stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Bodi ya Ligi wasenge sasa waliolipa nauli kuja kwenye mechi wanawafidia vipi? Mboni wanafanya mambo kishogashoga wasenge hawahuo ni uhuni ....Yanga ikibidi ijitoe kwenye ligi ya kihuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodi ya Ligi wasenge sasa waliolipa nauli kuja kwenye mechi wanawafidia vipi? Mboni wanafanya mambo kishogashoga wasenge hawahuo ni uhuni ....Yanga ikibidi ijitoe kwenye ligi ya kihuni
Sahihi kabisaUbaya Ubwela
Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.
Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.
Hii mechi haitakiwi kuahirishwa bali isichezwe kabisa na adhabu kali itolewe kwa waliozuia taratibu za kawaida kabisa za mchezo ili kukomesha huu uhuni.
Siku nyingine timu ikijiona haiko tayari kucheza mechi husika itajiamulia tu kufanya uhuni kama huu ikijua italipa faini na mechi kuahirishwa.
Upate muda wa kutafakari tena matumizi ya haki.Huwa Simba wanao huu utaratibu wa kufanya mazoezi wakiwa ugenini kabla ya mechi katika uwanja husika!? Au ndio kutafutiana sababu tu😁
Nachokiona hapa kwa wote, ni kuwa na imani za kishirikina badala a kuamini katika mazoezi, mbinu na matayarisho..!
Ukiwa na Kuku na Mbuzi unawapeleka uwanjani usiku kufanya nini?simba anazingua unaendaje kwenye uwanja bila taarifa kwa wahusika
waulize TFF kwa nini wamesema simba alienda kinyemelataarifa ya nini na inajulikana mgeni lazima afanye mazoezi kwenye uwanja husika
hahahaha mkuu kwamba sisi wa katavi ndio wa mbali kuliko wa bukoba na kigomaNawahurumia waliotoka Katavi kwa Magari ya kukodi
Simba wataadhibiwa kwa huo upuuzi,Yanga nao wataadhibiwa kwa kuanzisha vurugu ingawa wameshapata adhabu ya hasara kwa upuuzi wao mkubwa zaidimkuu unaenda fanya mazoezi ya mwisho bila kuwasiliana na wahusika
timu hii inaendeshwa kiajabu ajabu
Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.wallace karia na genge lake wamekaa wameona wasipochukua hatua goli 5 zinanukia
Wahusika gani?mkuu unaenda fanya mazoezi ya mwisho bila kuwasiliana na wahusika
timu hii inaendeshwa kiajabu ajabu
Akiwa na Kuku na Mbuzi kwenda kuwanga uwanjaniwaulize TFF kwa nini wamesema simba alienda kinyemela
Mkuu tukitaka kumaliza haya mambo hatutakiwi kuegemea upande. Taarifa pia inasema Simba haikuwasiliana na Maofisa wa mchezo, timu mwenyeji wala mamlaka ya uwanja ili maandalizi ya kikanuni yafanyike. Hicho kipengele umekiruka kwa kuwa Simba ni timu yako. Hivi sivyo tunavyosolve matatizo.Ubaya Ubwela
Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.
Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.
Huwezi kuahirisha mechi kwa ujinga wa watu flani mechi ipigwe walio husika kuleta vurugu wapewe haki yao bodi ya ligi haina menoHao watu hawajatendewa haki. Hasira zao waelekeze kwenye chanzo cha kuahirishwa mechi