My wonderful President after Late J.K Nyerere. She knows the real definition of humanity. Human being, human welfare, you name all.The next thing ni hakimu wa kesi ya mbowe atamuachia huru Mbowe soon
This was well known before.
Kwani mkuu so tunaimba kila mara kwamba Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetuHapo Samia nakupa pongezi zangu za dhati kabisa.
Alimwakilisha Rais wa wakati huo . Dr. Magufuli.
LEMA ni nani hasa???Ni hatua nzuri,
Ni muda wa Mbowe kuachiwa bila masharti,Lissu na Lema kurudi na kuanza siasa za Majukwaani ,Maadui zao kina Mwendazake, Jobo,Sabaya,Makonda etc walishapotezwa na Karma.
Jumuiya ya Ulaya Oyee
Mama atawashangaza Wengi sana mnaombeza!Hili hata mimi limenisisimua
Mbaya zaidi kwa wale wajane masukumagang! Fikiria baba kafa alafu Mazaa anakutana na ‘mchumba’ wa zamani!Hiii habari chungu sana kwa Bavicha
Tulia mafundi wa Siasa wawachezeshe. CCM chama bora kabisa Cha kisiasa katika Afrika, political score, mlisubiri kushinda kortini mpate political mileage? Sasa imekuwa hijackedWe Kunguru wamekutana kwa ajili ya mazungumzo,, tofoutisha na vikao
Hiii habari chungu sana kwa Bavicha
Samia rais wa watu,za chini chini ni kuwa lissu amempigia magoti na kumbembeleza Sana mama Samia amuhurumie Dj Mbowe na ikiwezekana amwachie huru,keep calm wafuasi wa Mbowe huenda wakatabasamu this week.
Wana roho mbaya shetani anasubiria sana yaani hata kwenye uzi huu utawajua walivyokuwa na hasira. Ahsante mama hizo ndizo siasa tunazozitaka.Taarifa mbaya sana hii kwa uvccm!
Sasaa hivi Lissu ataitwa msaliti
Pigo jingine kwa maccm wasiyo na akili wala hurumaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia, amekutana na kufanya Mazungu na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Tindu Lissu.
Ni baada ya Lissu kuomba kuonana naye.
Walizungumzia mambo mbalimbali kuhusu usitawi wa Tanzania.
Pia, soma
1). Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi
2). Tundu Lissu afutiwa kesi zote za uchochezi
View attachment 2121277
View attachment 2121284View attachment 2121285
NdioInamaana ssh kamfuata lissu Belgium au mimi labda sielewi!
Pigo kwa ma ccm wenye roho mbaya dhidi ya wapinzaniThe next thing ni hakimu wa kesi ya mbowe atamuachia huru Mbowe soon
This was well known before.
Pigo kwenu nyinyi ma uvccm wenye roho mbaya kama nyoka swiiraaaHiii habari chungu sana kwa Bavicha