Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hiyo kesi haifiki popote Rais Samia amemtoa huyo jamaa kwenye ukuu wa mkoa ili kupunguza kelele za raia muda sio mrefu atapewa kazi nyingine.
Hapa huwez kuwaona wale vibaraka sijui umoja wa wanawake wa CCM, watetezi wa haki za binadamu nk waliokuwa wanamuandama Makonda kisa tu kamsifia mkewe hadharani
Hapa huwez kuwaona wale vibaraka sijui umoja wa wanawake wa CCM, watetezi wa haki za binadamu nk waliokuwa wanamuandama Makonda kisa tu kamsifia mkewe hadharani