chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Hii case ni ngumu sanaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
picha zilizotumwa mwanzo hazikuwa za kwake. kwa asili kuna baadhi ya wanaume, au nisme wanaume wote, huwa tunapenda kulala na wale walio chini ya umri wetu zaidi ya wale tunaolala nao kila siku wazee wenzetu. ni Neema ya wokovu tu imetuokoa sisi wengine, tumeshapitia sana hayo. ndio maana utakuta kiongozi mzima kutwa kukimbizana na wanafunzi wa chuo, na hata wa sekondari, kuna miaka ya nyuma kuna kiongozi mmoja mkubwa sana alikuwa analala sana na wanafunzi wa hapa jangwani secondary, Mungu amlaze mahali pema. hivyo kwa RC kwenda kwa wanafunzi, ni asili yetu wanaaume, usipojizuia utatenda tu iyo dhambi. na zaidi yeye alikuwa amezoea wanafunzi si alikuwa mwalimu wa mzumbe kabla ya kuja kwenye hayo mavyeo.Huyu binti nae anabadilika kweli ile picha iliyotumwa humu kalikuwa kazuri kweli ila kwenye hii video bongee la kakizibo.Poor RC Magwanda sijui Maranda.
Aiseee!!!Mkuu wa mkoa wa Mwanza naye kayakanyaga
NI sahihi, sasa hapo si unaona rc ndio kakamatwa zaidi? kama hakulawiti, na kama hakuwa anataka kuzima soo, kwanini alitoa hadi pesa? hivi kweli kama hauna kosa unaweza kutoa mahela yote hayo kama upo innocent?Sikiliza dakika 28:21 hadi 28:57
Kwanini binti azipokee na abaki nazo, tena kila wakati huku analindwa na mapolisi. Si wangefanya mtego tu?NI sahihi, sasa hapo si unaona rc ndio kakamatwa zaidi? kama hakulawiti, na kama hakuwa anataka kuzima soo, kwanini alitoa hadi pesa? hivi kweli kama hauna kosa unaweza kutoa mahela yote hayo kama upo innocent?
si amesema mamake alimshawishi amsamehe, au hujasikia. na izo ni pesa ujue, anawezakuwa aliwaza kama kulawitiwa keshalawitiwa haiwezi kurudi hiyo, na pesa akose, wakati wameleta, akachukua. ila hajazitumia labda kwasababu ile trauma bado ipo, ule uchungu wa kulawitiwa upo haoni kama hata pesa zina thamani.Kwanini binti azipokee na abaki nazo, tena kila wakati huku analindwa na mapolisi. Si wangefanya mtego tu?
Kuna ushahidi wa daktari kuwa shahawa ni za huyo RC?bro, mimi ni lawyer. ana kesi mbili tu, nazo ni:
1. kumwingilia binti kinyume na maumbile, hiyo haijalishi kwa ridhaa au kwa lazima.
2. kutoa rushwa. binti anasema jamaa alideposit 3m kwenye account ya mama, anatakiwa aulizwe hiyo hela aliiweka ya nini kama sio kutoa rushwa jambo liishe? na kwa bahati mbaya, pesa ukishaweka bank mifumo yao ni ngumu ku-alter/kubalisha. huwezi kufuta kitu cha kwenye mfumo, hivyo kwenye account ya mama pesa inasoma,labda kama hakuandika imetoka kwake. na wakienda voda watakuta kuna masimu kibao alikuwa anampigia binti, mama na rafiki zake, na si ukute alituma na msg, zote hizo ni maushahidi.
kwenye kesi za rape au ulawiti, ushahidi wa penetration pekee hata bila shahawa, uantosha. na pale awali si tulisikia walipeleka izo makitu kwa mkemia mwanza, au wameshatupa.Kuna ushahidi wa daktari kuwa shahawa ni za huyo RC?
Wanawake wangapi wanajjtangaza kwenye mitandao kuwa wanauza tigo nani alifungwa. Video ngapi zimelaek za wasanii wakiliwa tigo nani amefungwa?
Jela watu wanalawitiwa tena wengine kwa nguvu nani alifungwa?
Huyo RC hatafungwa hii sio issue ya siasa .
Watu wenye tabia za kufanya ulawiti hawana hofu, kwake kulawiti ni kama ushabiki wa simba au yanga..huyu RC hakuwa anaanza kulawiti kwa huyu mtoto ni mzoefu! ndio maana inashangaza wanaovett viongozi wanashindwa vipi kubaini mtu mlawiti mzoefu na kumpa uongozi??? na aliondolewa UDC nani anamrudisha na kwa sifa zipi??? ukute nchi hii inahangaika na kundi kubwa la walawiti na wana madaraka..ona RC wa mwanza anavyofanya..unaona nini hapo? kwa nini matukio mengine Rais akisikia tu hatua zinachukuliwa fasta, vipi kwa huyu mtoto..kigugumizi kinatoka wapi?? Je waislamu ni walawiti???facts tulizopata ni hizi, halafu sema tumetunga. na facts hizo zimeongelewa hadi na binti.
1. binti alikuwa mpenzi wa x-rc
2. kuna siku rc aliomba sodoma binti akagoma na kukata mawasiliano (wakagombana)
3. kuna siku rc kaja mwanza, akampigia kua aje amwombe msamaha kutokana na kitendo kilichofanya waachane cha kuomba tigo. binti kaja.
4. wameingia kwenye gari akajaribu kumwingilia akagoma, binti kakimbilia siti ya nyuma, akamfuata huko akamtishia kuwa hata apige kelele hatasikiwa, amelock gari kelele zingetokea wapi, na ana walinzi wapo karibu wanaojua yeye anamfanya hivyo atulie tu, binti kalawitiwa kinguvu hadi jamaa kamaliza haja zake.
5. binti kawekewe pesa, hakuchukua, kaondoka, kampigia mamake kwamba rc kamlawiti.
6. mamake kamwambia karipoti polisi, ndio ile siku issue imesanuka mitandaoni na rc kusimamishwa kazi.
7. binti kapelekwa kwa mkuu wa mkoa mwanza, akamwambia akafute kesi.
8. binti kapigiwa masimu mno na rc na wengine kuomba radhi, akagoma.
9. kuna siku kapelekwa golden crest hotel pale na askari, wakamtaka anakili maelezo ya ile barua iliyosambaa, barua ilipelekwa polisi, na polisi waligoma kuipokea kwani hawakuiamini kama kaandika yeye.
10. mamake alishaanza kumshauri kuwa ili asiendelee kuwa kwenye hatari amsamehe tu.
11. rc kamrubuni mamake hadi kutaka kumpa 5m, mama kaingia line akatumbukiziwa kwenye account 3m.
12. jua kuwa, binti alipimwa na kupata pf3, akaonekana alilawitiwa kweli. hilo halina ubishi.
13. jua kwamba, pale rock city kulikuwa na cctv camera, footage zake zitafutwe.
14. jua kwamba, kama polisi watakuwa walikuwa vizuri, watakuwa walikusanya nguo, za binti, na watakuwa walipeleka sampuli kwa mkemia. hilo sina uhakika kama linawezekana.
kwa ushauri wangu, chukua notes hizi kampe X-RC wako aanze kujiandaa kwenda jela miaka 30. kati ya kesi za sexuala buse niliwahi kutetea washitakiwa mahakamani, hii naona ni ngumu zaidi, ushahidi upo mwingi zaidi kama prosecution watauwasilisha vizuri Mahakamani.
of course, kama waziri wa zanzibar alisema wamehesabu mashoga zenji wameona wapo 3,000 naamini na bara wapo mashoga, maana yeke kuna kundi kubwa sana la wanaume wanaolawiti wanaume wenzao, na pia, hao pia wakilala na wanawake watawalawiti tu, na pia vijana wengi sana wana tabia za kulawiti wanawake kwasababu ya porn na kuiga mambo ya kizungu. dunia imeharibika sana, linda watoto wako, linda yeyote aliye karibu, ukifanya mchezo hadi binti zenu watadondokea kwa watu kama hawa, au pengine wanaolewa kwa ndoa na mtu akam namwata.Watu wenye tabia za kufanya ulawiti hawana hofu, kwake kulawiti ni kama mshabiki wa simba au yanga..huyu RC hakuwa anaanza kulawiti kwa huyu mtoto ni mzoefu! ndio maana inashangaza wanaovett viongozi wanashindwa vipi kubaini mtu mlawiti mzoefu na kumpa uongozi??? na aliondolewa huyu UDC nani anamrudisha na kwa sifa zipi??? ukute nchi hii inahangaika na kundi kubwa la walawiti na wana madaraka..ona RC wa mwanza anavyofanya..unaona nini hapo? kwa nini matukio mengine Rais akisikia tu hatua zinachukuliwa fasta, vipi kwa huyu mtoto..kigugumizi kinatoka wapi?? Je waislamu ni walawiti???
Maccm mengi ni mashoga!Mkuu wa mkoa wa Mwanza naye kayakanyaga
Tupo pamoja kwenye hili.Sipendi mtu anaejimwambafai kuongea lugha ambayo haijui. Huyu mwanamke ni kichefuchefu kuanzia namna anavyoongea tu.
kwa kweli kama huyu rc hatapelekwa mahakamani ili asafishwe na mahakama, tutaamini ni hivyo. kwanini anatumia nguvu kubwa sana kutoa hadi pesa, binti kampa 10m, mama kampa 3m, kama hakutenda icho kitendo? hivi RC akisingiziwa mboma pangewaka moto.Maccm mengi ni mashoga!
Ishu siyo kwamba kweli kalawitiwa au hapana. Ishu ni kwanini apokee milioni 10 halafu bado adai haki itendeke tena mbele ya Vyombo vya habari. Hiyo haijakaa vizuri. Halafu utaona hakusema wazi kuwa kapokea milioni 10 kama alivypsema bila kuulizwa kuwa mama yake kapokea milioni 3. Ni hadi alipoulizwa mara 2 kama na yeye amewahi kupkokea pesa zaidi ya mama yake. Mara ya kwanza dakika ya 25 na ushee alijaribu kukwepa kujibu kama kapokea pesa. Lakini akaulizwa tena dakika ya 28 ndiyo akakirisi amesema mamake alimshawishi amsamehe, au hujasikia. na izo ni pesa ujue, anawezakuwa aliwaza kama kulawitiwa keshalawitiwa haiwezi kurudi hiyo, na pesa akose, wakati wameleta, akachukua. ila hajazitumia labda kwasababu ile trauma bado ipo, ule uchungu wa kulawitiwa upo haoni kama hata pesa zina thamani.
ukisema wamefanya mtego, utasema mtego wa nini? mtego wa nini hadi RC apeleke pesa pale anategwa nini? kitu gani kinamfanya rc hadi atoe mil.13 kwa binti kama huyo ili anyamaze, unafikiri hapo hakuna kitu kweli?