makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hii ndio bongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodi ya Ligi inaongozwa na mashoga nini? Huu si usenge huu wanaoufanya?wamekuwa na mambo ya kisenge sana.
Ni kweli ni wahuni wanaotumwa na viongozi kufanya UHUNI kwenye ligi namba 6 kwa ubora afrika.Hapana, root cause ni uongozi wa Yanga. Wale mabaunsa hawajiweki pale.
mkuu unaenda fanya mazoezi ya mwisho bila kuwasiliana na wahusikaMabaunsa ndio chanzo cha yote haya
Yanga huwa wanadai wao ni wazee wa kanuni ndio maana waligomea mechi iliyosogezwa mbele masaa mawili,leo wamekumbushwa kufuata kanuniHuwa Simba wanao huu utaratibu wa kufanya mazoezi wakiwa ugenini kabla ya mechi katika uwanja husika!? Au ndio kutafutiana sababu tu😁
Nachokiona hapa kwa wote, ni kuwa na imani za kishirikina badala a kuamini katika mazoezi, mbinu na matayarisho..!
Hili tatizoUjinga mtupu! Watu wamesafiri kutoka mikoani, mechi imefanyiwa promotion zaidi ya mwezi mzima alf ina ahilishwa kizembe!
taarifa ya nini na inajulikana mgeni lazima afanye mazoezi kwenye uwanja husikamkuu unaenda fanya mazoezi ya mwisho bila kuwasiliana na wahusika
timu hii inaendeshwa kiajabu ajabu
simba anazingua unaendaje kwenye uwanja bila taarifa kwa wahusikaHii mechi haitakiwi kuahirishwa bali isichezwe kabisa na adhabu kali itolewe kwa waliozuia taratibu za kawaida kabisa za mchezo ili kukomesha huu uhuni.
Siku nyingine timu ikijiona haiko tayari kucheza mechi husika itajiamulia tu kufanya uhuni kama huu ikijua italipa faini na mechi kuahirishwa.