Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
UWT wamezoea kulindanaUmesikiliza maelezo yake yote? Hata kama alishafanyiwa hayo siku za nyuma jee ni haki aendelee kufanyiwa hivyo sasa? Na jee ni kweli RC amemfanyia kitendo hicho au hapana? Ukweli utajulikana mahakamani hivyo usimhukumu huyo binti kuwa anatumiwa kumhujumu aliyekuwa RC ,tuiachie mahakama kazi hiyo.
Unajua sheria za mbugani kwenu kijijini ambako mnabakana siyo sheria za nchi?yaani nikutolee mahari yangu, nikulishe, nikuvalishe na bado nikitaka kukuweka / kukukaza niombe ruhusa kutoka kwako / kwake?
napenda sana jamiiforums members werevu kama wewe mkuu na siyo hii mijuha mingi iliyochangia kwa kutetea hapaMtu mzima analawitiwa....
Sema walishindwa kukubaliana kwenye maokoto tuu
Ni aibu kubwa snsiwezi sema nyege ila RC hakuwa na utulivu kwenye hiyo sekta ya nyege!
Maokoto vipi wakati aliahidiwa fedha na mama yake akapewa?Mtu mzima analawitiwa....
Sema walishindwa kukubaliana kwenye maokoto tuu
Kwa hiyo kama alikuwa mpenzi wake sio kosa kumlawiti?nina uhakika huyu rc mlawiti kama akipata tu wakili wa kujitambua tayari hii kesi anaipangua haraka na anashinda
Haya majangili lazima yabebaneMkuu wa MKoa wa mwanza pia anastahili kufurushwa, hastahili kuwa RC tena, kumbe alikuwa anaizima iyo issue? ina maana Samia anafurahia mabinti hawa wakilawitiwa na RC wa mwanza anataka kuificha? ndio hivyo aliwatuma wakawe wanafanya kazi?
cognizant natokea pembe zanzibar sasa hizi mbuga zako mimi nimezionea wapi? kazi yangu kuu ni kuvua tu samaki pembaUnajua sheria za mbugani kwenu kijijini ambako mnabakana siyo sheria za nchi?
kwanini asilawitiwe, kama mtu mzima anabakwa, kulawitiwa kunashindikanaje?Mtu mzima analawitiwa....
Sema walishindwa kukubaliana kwenye maokoto tuu
Kumbeba mwenzakeHuku ni kulazimisha utenguzi, sasa RC anataka nini?
Kumbe bado haijafika mahakamani duu ila ni funzo kwa wengine wanaoendekeza mapenzi, ona sasa shule amesitisha, mzazi alipewa 3m kama kichwa cha habari kinavyojielezaBinti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.
Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.
Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitenfo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.
Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.
Watu wanawazaga negative tuu kichwani hamna kitu na wengi wanashindwa kufikilia yaan kiufupi wanafata mkumbo....napenda sana jamiiforums members werevu kama wewe mkuu na siyo hii mijuha mingi iliyochangia kwa kutetea hapa
ALishindwa ni nini kuoa?wanaume tuweni makini ndugu zangu, imagine, kabinti kama haka, kanamwita RC "NAMWANDA", pamojana phd yake, na cheo chake, na walinzi wake, kila kitu, binti anamwona wa kawaida tu kwasababu walishaonana sehemu za siri. tujiheshimu,
mke analawitiwa? hivi huko shuleni mlienda kufanya nini?Kwa hiyo kama alikuwa mpenzi wake sio kosa kumlawiti?