Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Hiyo kesi haifiki popote Rais Samia amemtoa huyo jamaa kwenye ukuu wa mkoa ili kupunguza kelele za raia muda sio mrefu atapewa kazi nyingine.

Hapa huwez kuwaona wale vibaraka sijui umoja wa wanawake wa CCM, watetezi wa haki za binadamu nk waliokuwa wanamuandama Makonda kisa tu kamsifia mkewe hadharani
 
hivi DPP anasubiri nini kufungua hii kesi ya ulawiti mahakamani? nini kinasubiriwa, mbona kesi zingine zinaenda haraka sana? au hii kwa kuwa ni ya mkuu wa mkoa. imagine, hadi CCTV footage zipo.
 
Mama anaupiga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…