Siungi mkono maandamano lkn ni vema CCM wasfanye mchezo wa kuingza vijana wao road at tha same date walopanga hao CHADEMA.Maana cdhan hao vjana kama wanautimamu wa kihisia kuhandle kujzbizana na wapnzan wao incase wakiw face ti fqce.Kama wana zile akili za wapanzan ni MAADUI asee yanaweza tokea magumu hata polisi wakasndwa kuwaamua,af tukajkuta game linahamia mitaan kimya kmya dizain ya mambo ya mauaji ya kimbari huki kwa jiran zetu.
Nnashauri:
Kama ni kutulza hilo watumie wenye taaluma zao yaan POLISI. Hao vjana wengne wa lumumba kakwel waachwe wakaeneze sera ya chama kwa ajili ya uchaguz ujao,hawana hizo akili zngne za kiusalama wa NCHI wao wanajua usalama wa chama tuu.
Nnashauri:
Kama ni kutulza hilo watumie wenye taaluma zao yaan POLISI. Hao vjana wengne wa lumumba kakwel waachwe wakaeneze sera ya chama kwa ajili ya uchaguz ujao,hawana hizo akili zngne za kiusalama wa NCHI wao wanajua usalama wa chama tuu.