Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Ahahahahah ndo mana nasema walishindwana hao...... Kwenye suala la maokto....

Huo mchezo ukute wanafanyaga sana tuuu...
Kingine watanzania wana ile hali ya kumchukua mtu tuu natural kisa cheo chake .
Unazani angekua ni mwananfunzi mwenzake haya mambo yangefika huku
hilo Toto nilimalaya mtoto mwema hafanyi mapenzi shule hatakama sio kufirna

kawavua nguo wazazi wake
 
mimi nilikuwa nashangaa, mkuu wa mkoa wa mwanza naye anaonekana kiburi na haeleweki, kumbe alikuwa anataka kuificha? huyu naye aondolewe akalime tu. huyu mkuu wa mkoa wa mwanza angekuwa amelawitiwa binti yake angekubali?
kwa sisi wazoefu wa sheria hamna kesi hapo na kama unabisha utaniambia,huyu binti ni muongo pili ni vigumu kulithibitisha tukio hili hata kisayansi tatu kashafikisha miaka 18 ndo hamna kesi kabisaa,unaweza kuta huyu bint alim blackmail huyu jamaa labda alimuahidi atamnunulia gari na hakufanya hivyo ndio maana kaamua kumkomoa tuwe makini na wanawake tunaojihusisha nao tuchunguze wanatoka familia zipe ? we mtu mamake labda alishawahi kujiuza unatarajia nini sasa? kwanini wasishirikiane na mwanawe kukupa kesi? changudoa ni changudoa tu hawanaga mshipa wa aibu
Kimaadili ni sahihi RC kufanya zinaa na changudoa??? hivi nyinyi uongozi mnauchukuliaje?? nchi ina watu wshenzi sijawahi kuona!
bro usiwe rahisi kushawishika kwanza kiongozi ni mtu kama wewe pili kimaadili unamaanisha dini je dini yake inaruhusu zinaa? sababu kikanuni za serikali huwezi kuthibitisha hili kuwa anachukua changudoa si umemsikia binti anasema wamekutana kwenye birthday tatu wala hakuna kanuni ya serikali inayokukataza wewe mwanaume au mwanamke kumpenda mtu unayekutana nae as long as si mtoto wala si chizi, nne umemsikia binti mwenyewe kasema hili sio tukio lake la kwanza kumfikisha mtu polisi kwa kosa kama hilo yeye na mamake hili ndilo nililolisema tokea mwanzo hawa wamepanga na mamake baada ya kuona maombi yao waliyotaka watimiziwe na RC hayajatimia tano kuna possibility kubwa mama nae alikuwa changudoa sababu hii ni mila ya wahaya sita kwa nini hakwenda kushtaki mara ya kwanza alipoombwa aingiliwe kimwili? kwanini mama alibariki mahusihano ya mwanawe nje ya ndoa? kwanini binti kama msafi sana akubali kufanya mapenzi na mtu nje ya ndoa kama hakuwa malaya nini hapo??
 
hilo Toto nilimalaya mtoto mwema hafanyi mapenzi shule hatakama sio kufirna

kawavua nguo wazazi wake
Yaaani mkuu acha tuuu ujinga ujinga mtupu...
Sasa nashangaa wanaotetea hapa au ukute wanalipwa kutetea mkuu na mimi nijiunge hapa ahhaahha
 
Yaaani mkuu acha tuuu ujinga ujinga mtupu...
Sasa nashangaa wanaotetea hapa au ukute wanalipwa kutetea mkuu na mimi nijiunge hapa ahhaahha
ingekua jamáa kamfirer mke wake namimi ningeungana nawatu wote jamaa afungwe

lakini kamfirer malaya hakuna kesi hapo😕sinimekupa helayangu☹️lazima uitumikie mheshimiwa hanakosa hapo amezurumiwa cheochake wamrudishie

hakuna mwanafunzi anaenda kufanya mapenzi shule anaefanya hivyo huyo nimalaya nawahuni tunamnunua na tunamfirer
 
kwa sisi wazoefu wa sheria hamna kesi hapo na kama unabisha utaniambia,huyu binti ni muongo pili ni vigumu kulithibitisha tukio hili hata kisayansi tatu kashafikisha miaka 18 ndo hamna kesi kabisaa,unaweza kuta huyu bint alim blackmail huyu jamaa labda alimuahidi atamnunulia gari na hakufanya hivyo ndio maana kaamua kumkomoa tuwe makini na wanawake tunaojihusisha nao tuchunguze wanatoka familia zipe ? we mtu mamake labda alishawahi kujiuza unatarajia nini sasa? kwanini wasishirikiane na mwanawe kukupa kesi? changudoa ni changudoa tu hawanaga mshipa wa aibu

bro usiwe rahisi kushawishika kwanza kiongozi ni mtu kama wewe pili kimaadili unamaanisha dini je ini yake inaruhusu zinaa? sababu kikanuni za serikali huwezi kuthibitisha hili kuwa anachukua changudoa si umemsikia binti anasema wamekutana kwenye birthday tatu wala hakuna kanuni ya serikali inayokukataza wewe mwanaume au mwanamke kumpenda mtu unayekutana nae as long as si mtoto wala si chizi, nne umemsikia binti mwenyewe kasema hili sio tukio lake la kwanza kumfikisha mtu polisi kwa kosa kama hilo yeye na mamake hili ndilo nililolisema tokea mwanzo hawa wamepanga na mamake baada ya kuona maombi yao waliyotaka watimiziwe na RC hayajatimia tano kuna possibility kubwa mama nae alikuwa changudoa sababu hii ni mila ya wahaya sita kwa nini hakwenda kushtaki mara ya kwanza alipoombwa aingiliwe kimwili? kwanini mama alibariki mahusihano ya mwanawe nje ya ndoa? kwanini binti kama msafi sana akubali kufanya mapenzi na mtu nje ya ndoa kama hakuwa malaya nini hapo??
moja ya maneno kwenye Kiapo cha viongozi ni kuwa mfano bora kwa jamii..kwa hiyo mabaya yote ambayo jamii inayakataa kiongozi ndiye wa kupigiwa mfano kuyaishi, jamii haioni ni sahihi mtu mzima kumtongoza binti wa umri wa binti yake! yeye RC lazima aishi tafsiri hii.., hakuna uthibitisho kwamba binti na mama yake ni malaya, na usigenralize eti kabila fulani ni malaya..
Makosa ya RC yako wazi..amelawiti kwa nguvu ya hadhi, pesa na madaraka! period..
 
ingekua jamáa kamfirer mke wake namimi ningeungana nawatu wote jamaa afungwe

lakini kamfirer malaya hakuna kesi hapo😕sinimekupa helayangu☹️lazima uitumikie mheshimiwa hanakosa hapo amezurumiwa cheochake wamrudishie

hakuna mwanafunzi anaenda kufanya mapenzi shule anaefanya hivyo huyo nimalaya nawahuni tunamnunua na tunamfirer
kwa hiyo mama yako anaporudisha shuleni waliozaa wakiwa shuleni anarudisha malaya shuleni!
 
Ahahahahah ndo mana nasema walishindwana hao...... Kwenye suala la maokto....

Huo mchezo ukute wanafanyaga sana tuuu...
Kingine watanzania wana ile hali ya kumchukua mtu tuu natural kisa cheo chake .
Unazani angekua ni mwananfunzi mwenzake haya mambo yangefika huku
Tena akiwa ni kiongozi toka chama tawala. Chuki dhidi ya huyo RC ni za kisiasa.
 
moja ya maneno kwenye Kiapo cha viongozi ni kuwa mfano bora kwa jamii..kwa hiyo mabaya yote ambayo jamii inayakataa kiongozi ndiye wa kupigiwa mfano kuyaishi, jamii haioni ni sahihi mtu mzima kumtongoza binti wa umri wa binti yake! yeye RC lazima aishi tafsiri hii.., hakuna uthibitisho kwamba binti na mama yake ni malaya, na usigenralize eti kabila fulani ni malaya..
Makosa ya RC yako wazi..amelawiti kwa nguvu ya hadhi, pesa na madaraka! period..
kumpenda mtu narudia si kosa kuhusu umri usirete hadithi za panzi na kunguru miaka 21 binti hapo kashachelewa kuzaa pili huwezi kumchagulia mtu aoe au aolewe na nani kama mwenyewe kamridhia hayo ni maumbile hayapingiki,pili kama aliona jamaa mtumzima kwa nini asimkatae? ndio maana nikasema ni malaya na mamke pia sabab woote wamemlidhia miezi zaidi ya 6 kweli mtu upo nae kimapenzi? tatu mtazame anayoongea utajua kuwa ana ndoto ya kuwa supersta watu wa mjue kifupi hafai, nne mimi na wewe hatuna ushahidi kama kalawitiwa ama la na kama kalawitiwa mpasuko alionao ni mpya au wa zamani? yote tutayajua courtini, ila kwa uzoefu wangu hii kesi hata jamaa ainiweka mimi huyu bint hasindi sana sana tutakuja kumfungulia kesi ya madai baadae yamchafua atulipe mamilioni na kuwafilisi kabisa na kuhakikishia hii kesi hashindi huyu binti ni mkubwa sana sheria ya tanzania binti ruhusa kuolewa kuanzia miaka 15 kama yupo tu nyumbani hasomi sasa huyu anasoma chuo elewa na sheria ya chuo kikuu lazima utimize miaka 18
 
moja ya maneno kwenye Kiapo cha viongozi ni kuwa mfano bora kwa jamii..kwa hiyo mabaya yote ambayo jamii inayakataa kiongozi ndiye wa kupigiwa mfano kuyaishi, jamii haioni ni sahihi mtu mzima kumtongoza binti wa umri wa binti yake! yeye RC lazima aishi tafsiri hii.., hakuna uthibitisho kwamba binti na mama yake ni malaya, na usigenralize eti kabila fulani ni malaya..
Makosa ya RC yako wazi..amelawiti kwa nguvu ya hadhi, pesa na madaraka! period..
Mbona wanawake wengine hawalawitiwi kwanini hiyo nguvu ya pesa isitumike dhidi yao?

Hata wewe mkeo anaweza kuwa sawa na binti yako au dadako ni suala la kulinganisha tu.

Makabila yana sifa maalum

Rc hajalawiti kwa nguvu kama amelawiti basi ridhaa ilikuwepo.

Huyo malaya kama angetulia chuoni kusoma yangemkuta hayo? Night club alienda kufanya nini?
 
Mbona wanawake wengine hawalawitiwi kwanini hiyo nguvu ya pesa isitumike dhidi yao?

Hata wewe mkeo anaweza kuwa sawa na binti yako au dadako ni suala la kulinganisha tu.

Makabila yana sifa maalum

Rc hajalawiti kwa nguvu kama amelawiti basi ridhaa ilikuwepo.

Huyo malaya kana abgetulia chuoni kusona yangemkuta hayo? Night club alienda kufanya nini?
nampongeza mno rc kwa kumlawiti na naomba hata wanaume wengine mkipata hawa wanachuo wenye tamaa walawitini tu
 
mnao litetea hilo toto hamna akili jamáa asifungwe Wala nini.

kwani alipelekwa shule akafanye mapenzi?
huyomtoto inabidi afungwe jela inakuaje anaacha kusoma anakimbilia mapenzi?

ame wadhalilisha wazazi wake nasijui kama watamsamehe
Ujinga wa huyu mtoto ni kuendelea kwenda public na hii ishu... Ni ujinga. Angalia sasa na mkuu wa mkoa wa Mwanza kawa exposed.
Anazidi yaweka Maisha yake hatarini.

Bado hajasema hapo ni nani walimpa hyo 10M
 
Alafu mtu mshipa wa shingo unamtoa ety kalawitiwa..

Hivi tumuite mtoto kwani yupo below 18...

Chuo kuna mambo mengi wazazi hawajui tuu ila wangekua wanafatilia wangeona

Mtoto wa kike boom peke yake halitoshi anahitaji more more money
mimi nimesoma miaka hiyo mabibo hostel ndio zinajengwa pale mabinti wa chuo asilimia kubwa wa mikoani walikuwa wanajiuza pale na ikifika likizo walikuwa wengi hawarudi makwao ndo saa kazi kujiuza usiku kila mtu analijua hilo ndio hao ambao sasa hivi waliofanikiwa kumaliza wamechukua nydhifa mbalimbali maofisini kifupi wanafunzi wa kike wa chuo ndio malaya wakubwa
 
Back
Top Bottom