CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021


Hizi ndio mama alisema watu wanachelewesha malipo ili wazipige wao.
 
Na yule Dr. Abbas alikuwa mratibu wa hii kitu...
 
Taifa hili chn ya maccm hakuna jipya kbs ndiyo yamefilisi kila ktu kbs na yanajijua katiba mpya ndo burian yao hayatak kuiskia kbs majiz jizi tu

Na mengne yako humu mataga yan ujinga ujinga hzo pesa zoote wanakwapua ni wanaccm siyo mbowe, siyo lissu wala siyo mnyika lakn sasa mataga humu unakuta yanakomaa na viongoz wa chadema utadhan hata wanajua kodi huwa znaenda wp

Hzo pesa zngetosha kupata zahanati ngapi na vfaa tiba kiasi? Zngetosha kupeleka maji mpk wp kwny taifa hli? Majitu yanaiba majiz jiz na lichama lao la mboga mboga

Nasubiri msmamo wa mama khs yale ma mama covid 19 yaliyowekwa bungen na ndugai knyume cha katiba. Inatakiwa wote wakamatwe na ndugai akamatwe na yule msaidz wake bi kiroboto.
 
Sasa nimegundua kwann maccm hayataki kutoka madarakani huu ujambaz yanayofanya hv sku haya majambaz mataga yaktoka madarakani halafu makamanda wakafanya ukaguzi si utakua msba mkubwa sn aisee
 
Ni jambo gani hasa anaongelea? Hatutaki taarifa nusu nusu, kwani taarifa si tayari ipo Bungeni? Au ameamua kuonyesha ambayo Hayati hasingeyafurahia? Je, yatakuwa ya kweli? Au kamaliza tayari uchunguzi aliyoagizwa na mhe. Rais?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…