Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waulize hapo TFF kwa nini wamesema jamaa walienda kinyemelaWahusika gani?
Kwamba Simba ilitakiwa iwapigie simu Yanga kuwa tunakuja?
[emoji23][emoji23] ndio mana mkuu narudia kusemaWahusika gani?
Kwamba Simba ilitakiwa iwapigie simu Yanga kuwa tunakuja?
Upate muda wa kutafakari tena matumizi ya haki.Huwa Simba wanao huu utaratibu wa kufanya mazoezi wakiwa ugenini kabla ya mechi katika uwanja husika!? Au ndio kutafutiana sababu tu😁
Nachokiona hapa kwa wote, ni kuwa na imani za kishirikina badala a kuamini katika mazoezi, mbinu na matayarisho..!
Umeisoma vizuri hiyo taarifa? Bodi ya ligi inasema Simba haikuwasiliana na yeyote kuhusu nia yake ya kufanya hayo mazoezi ili wahusika wawaandalie mazingila ya hayo mazoezi kilichopo ni kwamba jamaa walichungulia wakaona leo ni maafa wametafuta sababuHii mechi haitakiwi kuahirishwa bali isichezwe kabisa na adhabu kali itolewe kwa waliozuia taratibu za kawaida kabisa za mchezo ili kukomesha huu uhuni.
Siku nyingine timu ikijiona haiko tayari kucheza mechi husika itajiamulia tu kufanya uhuni kama huu ikijua italipa faini na mechi kuahirishwa.
Toka siku ile ndio nilimdharau yule jamaa!Ubaya Ubwela
Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.
Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.
🤣🤣Ubaya ubwelaaaaaa
Waliotoka mwanza, kagera..?Nawahurumia waliotoka Katavi kwa Magari ya kukodi
Hio pesa si Bora ungeitumia hata kwa sadaka kesho kanisani kama wewe ni mkristu...YANI utoke mkoani uje dar kwa ajili ya Simba vs yanga? Kwani hakuna tv majumbani kwenu?Helaa zetu za tiketi,nauli zetu tuliotoka mikoani,tumelala magesti,hotel tumetumia gharama kubwa kirahisi mnahairisha mechi,watanzania tuinuke sio mashabiki wala wapenzi watanzamaji,tuangalie mpira kwenye tv inatosha hakuna kwenda uwanjani
Aliyetafuta sababu ni aliyezuia mabasi,mbona ukweli unaonekana lakini watu wanaukataa.Vipi kama simba vwangejitutumua jana na damu ikamwagika.Huwa Simba wanao huu utaratibu wa kufanya mazoezi wakiwa ugenini kabla ya mechi katika uwanja husika!? Au ndio kutafutiana sababu tu😁
Nachokiona hapa kwa wote, ni kuwa na imani za kishirikina badala a kuamini katika mazoezi, mbinu na matayarisho..!
Mwenyewe..!.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.
Kwenda kujisaidia ni haki sio haki!? Nakumbuka tulipokuwa shuleni ilikuwa lazima uombe ruhusa ya kwenda kunya... zipo taratibu pia za kuitumia na kuipata hiyo hiyo ambayo ni YAKO!Upate muda wa kutafakari tena matumizi ya haki.
Ulishawahi kukuta mtu anawajibishwa kwa kutoitumia haki yake? Au kutotumia haki yako inaondoa uhalali wa kuitumia hiyo haki next time?
Walienda na Waganga wao uwanjani wamwambie nani akaone wanavyowanga uwanjani?Mkuu tukitaka kumaliza haya mambo hatutakiwi kuegemea upande. Taarifa pia inasema Simba haikuwasiliana na Maofisa wa mchezo, timu mwenyewe wala mamlaka ya uwanja ili maandalizi ya kikanuni yafanyike. Hicho kipengele umekiruka kwa kuwa Simba ni timu yako. Hivi sivyo tunavyosolve matatizo.
Huo ndio ukweli 101%Huwa Simba wanao huu utaratibu wa kufanya mazoezi wakiwa ugenini kabla ya mechi katika uwanja husika!? Au ndio kutafutiana sababu tu😁
Nachokiona hapa kwa wote, ni kuwa na imani za kishirikina badala a kuamini katika mazoezi, mbinu na matayarisho..!