Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Nyufa kwenye Maji? Watajua hawajuiπππTanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Ccm hapana kwakweli mmezidi sasa.Na amesema kabisa huko mbeleni litaanza kuwa linabomoka sehemu sehemu, na serikali na mkandarasi watatoa sababu kuwa asili/nature ya mwamba uliopo pale, hauhimili ukuta huo. Na ndio ndoto ya Umeme nafuu itakuwa imeingia gharama.
Achaneni na Mkandarasi.Mkandarasi ni nni?
CIA? umeniacha njianiAchaneni na Mkandarasi.
Yupo Waziri ameifanya vizuri sana kazi ya SIAIEI.
Sijui anaongea nn huyuKwenye zege, 'nyufa' huweza kutokea endapo zege lilikorogwa na maji mengi.
Likikauka husinyaa na sehemu iligokuwa na maji mengi, huacha mfano wa ufa!
Kwa hiyo hii nyufa unafikiri unashida gani?Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Expansion jointTanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Subirini mzalishe na kupata umeme nafuu,CIA? umeniacha njiani
Bora tuanze fuata falsafa za china na muasisi wake MAO ZE DONGTanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Watu ukiwaambia wanadhani utani, na hapo bado , hilo bwawa wanapanga kulilipua kwa mabaruti kwenye kingo zake ,waseme limezidiwa , huu ni mwanzo wa usaliti mkubwa unaoendelea serikaliniHuyu member anaitwa vikingX ...alisema hapa hujuma kuhusu bwabwa la Nyerere miezi kadhaa nyuma
Why Dola inawaachia hawa watu?Watu ukiwaambia wanadhani utani, na hapo bado , hilo bwawa wanapanga kulilipua kwa mabaruti kwenye kingo zake ,waseme limezidiwa , huu ni mwanzo wa usaliti mkubwa unaoendelea serikalini
π€Watu ukiwaambia wanadhani utani, na hapo bado , hilo bwawa wanapanga kulilipua kwa mabaruti kwenye kingo zake ,waseme limezidiwa , huu ni mwanzo wa usaliti mkubwa unaoendelea serikalini
ππ π πππHatari kabisa hii
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927