE, kwenu ninyi wanawake, unakuwa rais, unamteua mwanaume awe mkuu wa mkoa, anaenda huko na kuanza kulawiti wanafunzi wa chuo. hivi, utajisikiaje, mama anajisikiaje.
Hivi wanawake wa Tanzania watahitaji huruma ya nani kama hawawezi kumhurumia binti huyu??
 
Hivi wanawake wa Tanzania watahitaji huruma ya nani kama hawawezi kumhurumia binti huyu??
NGO za wanawake zipo kimya, legal and human rights centre ambao walikuwa kimya hata kwa satiba, wapo kimyaaa, wanawake wapo kimya, huyo binti si ukute anapambaniwa na wanaume.
 
Tusilete ubabaishaji wa kijinga kuuliza uliza vitu havina base..jambo lililompata huyu mtoto si la umri wake, na hivyo si rahisi kufanya maamuzi sahihi kwa kila anachokutana nacho! hayuko sawa kiakili anahitaji msaada mkubwa kimalezi na kimaamuzi!
 
Mkuu wa mkoa wa Mwanza wakimkomalia nae anaweza kuwa convicted with the same sentence as Nawanda wakifanikiwa kuthibitisha kama ni assessor after the fact (kumsaidia kuficha ushahidi)
 
ulitaka anyamaze baada ya kupokea mpunga? si unaweza kupokea ila baadaye ukajifikiria ukaona umefanya ujinga ukabadili mawazo? au hata tuamini vile unavyotaka kulenga kwamba kuna maadui wa RC wanampush uyo binti, kama wanafanya hivyo, wanafanya sehemu yenye justification, wamepapata kwenye udhaifu wake wakashikilia hapohapo, inabadili nini?

Kifungu cha 154 cha penal code, mapenzi ya kinyume na maumbile hata kama mmekubaliana ni kosa la jinai, miaka 30. kwahiyo cha muhimu hapo ni JE, RC ALILAWITI? kama jibu ni ndiyo, haijalishi kama anatafutwa na maadui au la, anatakiwa aonekane mahakamani anasulibishwa.

ukifanya kosa, adui yako akalifichua, sio kinga kwamba mbona nimefanya kosa lakini anahyelifichua ni adui yangu.
 
..kama mwanaume namfikiria BABA wa huyo binti.

..nafikiria HASIRA alizokuwanazo dhidi ya Mkuu wa mkoa.
si ukute mkulima tu pengine, hana pesa, akipewa 3m anaridhika. hujawahi kuona vijijini kwetu huko mtu anamfumania mkewe amelaliwa kabisa, wanaita kikao, anapewa 1m au ngombe kadhaa, anashika mkono wa mke, wanaondoka zao, na wanaendelea kuishi na kuzaa watoto.
 
Kuna watu wengi humu kwenye huu uzi wanaonekana wanalawitiwa,

maswali ni mawili tu

1. Je huyo dada mwema amelawitiwa au la?

2. Nani aliyemlawiti huyo dada?
 
Alikaa kimya. Kukiri amekiri baada ya kuulizwa mara 2. Ni wazi baadhi ya pesa alizopewa keshatumia, lakini cha ajabu bado anadai haki ifanyike? Hiyo inaleta mashaka makubwa sana na motive na credibility yake.
 
Hajitambui kabisa,hata kama nyege zimemzidi mishangazi yote hajaiona hadi aende kukichukua hicho kibinti umri wa mwanae.
nadhani alitaka kutoa bikra ya sehemu za siri za nyuma, kwasababu kama kulawiti, malaya kibao wanaojiuza huko wanaridhia, pia, asili wa watu wa pwani huko ni kitu cha kawaida.

someni Warumi 1:26, hayo yote ni machukizo mbele za Mungu. na wafiraji na wazinzi hawataurithi ufalme wa Mungu. pamoja na signo ile ya x-RC na kuitwa al haji, sehemu yake ni katika lile ziwa la moto uwakao.
 
Kuna ushahidi wa daktari kuwa shahawa ni za huyo RC?
Wanawake wangapi wanajjtangaza kwenye mitandao kuwa wanauza tigo nani alifungwa. Video ngapi zimelaek za wasanii wakiliwa tigo nani amefungwa?

Jela watu wanalawitiwa tena wengine kwa nguvu nani alifungwa?

Huyo RC hatafungwa hii sio issue ya siasa
kwenye kesi za rape au ulawiti, ushahidi wa penetration pekee hata bila shahawa, uantosha. na pale awali si tulisikia walipeleka izo makitu kwa mkemia mwanza, au wameshatupa.
Anakuja, post: 50689817, member: 546610"]
kwenye kesi za rape au ulawiti, ushahidi wa penetration pekee hata bila shahawa, uantosha. na pale awali si tulisikia walipeleka izo makitu kwa mkemia mwanza, au wameshatupa.
[/QUOTE]

Penetration ya nani? Huyo binti hawezi kulawitiwa na mwingine kwa hiyari au mtego halafu aje kumpakazia nwingine kwa kumkomoa?
 
Kwa hiyo anachotaka kusema ilikua hiyari ila ilikua ng'ono kinyume na maumbile. Na hela ilitolewa milioni tatu ya nini. Huyo RC alikua mmojawapo ya wahuni wengi mama anawapa uteuzi. Kama sio mwenyewe analetewa mapendekezo wananchi wanajua mama. Ana kazi kubwa kusafisha benchi lake la wasaidizi.
 

hata bila ushahidi wa DNA kwenye shahawa, binti kama akieleza vizuri namna hiyo, ukawepo na ushaidi mwingine kama huo wa kutoa pesa hadi kuweka kwenye account ya mama, masimu kibao amepiga, cctv footage, inatosha kumpa 30 years.
 
Si yeye tu..dhambi za aina hii huweza kuleta laana kwa nchi!
 
Mtu akijikuna muwasho wa mgongoni kwanza akaacha mkono wenyewe ilihali unawasha..basi jua hajitambui!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…