Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC (Young Africans SC vs Simba SC) uliopangwa kufanyika kwenye uwanja huo leo kuanzia saa 1:15 usiku.

Soma Pia: Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao

Katika shauri hilo, klabu ya Simba iliandika barua kwa Bodi ya Ligi kueleza kususu tukio tajwa hapo juu, huku pia ikieleza nia yao ya kuto shiriki mchezo huo kwa sababu wamezuiliwa kutumia haki yao ya kikanuni kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni ya 17:45 ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.

View attachment 3263593
No Reform poor election.
Tutaelewana tu
 
waulize TFF kwa nini wamesema simba alienda kinyemela
UBAYA UBWEGE kama mlivyokataa kuleta timu baada ya muda kubadilishwa
wallace karia na genge lake wamekaa wameona wasipochukua hatua goli 5 zinanukia
kama vile hukuwahi kushenyentwa goli 5 unajichomoa betri
 

Attachments

  • IMG-20250308-WA0005.jpg
    IMG-20250308-WA0005.jpg
    48.6 KB · Views: 1
waulize hapo TFF kwa nini wamesema jamaa walienda kinyemela

we si ndo uweka bandiko ujasoma TFF wamesemaje

unaenda na mbuzi na paka kinyemela
Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.
 
Mkuu kwahio unataka kuniambia kua timu ya yanga kama wao walifanya mazoezi kwa nafasi na kwa raha zao, walikua hawajui kisheria na kikanuni wakimaliza nani anatakiwa kuja uwanjani kufanya mazoezi kama kanuni zinavyoeleza Hadi wajulishwe na kupigiwa simu ..kwamba yanga they are so special to be called on phone & to be told that Simba are coming to the football ground to do warm up exercises as per rules of football indicated?! Are they this dumb? Na kwaio bodi ya ligi ndio iliwatuma so called makomandoo( wahuni) kuziba geti sababu hawajapigiwa simu kwamba Simba inakuja?
Nataka mimi au bodi ya ligi? Tuchambue walichoandika bodi ya ligi sio ninachotaka mimi.
 
Kanuni haisemi inabidi kutoa taarif maana kwanza ni utaratibu wa kawaida kutumia uwanja siku moja kabla ya mechi, inakuwaje wanachulia kama vile wameshtulizwa?

Haya timu haijatoa taarifa, inakuwaje wakae nje masaa mawili bila muafaka kufikiwa ili timu iingie.

Adhabu za kuvunja kanuni ni ndogo sana ndiyo maana kila siku Yanga haiogopi kuzivunja.
utaenda bila mawasiliano mkuu, lazima utoe taarifa uandaliwe

bado bodi kasema hapo kuna ujinga mwingi unachunguzwa (itakuwa stori ya bus kujaza wazee na kuwa na mbuzi kwenye bus)
 
Umeisoma vizuri hiyo taarifa? Bodi ya ligi inasema Simba haikuwasiliana na yeyote kuhusu nia yake ya kufanya hayo mazoezi ili wahusika wawaandalie mazingila ya hayo mazoezi kilichopo ni kwamba jamaa walichungulia wakaona leo ni maafa wametafuta sababu
Hata reasoning ya wajinga wa aina yako ni mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.
 
Tayari umehamisha magoli. Ulizungumzia taratibu za kupata haki au uliuliza mbona Simba wakati mwingine huwa hawapati pitch feeling?! Kuwa consistent tafadhali
Haki umeiongelea wewe... na nimekujibu hiyo hiyo haki wakati mwingine ina utaratibu wa kuipata ingawa ni yako...usijitoe ufahamu! Nb-Mimi ni mpenzi na mshabiki wa Simba SC ila sio mwananchama😁😁😁
 
Hapa imetumika busara za kuleana na sio kanuni.
Kwenye maelezo ya paragraph ya tatu inaonesha kosa ni la wao Simba kutotoa taarifa kwa yeyote yule kuhusu kuhusu kuutumia uwanja siku ya Ijumaa View attachment 3263597
Watoe taarifa ya nini wakati inajulikana ni matakwa ya kikanuni kufanya mazoezi muda sawa na muda wa mechi siku 1 kabla??
 
Hili sekeseke litaendelea tu...

Hiyo tarehe mpya itakayopangwa nao Yanga watagoma kuleta timu uwanjani (kwa mujibu wa barua yao waliyotoa leo)

Tunarudi kule kule...

Haya mauza uza hadi lini sijui kwa kweli
Basi match ifutwe kabisa, watu waendelee na mambo mengine.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Hii biashara ya kufuga majinga majinga kwenye timu ambayo kazi hayataki kufanya yanajifanya ni mabaunsa mafia timu ndio tatizo lilipo. Aliyewatuma ni nani , na kama ni mauchawi wao hawajalogo? Bure kabisa na hovyo kabisa hizi timu zimejaa ushirikina. Nashukuru Mungu kwenye Dua za kiziombea hizi timu viongozi wa dini ya kikristu Huwa hawashiriki. Huwezi kusema unamwomba Mungu ili ushinde au unamshukuru Mungu kwa mafanikio huku ushindi na mafanikio yako yametokana na matunguri. Otherwise mnamdhihaki Mungu kwamba ulishindwa kutusaidia Sasa tumewezishwa na wazee kupitia kamati ya matunguri
 
Back
Top Bottom