Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waulize TFF kwa nini unatoa taarifa, kwamba likiwa takwa la kikanuni huti taarifaWatoe taarifa ya nini wakati inajulikana ni matakwa ya kikanuni kufanya mazoezi muda sawa na muda wa mechi siku 1 kabla??
Halafu meneja hakujua kama simba wanaruhusiwa kutumia uwanja.Hii nchi itaishia kuwa masikini daima.[emoji23][emoji23] ndio mana mkuu narudia kusema
Wajinga wa aina yake na wengineo ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.
Kumletea nani sasa, kukuletea wewe au vipi?!ukiambiwa leta ushahidi kuwa hao mabaunsa ni wa yanga utaleta?
Hao wahusika wa uwanja hawajui kanuni na taratibu zake.?simba anazingua unaendaje kwenye uwanja bila taarifa kwa wahusika
Sasa mbona hawajaiadhibu hiyo simba.mkuu kwamba wewe una akili
yaani TFF mwenye mpira wake na kanuni zake kasema simba hakuwasiliana na mamlaka ili afanyiwe maandalizi
ila wewe mwenye akili unasema haikuwa na sababu
kwa akili hizi huwezi kuwa hata mtaji wa ccm
Waganga gani?Waganga uwanjani Kuku na Mbuzi unawapeleka uwanjani usiku?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawahurumia waliotoka Katavi kwa Magari ya kukodi
Nimezungumzia haki kukusaidia kuelewa ulichouliza. Kama unaelewa taratibu taratibu basi utaelewa baadaeHaki umeiongelea wewe... na nimekujibu hiyo hiyo haki wakati mwingine ina utaratibu wa kuipata ingawa ni yako...usijitoe ufahamu! Nb-Mimi ni mpenzi na mshabiki wa Simba SC ila sio mwananchama😁😁😁
Hio Kauli ya bodi ya ligi eti kusema "kutoa taarifa" ni hoja ya kipumbavu sana, na wameiweka hio kubalance mambo tu ili wasiwachukize "wakubwa" walio nyuma ya hio timu wahuni wake waliozuia gari kuingia uwanjani..lakin hawajui kua matajiri upande wa pili wamewekeza pesa zao nyingi sana halafu muwafanyie UHUNI huo leo ndio imefika mwisho, mwisho wa siku watu waanze kuheshimiana Sasa.Sasa mlitaka simba itoe taarifa gani wakati haki yao ya kisheria ya kutumia uwanja ipo wazi? Watoe taarifa kwani nyie Body ya ligi hamjui kama leo kulikua na mechi?
Masaa mawili yote waliyosimama getini huku wakisubiri muafaka wa kuruhusiwa kuingia uwanjani kwanini hamkutoa maamuzi waruhusiwe ?maana ni haki yao
Simba inatakiwa iendelee kugomea huo mchezo hadi waliozuia wachukuliwe hatua ili iwe funzo kwa wavunja sheria wengine
Kwahiyo TFF waongo!? Haya unakwendaje uwanja wa taifa usiku bila taarifa, uliambiwa ule ni uwanja wa fisi!? Kwa utaratibu huo pia inaonekana timu mwenyeji ndio alitakiwa amtayarishie mgeni MAHALA PAZURI PA KULALIA, Ssasa mgeni unakurupuka tu MAJUMBANI MWA WATU hupigi hata simu UTALALA KIBARAZANI😁😁😁Kanuni haisemi inabidi kutoa taarif maana kwanza ni utaratibu wa kawaida kutumia uwanja siku moja kabla ya mechi, inakuwaje wanachulia kama vile wameshtulizwa?
Haya timu haijatoa taarifa, inakuwaje wakae nje masaa mawili bila muafaka kufikiwa ili timu iingie.
Adhabu za kuvunja kanuni ni ndogo sana ndiyo maana kila siku Yanga haiogopi kuzivunja.
Sasa kwanini wameisogeza mbele?Umeisoma vizuri hiyo taarifa? Bodi ya ligi inasema Simba haikuwasiliana na yeyote kuhusu nia yake ya kufanya hayo mazoezi ili wahusika wawaandalie mazingila ya hayo mazoezi kilichopo ni kwamba jamaa walichungulia wakaona leo ni maafa wametafuta sababu
Taarifa imesema baadhi walitambuliwa kwa sura kuwa ni wa Yangaukiambiwa leta ushahidi kuwa hao mabaunsa ni wa yanga utaleta?
kwani kwenye iyo barua wamesema wamemwadhibu mtu hapo mkuuSasa mbona hawajaiadhibu hiyo simba.
PARAGRAPH YA NNEKamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC (Young Africans SC vs Simba SC) uliopangwa kufanyika kwenye uwanja huo leo kuanzia saa 1:15 usiku.
Soma Pia: Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao
Katika shauri hilo, klabu ya Simba iliandika barua kwa Bodi ya Ligi kueleza kususu tukio tajwa hapo juu, huku pia ikieleza nia yao ya kuto shiriki mchezo huo kwa sababu wamezuiliwa kutumia haki yao ya kikanuni kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni ya 17:45 ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
View attachment 3263593
Waganga wamewaambia wabebe kuku na mbuzi usiku tunaena uwanjani kumaliza shughuli, unafikiri hatujui?Lakini hakuna uthibitisho wowote wa video inayoonesha hayo unayoyataja.