Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Wewe unajiita wakili lakini hujui mtoto anakomea umri gani, mtu mzima mwenye miaka 21 ambaye anaweza kuwa hata mbunge na waziri kwako ni mtoto! Unajiita mkristo lakini hujui mtu wa umri wowote anaweza kuoa au kuolewa na yeyote bila kujali umri mradi wawe na umri usiooungua miaka 18 ndani ya kanisa, tofauti ya umri haizuii watu kuoana, makanisa yote na misikiti mtu wa miaka 60 anaruhusiwa kuoa/ kuolewa na nrtu mwenye miaka 18.

Wote mnaomuona RC ana makosa kama nyinyi mnaoongozwa na jazba, chuki na kisasi na hamfai kushika ofisi ya umma..
Kuna wanawake hata ndani ya ndoa ambao kwa hiyari wanachepuka na kulawitiwa kwa hiyari lakini ndani ya ndoa hawalawitiwi. Mke kama huyo akiamua kumpakazia mumewe wa ndoa kuwa anamlawiti na imeishawahi kutokea haipaswi kukurupuka kuwa ni mumewe anayemlawiti kwa kuwa tu vipimo vinaonyesha analawitiwa.

Serikali iwe macho na watu kama nyinyi hantakiwi hata kushiriki uundaji wa katiba mpya maana mtatuletea katiba ya jazba, chuki ambayo itasambaratisha nchi na kusababisha vita.

Huyo binti ni ntu mzima mwenye uhuru wa kufanya maanuzi yawe mabaya au mazuri au halali kisheria au la. Akifanya maamuzi haitakiwi alaumiwe mwingine.
Kwa kuwa kulawitiana ni kosa kisheria ilitakiwa uchunguxzi ufanywe ili kujua huyo malaya ni mlawitiwa mzoefu na kana kushtakiwa ashtakiwe yeye kwa kuruhusu kulawitiwa kama kule Mtwara kuna mwabaume alifunngwa miaka 30 kwa kukiri kulawitiwa na hakuna walawiti waliofungwa naye..
dunia imechafuka sana. mtu kama wewe anahalalisha kulawiti, ati mtu mzima mwenye maamuzi yake anaweza kulawitiwa kwasababu tu kuna wengine wengi wanalawitiana. pia unasema nashindwa kutofautisha umri, kwamba mtu wa 21 ni mtu mzima.

ni kweli, 21 ni majority age, kwa Tanzania mtoto ni mtu mwenye umri chini ya miaka 18, na huyo ameshapita utoto. ni mtu mzima.

tunachoongea hapa, kifungu cha 154 cha penal code, kinasema kulawiti iwe kwa hiari au kwa lazima, ni kosa, na adhabu yake ni 30 years na kuendelea. ni ajabu watu mnaona kulawiti ni kitu cha kawaida hadi mnasema rc hana kosa. kwahiyo kwasababu ninyi mmezoea kulawitiwa mnataka kusambaza huo uchafu kwa watu wote? mshindwe kwa Jina la Yesu mashetani nyie.
 
Maagano hayo tunaweza kuona anapotea kisiasa Kwa sasa kumbe ndo again litafanya kazi atazidi kunga'aa na Kuwa maarufu na Binti atapotezewa , ukumbuke ya mwamposa baada ya kafara ya Moshi alivoanza kujaza maelfu ya watu Tanganyika packers
yanafanya kazi usipokamatika, sasa hapo shetani kaamua kumuanika, ndio kapotea hivyo. ila kwenye CV niliona aliwahi kufundisha chuo south africa, arudi tu huko manake hata hapa hawezi kupata kazi tena, chuo kitakachoajiri huyo watu hawatapeleka watoto wao, wataona wanapeleka nyama kwenye mdomo wa fisi.
 
dunia imechafuka sana. mtu kama wewe anahalalisha kulawiti, ati mtu mzima mwenye maamuzi yake anaweza kulawitiwa kwasababu tu kuna wengine wengi wanalawitiana. pia unasema nashindwa kutofautisha umri, kwamba mtu wa 21 ni mtu mzima.

ni kweli, 21 ni majority age, kwa Tanzania mtoto ni mtu mwenye umri chini ya miaka 18, na huyo ameshapita utoto. ni mtu mzima.

tunachoongea hapa, kifungu cha 154 cha penal code, kinasema kulawiti iwe kwa hiari au kwa lazima, ni kosa, na adhabu yake ni 30 years na kuendelea. ni ajabu watu mnaona kulawiti ni kitu cha kawaida hadi mnasema rc hana kosa. kwahiyo kwasababu ninyi mmezoea kulawitiwa mnataka kusambaza huo uchafu kwa watu wote? mshindwe kwa Jina la Yesu mashetani nyie.
Uwezo wako wa kuelewa umeathirika na kulawitiwa kwa muda mrefu..

Sisi hatubishi kuwa kwa sheria za Tanzania kulawitiwa na kulawiti ni kosa, tunachopinga ni mtu kubambikiwa kesi kuwa amelawiti na pia kama mwanamke kwa hiyari yake ameamua kulawitiwa basi asibambikie wengine kwa kutumia udhaifu wa sheria na jazba za wanaharakati na wanasiasa.
 
Yaonekana Binti ya yeye anaupenda hako ka mchezo.....

Ka mchezo a kurudi nyuma.
 
Mara nyingi tumeandika kuhusu uovu, ula rushwa na uonevu wa RC Mwanza Said Mtànda lakini watu huwa wanadhani ni chuki binafsi. Katika Jambo Baya kama hili ambalo Rais kamfuta kazi mtuhumiwa RC Mwanza anatumika kulimaliza kimya kimya na bado hachukuliwi hatua.
Mkuu soma post #151 kwenye Uzi huu. Ndo UTAJUA Mtanda hafai kabisa. Huonea sana wanawake na kuwakandamiza na kupindisha haki zao. MLA rushwa wahed
 

Binti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.


Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.

Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.

Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.

Kama ni hivi basi hata mama yake mzazi pamoja na RC Mtanda waunganishwe kwenye kesi hii waende jela wakanyee debe ili liwe fundisho kwa washenzi wengine kama wao.
 

Binti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.


Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.

Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.

Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.

Okay
 

Binti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.


Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.

Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.

Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.

Kwa mtazamo wangu wa kiintelejensia baada ya kumsikiliza huyu binti ni kwamba huyu binti amekubuhu tangu kitambo na kupenda kwake kufi***rwa ameanza na wavulana. Huyu mkuu wa mkoa alijichanganya tu akaingia anga za wavulana. Mwache avune alichoppanda.
 
huyo binti kakwambia alikuwa mchumba wake kitambo, na siku anaenda kumlawiti alimpigia simu kwamba anaenda kumwomba msamaha kwasababu aliwahi kuomba huo uchafu binti kakata mawasiliano, sasa alimwita wakutane aomba radh ili waendele. pia, huyo ni mkuu wa mkoa, akiamua kupata hata account yako hakosi. na jua polisi walijihusisha sana na hii issue, na TISS pia. nashindwa kuelewa,jamaa ni alhaji kabisa, tukisema watoto wa mamdogo wanapenda samadi huwa mnabisha, ndio maana haya mambo pwani yamejaa, zanzibar yamejaaa, hata maza si ukute akamsamehe huyu jamaa asipelekwe mahakamani kwasababu ni maza ni mzenji hayo mambo zenji sio ya ajabu.

FICHA UJINGA WAKO
 
imagine, unazaa mtoto, unalea, unasomesha hadi anafika chuo kikuu, halafu mkuu wa mkoa anamlawiti. just think about that. samia huyo binti angekuwa mjukuu wake au binti yake, angejisikiaje? au anamlinda?
wengine ndo raha yao hiyo
 
Uwezo wako wa kuelewa umeathirika na kulawitiwa kwa muda mrefu..

Sisi hatubishi kuwa kwa sheria za Tanzania kulawitiwa na kulawiti ni kosa, tunachopinga ni mtu kubambikiwa kesi kuwa amelawiti na pia kama mwanamke kwa hiyari yake ameamua kulawitiwa basi asibambikie wengine kwa kutumia udhaifu wa sheria na jazba za wanaharakati na wanasiasa.
unasema sheria za tanzania zinakataza kulawitiana. na wakati huo huo unasema vitoto vilivyokubali kulawitiwa kwa hiari visibambike kesi. hapo unaongea nini sasa? akili umetupa wapi? mnapata wapi ujasiri wa kutetea kulawitiana namna hii? hivi kumbe mashoga ndio huwa mnateteana namna hii? tuache wasomaji wa comment wahukumu kati yangu na wewe nani mjinga.

na unaposema amebambika, una ushahidi gani kwamba amebambika? sisi tunaamini ushahidi upo, ushahidi kwamba alikuwa naye kabla kama wapenzi, kwamba waliachana baada ya kutaka sodoma, kwamba alikuwa naye rock city siku ya tukio, kwamba baada ya kulawiti binti alipiga simu kwa mama (atakayekuja kutoa ushahidi) na polisi, vipimo vilipimwa, pia kwamba kuna cctv footage, pia kwamba amepamban akuhonga hela kuanzia kwa mama wa mtoto hadi kwa binti, ushahidi utakuwepo.

kama wewe ndiye RC au chawa wake ndio amekutuma uje kupunguza makali, basi wewe ni hopeless kabisa humsaidii, kwasababu unakiri kwamba ulawiti ulifanyika ila wa hiari hivyo hakuna shida. mioyo yenu imejaa uchafu wa shetani hadi mnaamini kulawitiana kwa hiari sio tatizo. mtafutiwe dunia ya kwenu ila sio hii. hata mbwa amewazidi akili, mbwa hajawahi kulawiti ila watu wenye phd na maRC mnalawiti, tukisema akili zenu zimejaa hayo matope ya huko mnakolawiti tutakuwa tumekosea?
 
Back
Top Bottom