Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelewa maana ya haki mkuu?Kwa hiyo Simba siku zote walikuwa hawafanyi mazoezi wanangoja kutumia kanuni ili wafanye mazoezi siku moja kabla ya mechi?
Kimewalambaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu tumeshaandaa mazingira ya kwenda kwa michepuko yetu,sasa itakuwaje
Wataishia hasara ya gharamaMliosafiri poleni
Chezeni wenyeweBodi ya Ligi imekuwa bodi ya HOVYO sana, kwanini mchezo uahirishwe? Mbona mchezo wa JKT Queens haukuahirishwa? Yanga hatupo tayari kwa mchezo siku nyingine na tunafahamu mchezo ni leo.FULLSTOP
Bodi ya ligi Leo imejivua nguo imeonyeshe namna ambavyo wanaendesha ligi kienyeji,,na wameingia kwenye mtego mbaya sana ambao utakuja kuwagharimu,,iyo mechi watayopanga ichezwe siku nyingine Simba atacheza peke yake uwanjani maana ata yanga atopeleka timu uwanjani mpaka waseme ni kanuni ipi imefanya waahirishe mechi!Bodi ya Ligi imekuwa bodi ya HOVYO sana, kwanini mchezo uahirishwe? Mbona mchezo wa JKT Queens haukuahirishwa? Yanga hatupo tayari kwa mchezo siku nyingine na tunafahamu mchezo ni leo.FULLSTOP
Haikua lazima kuomba ruhusa shuleni ndo maana kulikua na brake time ambayo ipo kisheria, ukitaka kwenda toilet kinyume na sheria yani muda wa darasani ndo lazima uombe ruhusaKwenda kujisaidia ni haki sio haki!? Nakumbuka tulipokuwa shuleni ilikuwa lazima uombe ruhusa ya kwenda kunya... zipo taratibu pia za kuitumia na kuipata hiyo hiyo ambayo ni YAKO!
Nilichokiandika sio kwa ajili yako tu, wataelewa members wengineMimi huwa sihangaiki na kumuelewa ama kumuelewesha mtu.... nikishajielewa inatosha! Cheers
Wakuu,
Nipo hapa mpakani kati ya Uganda na Tanzania mtukula,Taarifa nyeti hatuna,ni kwamba mechi imeahirishwa au itachezwa?
Mlioko Jijini Kinondoni basi mtuambie yanayojiri huko,hasa wale waliokaribu na uwanja wa Mkapa,shamla shamla vipi,mageti yamefunguliwa,watu wanaingia,au watu wamesusa?
bado hatujajua tujuzeni Huko Daslam
TFF kinabidi kiwe ni chombo huru ambacho kinaweza kusimamia sheria bila kuingiliwa na mamlaka za kiserikali na vilevile kisiwe na mlengo wa kuwa na upande wowote kwenye hizi timu mbili.
Haiwezekani Club iwe na confidence ya kuvunja sheria kwakuona udhaifu wa kanuni kuwa adhabu ya faini ambayo atapata haiendi kumuathiri chochote.
Sasa inapotokea mazingira kama haya kwenye mechi ambayo inaweza kwenda kuamua hatma ya nani kuwa Bingwa.
Huwezi kuishinikiza timu iliyoathirika na uonevu uliofanyika kinyume na sheria kuwa ishiriki mechi kwasababu hao waliovunja sheria watalipishwa faini ambayo kimsingi ndio hiyo laki 5 hadi milioni.
Na hapa ndipo mtakapojifichia,ushahidi,hivi kama simba wangejaribu kutumia nguvu na wale wahuni mchanganyiko pasingemwagika damu kweli.ukiambiwa leta ushahidi kuwa hao mabaunsa ni wa yanga utaleta?
Tunaposema Yanga inaongozwa na watu wahuni huwa tunamaanisha. Mhuni hana muda wa kutumia akiliIla kuwa mshabiki wa Yanga ni kujidhalilisha sana.
Can't imagine wao wanashindwa kuliona hili.
Huyu jamaa anaendelea kuhamisha watu waende uwanjani afu ye kachimba home miguu kwenye meza.
Na aina ya watu wao walivyokuwa wajinga si ajabu wakaenda kweli.View attachment 3263613
Kimekulambaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliolipia vifurushi vya azam max itakuaje..?
Vipi tuliobet gg [emoji28][emoji28][emoji28]
Why...?[emoji31][emoji31][emoji31], game ipigwe bana mechi ichezwe bana
Ushahidi utaenda kutolewa, videos zipo na hawa watu wanatambulika.hiyo tayari ni kesi,na inahitaji ushahidi mkuu.
Wajinga wa aina yako na wengineo ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Ukiweza angalau kujenga hoja kwa uwezo Mdogo ulionao basi nicheki. Ila kwa Sasa pambana na baadhi ya wajinga na wapumbavu wenziomkuu kwamba wewe una akili
yaani TFF mwenye mpira wake na kanuni zake kasema simba hakuwasiliana na mamlaka ili afanyiwe maandalizi
ila wewe mwenye akili unasema haikuwa na sababu
kwa akili hizi huwezi kuwa hata mtaji wa ccm
waliishasema hawatacheza mechi ingine zaidi ya leoYanga nao watagomesha tarehe mpya