Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

400 beef cow, kitimoto pork
 
Huu uhuni wa Kishenzi ulianzia Mwanza toka kwa mwanachama wa utopolo Mtanda kwa maelekezo toka Juu kwenyr uongozi wa utopolo

Hili la Dar tumeonyesha ukubwa wetu Simba ni dude kubwa sanaa "SIMBA TAIFA KUBWA"
Kubwa jinga linakimbia mechi. Ajabu sana eti mnatuvimbia huku metafuta sababu ya kisenge kutopeleka timu uwanjani. Ripoti ya bodi ya ligi inaeleza wazi kuwa hamkutoa taarifa popote kuwa mngekua na mazoezi usiku wa jana.

Ila nimewashusha sana kudadeki kwa ujinga mliofanya leo kuwatia wati hasara
 
Ogopa sana Kilevi kina 40% na unakinywa ndani ya dakika 3 umemaliza kichupa
 
Aliyewapa kazi ndio chanzo kikuu cha hayo yote...

Hivi tangu lini mabaunsa wakawa na uwezo wa kuzuia uchawi?

Mchawi huzuwiwa na maombi ya upako na sio mabaunsa watafuna mirungi.
Mabaunsa waliwekwa na simba wenyewe. Pale niliona gari ya polisi ndiyo iliyokua imeblock njia ya kuelekea getini. Mabaunsa walikua kwenye msafara wa simba. Mnajitekenya na kucheka wenyewe kwa movie mliyoipanga
 
Ukiacha hii siku ni lini Simba wameitumia hiyo kanuni kabla!? Lakini pia usijitoe ufahamu walimpa taarifa nani kuhusu hilo jambo!? Maana kuna taratibu za kufata ili jambo hilo litekeleze, ikiwemo kumpa taarifa MWENYEJI WAKO😁
Usichokijua, kabla ligi haijaanza viongozi wa timu zote hupewa kanuni za ligi, wanazijadili, hufuta baadhi na kuongeza nyingine kulingana na mahitaji.
Kwahiyo viongozi wote wanajua takwa hilo la kikanuni, timu ngeni hailazimiki kukujurisha, wanalazimika kumjurisha kamishna wa mechi ili awafikishe kwa meneja wa uwanja.
 
Na mbuzi lini wakawa waganga,mbuzi SI ni wanyama na juzi juzi tu walijihusisha na masupusupu au ndo walikuwa wanaroga.
 
Wasenge ni wale waliowashwa wakavamia magari ya watu.Usenge ni kujigeuza Ina sasa mechi imegeuka.
 
Wasenge ni wale waliowashwa wakavamia magari ya watu.Usenge ni kujigeuza ona sasa mechi imegeuka.
 
Mabaunsa waliwekwa na simba wenyewe. Pale niliona gari ya polisi ndiyo iliyokua imeblock njia ya kuelekea getini. Mabaunsa walikua kwenye msafara wa simba. Mnajitekenya na kucheka wenyewe kwa movie mliyoipanga
Amphibian katika ubora wako....

Msalimie Jerry
 
Wasenge ni wale waliowashwa wakavamia magari ya watu.Usenge ni kujigeuza ona sasa mechi imegeuka.
Mwanaume unakimbia game alafu unaenda kujisifia maujinga? Waliposema wamejiandaa na wako fit, kumbe ilikua ni kukimbia???

Mmetia aibu sana
 
Taarifa ya tff inawabana. hii ni hujuma na kuionea Yanga.

Simba alistahili adhabu, maana amekiuka taratibu na kanuni.

Tunadili hiki KIPENGELE alafu tuone nani amezingua.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…