Carol Ndosi: Rais Samia aache kusisitiza kila mara kuwa yeye ni Rais mwanamke, haipendezi

Point kabisa maana tumemchoka kwa muda mfupi sn
 
Huyu mbona muda tu anakosoa, hata jiwe alimkosoa na tena akaenda mbali kuandika waraka wa kusupport maandamano ya mange. Tafuta bandiko lake humu utaona
wana JF NI WEPESI WA KUPOTEZA KUMBU KUMBU
 
Ameshindwa kuongoza amebaki kupambania jinsia yake
 
Yeye hajui tu kuwa wanawake hawawapagi Kura wa jinsia yao, wengi wanamchora tu. Kutwa na mchana oooh mi mwanamke, 2025 ntasimama. Kwa post hiyo hazihitaji unaharakaji wa jinsia..makongamano kibaoo. Anyaway
 
Yaani wanawake!
Anataka aseme yeye ni mwanaume?
 
Uwezo wa Urais upi ambao hana? Kwani Rais wa Tanzania ni nani kwa miezi hii 7?
Au mlizoea Rais Magufuli anayeropoka na kutukana majukwaani naye huyu mlitaka aropoke?

Au mlitaka kikundi cha WASIOJULIKANA kiendelee kuteka na kuua ndiyo mseme mna Rais mzuri.

Rais Samia endelea hivyo hivyo, wanaokubeza kwa vitu vidogo vidogo kimoyo moyo wanakukubali sana ila hawana namna. Heko kwa kuondoa wamachinga mitaani bila kuogopa kelele
 
Carol Ndosi ni ACT chama washiriki wa serikali ya umoja Zanzibar!
Carol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...
 
Ndiyo Kisha sema sasa yeye ni Rais wa kwanza mwanamke Tanzania kwani uwongo? Naye Carol Ndossi ni mwanamke wa kwanza mchoma nyama.

Hivi Carol Ndossi angepata ule u DC aliokuwa anautegemea sana, leo angeweza kwenda redioni na kuongea aliyoongea?
Kila mmoja ashinde mechi zake, usimpangie
 
Bashite alivuruga nyama choma yake akarudi kundini.
Huyu mbona muda tu anakosoa, hata jiwe alimkosoa na tena akaenda mbali kuandika waraka wa kusupport maandamano ya mange. Tafuta bandiko lake humu utaona
 
Alikosoa na nyama choma ikawa hailiki tena baada ya Bashite kutia mikono yake.
 
Ni kituko anayekosolewa kupanga akasolewe vipi, ni ujuha.
 
Kwa hiyo unahisi waislam wote hawajitambui kama wewe pimbi? Kwa taarifa yako waislam tunaishi nao vizuri! Wewe tu ndo unaona udini maana ndo uliokujaa!
 
Huyu bibi anajichukulia smart lakini Hanna kitu ni box na mpenda dogodogo tu baada ya kujua at a idea ya nyama choma haikuwa yake,nikagundua ni mlafi mwingine tu.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Umeongea ukweli mtupu hiyo njemba haina akili hata kidogo......
ni rahisi sana kuwabaini watu wenye akili fupi kupitia maoni yao
 
Huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…