Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Muache uhuniKwahiyo mmefanikiwa kukimbia kipigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache uhuniKwahiyo mmefanikiwa kukimbia kipigo
mkuu hata nyumbani ukiwa unaenda unatoa taarifa nakuja muda flaniHao wahusika wa uwanja hawajui kanuni na taratibu zake.?
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mimi mwenyewe nimeshangaa kusoma hayo maelezo kuwa hawakutoa taarifa.Mkuu tukitaka kumaliza haya mambo hatutakiwi kuegemea upande. Taarifa pia inasema Simba haikuwasiliana na Maofisa wa mchezo, timu mwenyeji wala mamlaka ya uwanja ili maandalizi ya kikanuni yafanyike. Hicho kipengele umekiruka kwa kuwa Simba ni timu yako. Hivi sivyo tunavyosolve matatizo.
Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Uwezo Mdogo kufikiri au hata wa kujenga hoja. Ndio mana mnaendeshwa kama makondoo..sisi wenye IQ above normal tumekaa tunawacheki tu ..Mwenyewe..!
huo ni uhuni ....Yanga ikibidi ijitoe kwenye ligi ya kihuni
Mimi huwa sihangaiki na kumuelewa ama kumuelewesha mtu.... nikishajielewa inatosha! CheersNimezungumzia haki kukusaidia kuelewa ulichouliza. Kama unaelewa taratibu taratibu basi utaelewa baadae
Kwa hiyo Simba siku zote walikuwa hawafanyi mazoezi wanangoja kutumia kanuni ili wafanye mazoezi siku moja kabla ya mechi? Ukiondoa kanuni, Simba ameshacheza mara ngapi pale kwa Mkapa? Ina maana yeye ni mgeni wa Uwanja wa Mkapa anayetoka Sudan kuja kucheza Tanzania?Hapana, root cause ni uongozi wa Yanga. Wale mabaunsa hawajiweki pale.
Unaashiria wamekosea kwa huo unyemela wao,nilitaraji wachukue hatua badala yake wamehairisha.Kasoro imezaa kasorokwani kwenye iyo barua wamesema wamemwadhibu mtu hapo mkuu
Lengo lao watu wasiende uwanjani siku ya Wanawake leo Wanawake wanajimanua huko Beijingmwisho tff watafute namna ya kuongeza mapato yao badala ya kutegemea simba na yanga zinapokutana wao ndiyo wavune pesa, na kwenye hili simba walishika mpini karia na watu wake kimewaramba.
Upo sahihi l, mwenye kosa ni Simba halafu wanalazimisha kuisingizia Yanga imewazuia. Wao kwa taratibu walitakiwa waziarifu mamlaka pale sio kwako.Hapa imetumika busara za kuleana na sio kanuni.
Kwenye maelezo ya paragraph ya tatu inaonesha kosa ni la wao Simba kutotoa taarifa kwa yeyote yule kuhusu kuhusu kuutumia uwanja siku ya Ijumaa View attachment 3263597
Wewe uliefanya usajiri huko club bingwa umefanya nini? Kama sio Ibenge kuchukua mlungula wewe ungeshinda kule??Simba wanahangaika tu, wamehairisha kipigo ila kipigo kijacho ni kikubwa zaidi ni Swala la muda tu.
Waliambiwa wafanye usajili wakawa wana fanya mchezo aya ndio matokeo yake.
Usiku wa deni hau kawii kucha.
Paka uliwakamata weye mkuu?penye video hawaonekaniuna ua makomando una acha kuua walio enda uwanjani bila taarifa tena na mapaka na mbuzi
Mimi hapo pamenivuruga pia. Nieleweshe mkuumkuu unaenda fanya mazoezi ya mwisho bila kuwasiliana na wahusika
timu hii inaendeshwa kiajabu ajabu
relax kunywa maji ushushe hasira.Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.