- Thread starter
- #81
Ukisiiia nje ya boksi ndiyo Uzi huu sasaHizi ndio nyuzi za maana sasa....😂
Sio kilasiku ni Hamisa na Ki, mara DRC na M23..😐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisiiia nje ya boksi ndiyo Uzi huu sasaHizi ndio nyuzi za maana sasa....😂
Sio kilasiku ni Hamisa na Ki, mara DRC na M23..😐
Utajiri wa hivyo utatoa kila mtu kwenye familiaKukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Komenti ya maana sana hiiMbona Mungu alimtoa mwanae kafara, sembuse binadamu. Tangu zamani waliojua hii siri waliishi vizuri kwa kutoa kafara. Huenda hata Mungu alitufundisha kuwa bila kafara mambo hayaendi.
Ni kheri uwe fukara wa pesa kuliko kuwa fukara wa Akili kama mtoa hii mada.Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Petty thoughtKukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Hakuna miujiza itakupa mali zaidi ya kufanya kazi kwa bidii na maarifaKukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Mungu almtoa kafara mwanaye Yesu ili wengine wote tukombolewe. Upo hapo?kumtoa mtu kafara ili uwe tajiri huo ndio umasikini wenyewe, wenzenu wanasomesha watoto wao, wanawapa ujuzi , wanapambana kwenye hili na lile ili kujikwamua, wewe unawaza kafara
It is rooted from the bible. God sent his only begotten son to be crucified so as to save the world.Petty thought
Ahsante kwa hoja, naheshimu, biblia si marejeo yangu, hivyo naomba niweke nuktaIt is rooted from the bible. God sent his only begotten son to be crucified so as to save the world.