Burna Boy: Sina nguvu za kiume ila nina pesa nyingi

Kuna star wa kifaransa aliimbaka ivi :> yaani akimaanisha PESA niyalazima sana kwenye mapenzi

mapenzi bila PESA nikusumbuana
 
PUNYETO haina uhusiano na nguvu za kiume. Mm Sina demu najichua kila siku lakini nkiendaga shoo buguruni au Temeke wanaombaga poo. Hii fikra ya PUNYETO inatokeaga wapi?
 
Utaskia Miguvu wanayo maskini.
Hy mwenye pssa akatie mimba kwa akili Sasa na dada anataka Le manioc
 
Kwa iyo anagawa tu pesa bila kuwashughulikia🤣🤣

Hii dunia ina mambo sana jamani. Huwezi amini kila mtu anachangamoto yake .
 
Mkuu pombe mnaisingizia bure. Kama nguvu huna huna tu.
Hapana chief, pombe ina madhara mkuu, japo hayaonekani kwa haraka lakini sio poa, ukinywa kwa kiasi labda, japo sijui hicho kiasi wanachosema, ninachojua mwili unahitaji mapumziko mazuri.
 
Girls ain't nothing but problem -Dj Jazzy Jeff and Fresh Prince
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…